cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Hilo darasa hamna asiye jua umuhimu wa kodi nchi hii, pia hiyo hiyo taasisi inaweza kuwa fimbo kuonea watu.Wengine tunashindwa kuchangia mada za humu sababu wachangiaji wanachangia kwa mihemuko ya kisiasa.
Mimi ni mtaalamu wa kodi. Ngoja nikupe darasa kidogo kama utaweza kunivumilia kuandika kidogokidogo.
Charitable