Arusha na Moshi kuna shida gani hasa kiroho?

Arusha na Moshi kuna shida gani hasa kiroho?

Dan! 😀 yani mpaka sasa hujachangia kwakuwa uzi kwakuwa habari iko nusu.. Seriously hii kali sana😀
Naomba nikushauri kitu denoo G ili kuepusha haya malumbano yote hii mada ipuuzie tuu
Hii itatusaidia sote kutopotezeana muda
Kweli nilikuwa sijachangia bado, unless ungetoa hiyo statistic ya NBS ambayo iko nusu then useme hii mada ni mawazo yako binafsi, hapo ndio ningechangia.
 
Sijawahi kuona bango la MGANGA TOKA MOSHI/ARUSHA/TARIME 😂🤣🤣
hii imekuwaje mzee kigagula? 😂🤣
 
Kweli nilikuwa sijachangia bado, unless ungetoa hiyo statistic ya NBS ambayo iko nusu then useme hii mada ni mawazo yako binafsi, hapo ndio ningechangia.
Kuna vitu unachanganya hapa..
Nimeandika hivi:
Ripoti za hivi karibuni za Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) hata zinautaja mkoa huo kuongoza kwa matukio ya ukatili kwa watu wazima.
Hilo sio langu ni ripoti rasmi ya NBS.. Muktadha wangu sio kuweka top 3 ama top 5 nk..

Sasa muda wote tunalumbana ili niweke top 2 au 3 😂 ..huu sio muktadha wa mada yangu

Hata hivyo umenikumbusha kisa kimoja cha kushqngaza sana
Mtu mmoja akiwa anatembea njia yenye ukimya akiwa peke yake, akastukia amechomwq mshale na mtu asiyejulikana
Basi wapita njia wakamuona na kumuwahisha hospital

Kufika hospital akawaambia madaktari asitibiwe kwanza mpaka apate majibu ya maswali yake
Nani kamchoma?
Kwa sababu gani?
Ni jinsia gani?
Alikusudia nini?
Alikuwa umbali gani? Nknk
 
Kuna vitu unachanganya hapa..
Nimeandika hivi:
Ripoti za hivi karibuni za Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) hata zinautaja mkoa huo kuongoza kwa matukio ya ukatili kwa watu wazima.
Hilo sio langu ni ripoti rasmi ya NBS.. Muktadha wangu sio kuweka top 3 ama top 5 nk..

Sasa muda wote tunalumbana ili niweke top 2 au 3 😂 ..huu sio muktadha wa mada yangu

Hata hivyo umenikumbusha kisa kimoja cha kushqngaza sana
Mtu mmoja akiwa anatembea njia yenye ukimya akiwa peke yake, akastukia amechomwq mshale na mtu asiyejulikana
Basi wapita njia wakamuona na kumuwahisha hospital

Kufika hospital akawaambia madaktari asitibiwe kwanza mpaka apate majibu ya maswali yake
Nani kamchoma?
Kwa sababu gani?
Ni jinsia gani?
Alikusudia nini?
Alikuwa umbali gani? Nknk
Huo mfano wako huo....!!

Statistics kwa upande wangu ingefaa ili;

Nichukue moja nitoe mbili nijue jibu lingekuja ngapi ili nichangie mada kwa namna yangu.

Na kwasababu ulianza na statistics, basi ningependa iwepo atleast top two, ili twende sawa..

But hamna, ni moja tu, so, hesabu yangu imegoma kufanyika.

Mchana Mwema mshana.
 
Kuna vitu unachanganya hapa..
Nimeandika hivi:
Ripoti za hivi karibuni za Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) hata zinautaja mkoa huo kuongoza kwa matukio ya ukatili kwa watu wazima.
Hilo sio langu ni ripoti rasmi ya NBS.. Muktadha wangu sio kuweka top 3 ama top 5 nk..

Sasa muda wote tunalumbana ili niweke top 2 au 3 😂 ..huu sio muktadha wa mada yangu

Hata hivyo umenikumbusha kisa kimoja cha kushqngaza sana
Mtu mmoja akiwa anatembea njia yenye ukimya akiwa peke yake, akastukia amechomwq mshale na mtu asiyejulikana
Basi wapita njia wakamuona na kumuwahisha hospital

Kufika hospital akawaambia madaktari asitibiwe kwanza mpaka apate majibu ya maswali yake
Nani kamchoma?
Kwa sababu gani?
Ni jinsia gani?
Alikusudia nini?
Alikuwa umbali gani? Nknk
Huyu sijui kama alipona😀
 
Kweli nilikuwa sijachangia bado, unless ungetoa hiyo statistic ya NBS ambayo iko nusu then useme hii mada ni mawazo yako binafsi, hapo ndio ningechangia.
Arusha: Inashika nafasi ya kwanza kitaifa kwa idadi kubwa ya matukio
Kinondoni: Inafuata katika nafasi ya pili ikiwa na matukio 3,466.

Tanga: Inashika nafasi ya tatu ikiwa na matukio 2,043.

Temeke: Inafuata katika nafasi ya nne ikiwa na matukio 1,892.

Ilala: Inakamilisha tano bora kitaifa ikiwa na matukio 1,761.

(Kumbuka: Wilaya za Dar es Salaam kama Kinondoni, Temeke, na Ilala zinasajiliwa kipekee kama mikoa ya kipolisi kutokana na ukubwa wa idadi ya watu na matukio).
 
Tatizo ni vyakula hasa nyama hizi za kuchoma, hizo nyama amini kweli zinafanya watu wanakuwa na hasira . Tafuta jamii yoyote ile ya wafugaji uone walivyo na hasira za ghafla
 
Huo mfano wako huo....!!

Statistics kwa upande wangu ingefaa ili;

Nichukue moja nitoe mbili nijue jibu lingekuja ngapi ili nichangie mada kwa namna yangu.

Na kwasababu ulianza na statistics, basi ningependa iwepo atleast top two, ili twende sawa..

But hamna, ni moja tu, so, hesabu yangu imegoma kufanyika.

Mchana Mwema mshana.
1. Arusha: Inashika nafasi ya kwanza kitaifa kwa idadi kubwa ya matukio.
2. Kinondoni: Inafuata katika nafasi ya pili ikiwa na matukio 3,466
3. Tanga: Inashika nafasi ya tatu ikiwa na matukio 2,043.
4.Temeke: Inafuata katika nafasi ya nne ikiwa na matukio 1,892.

5. Ilala: Inakamilisha tano bora kitaifa ikiwa na matukio 1,761.

(Kumbuka: Wilaya za Dar es Salaam kama Kinondoni, Temeke, na Ilala zinasajiliwa kipekee kama mikoa ya kipolisi kutokana na ukubwa wa idadi ya watu na matukio).
 
Hawa ndugu wa kaskazini ni watu wa matambiko na maagano ya kimila. Sasa hivi kinachotokea wameyatelekeza yale maagano bila kuyavunja na kufunga ile "milango". Yale matambiko ya damu yakoshafanyika hayawezi kuisha hivi hivi
 
Tatizo ni vyakula hasa nyama hizi za kuchoma, hizo nyama amini kweli zinafanya watu wanakuwa na hasira . Tafuta jamii yoyote ile ya wafugaji uone walivyo na hasira za ghafla
Ishu ya jamii za Wafugaji sio kula nyama bali zimejengeka katika utaratibu wa kupigana kuiba mifugo na kulinda mifugo isiibiwe au kuliwa na wanyama wengine pamoja na vita vya kupanua himaya za malisho.
 
Watu wa Jamii ya Arusha na Moshi ni tofauti kwa kiasi flani ingawa hujaizungumzia Moshi. Kuhusu matambiko yako zaidi moshi Arusha kwa asili hawatambiki, mambo ya kuchomana visu yako enzi na enzi ni saa hii tu mnayasikia sana kwa ajili ya utandawazi. Ugangstar unachangia kwa asilimia kubwa naweza sema unaweza kuta hata mbibi ni gangstar na hatumii mirungi wala bangi.
 
Back
Top Bottom