Arusha na mabilionea majambazi

Arusha na mabilionea majambazi

Mrema hotel iliyo yake ni Impala tu,hizo zingine ni za Museveni na Mkapa,fanyia kazi zako vizuri,kawekwa tu

unadhani kwanini walidhani mrema ndie anafaa kufanya nae?Because he was where they desire.
 
Kabla IMF na world bank hazijaweka vikwazo vyao, vilivyopelekea thamani ya bidhaa za kilimo kushuka sana Tanzania, hawa jamaa walikuwa bado malofa tu, tena nasikia walikuwa wanafanyaga kazi tu kwenye wizara ya kilimo. During that time pato linalotokana na kilimo likuwa kubwa sana, inawezekana hata pato litokanalo na madini hivi sasa halijaweza kulifikia. Ukipata kazi wizara ya kilimo ilikuwa kama umeajiriwa BOT au TRA hivi sasa.

Mohamed enterprise na kina Bakresa, hawa na wenzao, wameachiwa mali zote za wizara ya kilimo ya kipindi kile.

wamebebwa sana, wamejichukulia sana..ndio maana wanajichukulia tena na tena....siku ukimsikia Jk akiwaongelewa hawa watu anawataja kwa heshima sana.
 
Between I.G.P and say Alex Massawe, who can you claim is a threat? just think beyond..

haha..pengine hata IGP anampigia simu mara kibao kumpa hi na pole ,huku akimwambia bahati mbaya tuu ila mungu atasaidia tuu.

Km hana interest za mataifa makubwa utasikia tuu kuna makosa ya finger print aachiewe.
 
Bado hujaijua Arusha vizuri, research yako imeishia sakina.

haha..mwambie..huyo....watu wanapata madini ya mara moja, zaidi ya Tsh400bn mirerani, na wanapiga dili ya kuchukua kabisa ya Migodi mingine zaidi ya hiyo kwa kuhonga wote wanaongeka kwa kiasi cha kuwafanya mabilionea.Na anafany mara nyingi tuu kwa mwezi kila migodi ikiw ana fununu za kutema.

Sasa wanaohongwa nao wanaweza nunua kiwanja cha tsh 1Bn mnjini na kuejenga nyumba ya zaidi ya ths 400m, na nyumba ya kuishi ya ziadi ya Tsh300m,aliyewanunu kachukua ngapi?

Jamaa wa madini siku hizi hawaweki tena hela bank kwani TRA huwaandama kwa kodi kila wakipandisha magorofa ua kuweka hela nyingi sana.Wanchofanya ni kuweka madini, huku wakiuza kiasi wanachikihitaji tuu.
 
mega complex ni Salim ally yeye aliwekwa ndani kwa tuhuma za biashara ya kuuza watu kama zamani za utumwa

Acha uongo..mega Complex yenye Packing yenye lift za magari ni ya Megatrade Ltd..jamaa wa Kiroba, na bishara nyingine nyingi sana, mji mzima ni kama godown zake.

Salim Ally ni Arusha Complex.
 
Huyu Alex Masawe hapa Dar,majumba yote anayomiliki aliyapata kwa dhurma,akitaka kununua nyumba,pesa anaipeleka jioni kwa mwenyenyumba,baadae usiku anatuma vijana wake kuja kuchukua pesa yake kwa mtutu,Anastahili kifungo cha muda mrefu sana.

Yule ms wanamwita carlos.......huyo mwenyw nyumba naye ni mjinga kwanini achukue hela usiku na bank ipo?uuze nyumba Dar mjini ni 1Bn+ halafu ukahesabu hela nyumbani?utamaliza ?Si mngefnay abnk transfer tuu hata km huna account bank si wanafungua fasta.

Hiyo iliwahi tukuta ktk mishemishe mikoani....kupiga mishemishe mikoa ya magahribi.Tuliwapiga chenga za mwili jamaa kuliko ya mwigulu na CDM juzi na simba yake..Jamaa alikuwa akiinsist kuwa lazima tuwe na hela cah na si longolongo ili asubuhi mapema sana atupitia na mzigo tuondoke kuja Dar, guest house tuliyolala siku ya kufika ilikuwa zuga tuu,tulitua kwa mshkaji wetu maeneo ya huko.Tulipotoka kwa jamaa tukaingia na mabag matupu mchana yenye vobox tupu+ na nguo.Tukafunga na kutokea mlango wa nyuma tukaenda lala kwa mshikaji kijiji cha pili...hatukuacha clue km tumetoka ili wasipitishe msako kijiji pale.Usiku jamaa wakapiga moto sana, na kuvunja milango.Asubuhi...jamaa anakuja zuga tuletea mzigo na convoy yake, tukamuwahi njiani na kumpa hela yake tukiwa na usafiri mwingine mzigo ukapakiwa.Jamaa alibaki km Mwigulu na simba yake wakati Dr.Slaa akipiga mkutano.
 
Hata Ali Mufuruki

Anaweza kuwa no 2 km si moja, kwani hana mlolongo wa familia ambao wana ,biashara za ndani km familia za waarabu.Makampuni ya waarabu na wahindi, unaweza dhani ni moja ,kumbe ndani kila manager wa sector fulani ni kampuni yake.

Wabongo makamapuni yote ni yao na majina ya shere hoder wengine ni wafu au majina ya watoto,wengine hata wake zao na watoto si share holder.
 
Huyo Mwarabu kama ndie yule aliyekuwa anamiliki yale mabasi ya Born city yawezekana ikawa ni kweli maana nilisikia kuwa ni mtu wa front sana... ila front yake nyingi ni Kenya na anakuja kulia A town.... zamani hizo nilisikia alikuwa mtu wa Pembe sana

Born city walikuwa family chini ya jina moja,Km walivyo sumry...kila ndugu ana mabasi yake....mwenye pesa na mabasi mazuri zaidi....kuna wa njia ya vumbi, kwa kaina mwigulu, karatu,mbulu, manyara ,singine, kuna wa dar, kuna wa nairobi, kuna wa mombasa....sumri nao hivyo hivyo..kuna wa mbeya Arusha, kuna Mombasa, kuna wa Dar, kuna njia nyingine na ubora ndio hivyo.....hata akina Manji, mohamed interprises ndivyi hivyo.....sasa jinis anavyowaweka sawa wengine wanajua wenyewe, ila sidhani km Mengi , au Shirima wa precion, Dar Express, wana huo mlolongo wa vikampuni tofauti ndani...so hawa matajiri utajiri mkubwa unahusiana nao.
 
Ndio ilivyo..nadhani jamaa hana data za kutosha ndo mana anasema Ngurdoto na Naura springs ni za Mrema..sijui Ben na Mseveni wako wap?

Mtakuwa vijana wa Lumumba kipindi hiki......mbona mimi nilidhani ni ya JK kwa jinsi alivyokuwa namshambulia mkapa, bado akajitahidi fanya semina elekezi mfululizo kiasi kile pela ng`urdoto hadi watanzania wengine walivyogundua jenga hoteli ambazo si za kichina na machinga km Dar.
 
Tayari tushaanza "Benghazi/ Tripoli" beef?

Haha...dar hakuna kitu, ingawa Mfumo wa nchi umewapa san mamlaka ,locationa na mengine imewapa advantage..ila bado driving force ya nchi hii itatoka Kaskazini fo the foreseable future....nilipita Moshi nikashangaa nayo inaanza Rise kwenda juu....

Soon itabaki kuwa mji mdogo mzuri na unaoweza command direction ya Tanzania.
 
Umemsahau Verani mkulima wa Ngano aliyemchumbia yule Pilot wa kwanza mwanamke Bety OLOTU bintiye mzee Olotu wa Arusha By Night Enzi hizo. Naye alikuwa tajiri sana alikuwa mwizi? Kina mama Maeda wa KBS bado wapo?
 
Hawa wote umewataja wanahstoria aidha zinafanana au zmepishana kidogo lakin acha ni mzungumzie Mrema huyu kwanza hzo hotel anazomiliki ki uhalisia Impala pekee ndio yake hzo nyingne Naura na Ngurdoto ni za mafisad wame wekeza kwa mgongo wake nikipata muda nitaweka ushahd hapa jamvin,pili Mrema ni mkwepa kod mzur sana mfano ana kitengo maalumu ktk hzo hoteli kwa ajil ya kuchakachua bili pia ana vitabu viwili vya mauzo mauzo halisi wana yachakachua kwa kitabu kingne ambacho ndicho wanacho onyesha T.R.A huku mamilion ya shlng akiwa kaficha,data hzo muhmu hufichwa na mwisho wa cku huzpeleka kuchoma kwenye ghala lake la kiltex pale maeneo ya breweries,pia inasemekana pia ni mnyonyaji mzur wa maslah ya wafanyakaz wake,ni mtu asiyejal staff wake hata kufikia kuwalpa mishahara kwa muda anaotaka,mfano nina ndugu yangu pale analalamika hadi leo mshahara wa mwez wa 7 hawajalipwa,nitarud tena mambo ni mengi anafanya huyu jamaa
 
Mtakuwa vijana wa Lumumba kipindi hiki......mbona mimi nilidhani ni ya JK kwa jinsi alivyokuwa namshambulia mkapa, bado akajitahidi fanya semina elekezi mfululizo kiasi kile pela ng`urdoto hadi watanzania wengine walivyogundua jenga hoteli ambazo si za kichina na machinga km Dar.

umeniharibia mood kuniita mtu wa lumumba! Siko kwenye siasa zenu za maji taka mkuu...wala sina kaliba ya mabishano ya kisiasa! Inaelekea wewe ni mbishi na me napenda ku argue na mtu muelewa! Ktan post yangu uliyoquote ni uwongo? Kwan hizo hotel anamiliki Mrema? Haya ni matatizo ya kuchukulia kila kitu kisiasa!
 
umeniharibia mood kuniita mtu wa lumumba! Siko kwenye siasa zenu za maji taka mkuu...wala sina kaliba ya mabishano ya kisiasa! Inaelekea wewe ni mbishi na me napenda ku argue na mtu muelewa! Ktan post yangu uliyoquote ni uwongo? Kwan hizo hotel anamiliki Mrema? Haya ni matatizo ya kuchukulia kila kitu kisiasa!

kma mood yako ipo attached na mambo ya uwachukiao lazima iharibike kma si kubomolewa kabisa.Huyo ndugu yako aliomba kazi kw akujipendekeza na kueleza shida nyingi sana hadi akatafutiwa kazi zisizo rasmi, na hivyo anafanya kazi kila idara sana ili kuwaonyesha kuwa bado ni useful.Na pia kwavile mshahara na madeni na matumizi havimpeki maileage za kutosha ktk mwezi basi huishia kujisuf tuu na kuwapiga kamba kuwa hajapewa mshahara.Mrema tupo makini sana, kuanzai ktk ada, kufanya weekely shopping kwa wake na vimada vyake mjini.Hiyo kuna watu maalumu kwa kazi hiyo.

Na wewe umesikiliza story za kuunga..nimekupa mfano wa JK na mikutano mingi wakati alikuwa juu sana kumsingizia mkap akila kitu ambacho kiwaushi watanzania....mwisho hana tena cha kumsingizia,naona ndipo mood yako ikapanda tena.Museven kaweza si Jk akachukue kwani Musevenis indio anam bamiza na kagame ....?Hizi ni habari za Lumumba ya JK....km unanitishia kuw amood itaharibika ili usibanwe basi utaumiza sana.JK nae alipewa ngapi hadi akapeleka ambillion kwa semina elekezi...?
 
kma mood yako ipo attached na mambo ya uwachukiao lazima iharibike kma si kubomolewa kabisa.Huyo ndugu yako aliomba kazi kw akujipendekeza na kueleza shida nyingi sana hadi akatafutiwa kazi zisizo rasmi, na hivyo anafanya kazi kila idara sana ili kuwaonyesha kuwa bado ni useful.Na pia kwavile mshahara na madeni na matumizi havimpeki maileage za kutosha ktk mwezi basi huishia kujisuf tuu na kuwapiga kamba kuwa hajapewa mshahara.Mrema tupo makini sana, kuanzai ktk ada, kufanya weekely shopping kwa wake na vimada vyake mjini.Hiyo kuna watu maalumu kwa kazi hiyo.

Na wewe umesikiliza story za kuunga..nimekupa mfano wa JK na mikutano mingi wakati alikuwa juu sana kumsingizia mkap akila kitu ambacho kiwaushi watanzania....mwisho hana tena cha kumsingizia,naona ndipo mood yako ikapanda tena.Museven kaweza si Jk akachukue kwani Musevenis indio anam bamiza na kagame ....?Hizi ni habari za Lumumba ya JK....km unanitishia kuw amood itaharibika ili usibanwe basi utaumiza sana.JK nae alipewa ngapi hadi akapeleka a
mbillion kwa semina elekezi...?

hahaha mkuu unajua wewe ni mbishi lakin? Ukikataa na hilo basi ntajua wewe ndo kirimiti namba moja!
Mambo ya lumumba na JK unayajua wewe..me nakuuliza Mrema ndo mmiliki wa Naura springs na Ngurdoto?
 
hahaha mkuu unajua wewe ni mbishi lakin? Ukikataa na hilo basi ntajua wewe ndo kirimiti namba moja!
Mambo ya lumumba na JK unayajua wewe..me nakuuliza Mrema ndo mmiliki wa Naura springs na Ngurdoto?

unajua kilichopo hapa ni nini?Mrema by deafault ndiye Owner....na mimi ndicho ninachoamini na documents zinaonyesha hivyo..Sasa wewe ambaye ndio upo against...basi ndie unapaswa thibitisha...na si hizo tuu hata tour company, bureau de changes, curios, etc....

Pengine utupe nazo mchanganuo wake....sikatai kuwa anaweza kuwa kuna shareholders wengine, na inawezekana hata JK alipewa za zawadi kipinde kile anapeleka dili hadi akaamua nunua za kutosha mfunga mdomo.....bado kibiashara mwenye majority shareholder ndie owner.
 
Umemsahau Rutashubanyuma bila kunisahau na mimi hapa Arusha pia sisi ni Mabilionia jaribu kutafuta vyanzo vya hela zetu Skin Tite itakupwaya!
shakebutt.gif
 
Back
Top Bottom