Arusha na mabilionea majambazi

Arusha na mabilionea majambazi

Kwani kwa shilling ni uongo..?Pamoja na kwamba akina Bakhresa wamefaidi sana kuwapa tende nyie, mamnji nanai hajui dili zake na CCM?Masiafa yake kuwa tangu babu yake ,km vile babu yake naye hakuwapa tende.

Kina Mohamed Enterprise na Bakhresa walitajirikia mali za saeriakli, wameachiwa mashamba na magodown yote yaliyojengwa enzi za "kilimo ni uti wa mgongo".
 
Kina Mohamed Enterprise na Bakhresa walitajirikia mali za saeriakli, wameachiwa mashamba na magodown yote yaliyojengwa enzi za "kilimo ni uti wa mgongo".

Halafu by default CCM huwaita wawekezaji wazama lazima walindwe...unakumbuka bifu la manji na jitu ktk tender za kilimo kwanza?mtrekta feki kinondoni kwajili ya kuzoa taka, maishu ya NSSF, akina mama, now Azam TV? NSSF kuna hela safi ya nchi hii..dogo inaelekea amechota hela kuliko baba yake alivyoweza chukua enzi ya Mwinyi....enzi ya mkapa quality gorup haikuwa kitu tenawatu walishaachana na body zao...
 
Tanzania mtahesabu net cash, wakati forbes wanahesabu cash+assets+shares ktk makampuni + etc.

billion plus in $$$ ...ni mtu kuwa na Tsh +1,640 bn.......kiwanja mjini Arusha,na maeneo mengine bila nyumba ni zaidi ya Bn, kununua Nyumba sehemu km dolly farm ni issue, watu wanazo kibao,wana viwanda ambavyo si hata km familia za kiarabau na kihindi ambazo unakuta director ni mmoja ila wame team up mitaji ktk kampuni moja ili wakopesheke na kupewa dili, wenzio unakuta ni mtu mmoja,na jina la uongo la mke wake au mwanae au mtu ambaye hae exist.Wahindi na waarabu unakuta kampuni moja ila ndani kil amtu ana kiwanda chake, mabasi yake, nyumba zake etc .na mkopo wanagawana kwa namana wanavyojua.
 
we mpingauonevu ni ---- sana, kwani udogo wa Arusha na sifa za Arusha zinahusianaje? I think your stupidity is beyond repair, chuki zimekujaa. Arusha was a top town toka tunapata uhuru, the town is not only lucky!!!!? but it is blessed tooo. we don't want it biiiig, we want it small and beautiful as it is.
 
Kwani kwa shilling ni uongo..?Pamoja na kwamba akina Bakhresa wamefaidi sana kuwapa tende nyie, mamnji nanai hajui dili zake na CCM?Masiafa yake kuwa tangu babu yake ,km vile babu yake naye hakuwapa tende.

Kuwafananisha matajiri wa Arusha na Bakhresa its not a fair kabisa yaani ni sawasawa ufananishe kichuguu na mlima, Bilionea wa Arusha hafahamiki hadi afaririki au ndo sifa za marehemu tu zle?
 
Kina Mohamed Enterprise na Bakhresa walitajirikia mali za saeriakli, wameachiwa mashamba na magodown yote yaliyojengwa enzi za "kilimo ni uti wa mgongo".

Mbona wewe hukuachiwa? Mo fedha ipo tokea miaka hiyo ya baba yake mzee gulam ndo walikuwa wafanyabiashara wakubwa. Unategemea utaachiwa mashamba makubwa bure na serikali maskini kama wewe ukalime na jembe la mkono?
 
Nishawahi kuuliza hapa ni mabilionea wa shilingi za Tanzania, Weimar Republic Marks au dola za Zimbabwe? Matajiri wa Tanzania wanaojulikana, wanacheza na a couple of hundred million USD. Hakuna rekodi za bilionea wa kitanzania in USD.

Maana kuna watu wanaweza kupiga mahesabu full portfolio iliyo Tanzania na kujiita mabilionea (in TZS terms), wakati for all intents and purposes wanasaga lami tu.

Kuna muhindi,Mukesh Ambani, trillionea huko, in Indian Reals.

Anaweza kuwatambia kina Bill Gates na Warren Buffet kwamba wao ni Billionaires na yeye ni Trillionaire.

Umeuliza swali ambalo ni zuri na nina imani hutapatiwa jibu hapa. All in all dunia nzima ili iwe justified that you are a billionaire you must have a wealth worth over a billion usd, and not zim $ or madafu. It's a no brainer!
Tanzania tuna billionaire wannabes tu. Ndio hayo ya billionea wanafanya deals za kukutana mbugani na mafurushi ya madafu porini, hana hata bodyguards mbuzi
 
Hata Ali Mufuruki

Huyo Mafuruki mbali sana level zao ni kina Said wa HSC au Shigongo na Kusaga,,,au hawajui kwamba Rais wao Kikwete katika matajiri hapa Tanzania aliowaomba wasaidie katika maafa Somalia ni wa5 tu ambao wanaofahamika hakuna hata mmoja aliyetoka Arusha, lakini ngoja afe huko Arusha jamaa mwenye Vogue na hotel utasikia kafa bilionea. Wakati huku hizo Vogue nyingi kama daladala sasa.
 
km unaongelea bilionea ktk dollar watu wanazo pia.....kwa makampuni.Forbes wanahesabu hela za mtu binafsi ila si makampuni.

tuambie mtanzania gani ana dola bilioni[tsh trillion 1.6]....
sio kweli...forbes wanahesabu kila kitu,hao unasikia matajiri wa dunia sio cash tu ni assets zao zote.
 
Unapokuja na haya maneno ninashindwa kuamini kama hawa uliowataja wanajulikana ni majambazi na ninavyojua nchi hii inasifika kuwa na Polisi na jeshi Imara wameshindwaje kuwakamata? na je hayo mabilioni waliyonayo wamemuibia nani hadi kuwa na utajiri wa kutisha kiasi hicho? tusikimbilie kusema ni majambazi labda ungekuja na hoja ya kuwa wanauza SEMBE ningekuamini kwani tumeshuhudia wafanya biashara hii ndiyo wanaotesa kwa sasa nchi hii hadi Serikali inaogopa kuwakamata kwa kusema Nchi itateteleka.

Nchi hii ina jeshi imara? La polisi au JWTZ?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ndugu mwandishi..unaonekana kama ni mtu usie na data na unaandika mambo uliyoyasikia kwenye vikao vya kahawa..mtu kama salim ally ulichiandika ni kupotosha jamii...huna ulijualo na umekimbilia kuandika ndugu..kesi ya human trafiking alipewa kutokana na chuki ya kibiashara..watu wa karibu arusha wanajua ni nani alicheza ule mchezo mchafu..ndugu arusha wafanyabiashara matajiri wako..wengi na halali eg Sunday..hela ni za mawe..ndugu kabla hujachafua jina la mtu kwa tetesi usizo na uhakika nazo tafadhali chunguza..si busara kuleta mada potoshi..
 
1. Kwamba Tanzania inasifika kwa polisi na jeshi imara sijui kama unafanya mzaha au uko serious. Mimi na wewe tunajua jeshi letu lina risasi za kuwalenga CDM na PONDA. Zaidi ya hapo ni kupambana na raia waliojichikea na sio majambazi wakubwa.
2. Neno ujambazi linamaana pana sana. Hata kuuza sembe ni ujambazi. Mantiki nzima ni kwamba mzunguko wa fedha Arusha unashikwa na fedha chafu.

Umemjibu vizuri sana huyo jamaa anayejifanya akili zake za chekechea.Lazima aelewe maana pana ya ujambazi, na pia sio kweli kwamba nchi yetu inasifika kwa kuwa na polisi wazuri, kwani tumeshuhudia majambazi yakitamba nchi hii kana kwamba wao ndiyo wanaiendesha hii nchi, mfano Alex Massawe mimi namsikia toka miaka ya Tisini nikiwa mdogo mpaka leo anatesa tu.Inamaana polisi na dola kwa jumla hawamjui huyu mtu?!! Lkn wanaopigwa risasi watu maskini wasiokuwa hata na jiwe au kisu mkononi, mfano Ponda, Cdm n.k.
Kwa kifupi mada yako imesema ukweli tupu
 
Ndio maana wanafadhili kampeni za jambazi mwenzao Godbless Lema...

Na ndo maana Lema anapendwa sana ktk hilo jimbo kwa vile walioshika uchumi wa Arusha ni wenzake. Ndege wa rangi moja huruka pamoja, na waswahili wa pemba hujuana kwa vilemba
 
Nishawahi kuuliza hapa ni mabilionea wa shilingi za Tanzania, Weimar Republic Marks au dola za Zimbabwe?
Kwani tuko Zimbabwe hapa?

Unakutana na mtu Mererani, Arusha vijijiji huko, anakwambia sina kitu, nina elfu moja mfukoni, unamuuliza elfu moja dollar elfu moja kwacha???

Unaongelea madola madola madola mara sijui Bill Gates..... Warren Buffet...kwani tuko Marekani hapa? Hizi mindset za kikoloni mamboleo zitaisha lini?
 
Nishawahi kuuliza hapa ni mabilionea wa shilingi za Tanzania, Weimar Republic Marks au dola za Zimbabwe? Matajiri wa Tanzania wanaojulikana, wanacheza na a couple of hundred million USD. Hakuna rekodi za bilionea wa kitanzania in USD.

Maana kuna watu wanaweza kupiga mahesabu full portfolio iliyo Tanzania na kujiita mabilionea (in TZS terms), wakati for all intents and purposes wanasaga lami tu.

Kuna muhindi,Mukesh Ambani, trillionea huko, in Indian Reals.
Anaweza kuwatambia kina Bill Gates na Warren Buffet kwamba wao ni Billionaires na yeye ni Trillionaire.

INDIAN RUPEES (ndiyo currency ya India)
 
Back
Top Bottom