Arusha na mabilionea majambazi

Arusha na mabilionea majambazi

Sio yeye tu hata wawezekaji mkuu nao wamo vipi kuhusu mmiliki wa kiwanda cha nety AtoZ?Mr Anold. Ambaye ni mmliki wa kiwanda hicho naye pia huenda akausika maana hamna kiwanda kinchoongoza kwa unyonyaji kama hiki .huwezi kuamini hadi siku ya jana ndo wamelipa mshaara wa mwezi wa 7 eti madai alikuwa anapangilia naweza sema naye ni mmoja wapo wa matajiri wa Arusha ambao ni wezi
 
Ukifika Zanzibar pia utashangaa hailingani na umaarufu wake unaousikia. Ukubwa wa Mji sio maghorofa tu! Shughuli za kiuchumi zinasababisha mzunguko mzuri wa Pesa. Kama ilivyo Zanzibar na Arusha ni maarufu Kwa utalii. Zaidi Arusha ina madini na kituo maarufu cha mikutano pia (ICC). Haya yote na mengine ambayo sijayataja yanatoa fursa Kwa shughuli nyingi za kiuchumi na kuupa mji wa Arusha umaarufu.
 
unajua kilichopo hapa ni nini?Mrema by deafault ndiye Owner....na mimi ndicho ninachoamini na documents zinaonyesha hivyo..Sasa wewe ambaye ndio upo against...basi ndie unapaswa thibitisha...na si hizo tuu hata tour company, bureau de changes, curios, etc....

Pengine utupe nazo mchanganuo wake....sikatai kuwa anaweza kuwa kuna shareholders wengine, na inawezekana hata JK alipewa za zawadi kipinde kile anapeleka dili hadi akaamua nunua za kutosha mfunga mdomo.....bado kibiashara mwenye majority shareholder ndie owner.

document zipi zinaonyesha Mrema ndo mmiliki wa hizo hoteli? Unaweza kuziweka hapa? Hata mount Meru hotel ilikanwa na uliekuwa unajua ndio mmiliki wake kwa mambo hayo hayo ya umiliki kwa jina!

huyo unaemtaja sana sijui nani na anasifia Ngurdoto najua mwanae alipoozwa na ile hotel pale opposite na via via!
 
document zipi zinaonyesha Mrema ndo mmiliki wa hizo hoteli? Unaweza kuziweka hapa? Hata mount Meru hotel ilikanwa na uliekuwa unajua ndio mmiliki wake kwa mambo hayo hayo ya umiliki kwa jina!

huyo unaemtaja sana sijui nani na anasifia Ngurdoto najua mwanae alipoozwa na ile hotel pale opposite na via via!

Mimi naamini hivyo..na siwezi badili, km ninavyoamini kwanini usiwe wewe uliyepewa huo unaweza uita usimamizi.....?km share holding hiyo siwezi kataa.Na kuwa kampuni tofauti ni kulimit mambo mengi within hotel husika na kuweza hando vitu tofauti..Sasa km Ngurdoto atauza share 40%, naura 30% ni yeye mwenyewe, halafu Impalla akaishikilia tofauti ni vyake....hayo mengine sasa ni wewe umwatoe hao akina JK ktk hivyo less than 50%.Viongozi wanaweza pew ashsre za zawadi km rushwa kwani utawala huo hawawezi.Nao wakajisahau na kujaza mihela.Ila hawa jamaa makini nao wanaongeza ili kudilute effects.

Marais kuwaloga ni rais sana , nii kuwapa kitu na ulezi, km Jk alivyopea u Dr. mwenye hajisikia vyema sana na anapenda utangulie kuliko.

Mrema anayo hel atangu long time watu wakiwa wajinga hadi wanapata akili...na kwa aliyojifunga lazima atakuwa najua kutega monkey kuliko unavyoweza fikiri....Hizo business nyingin km jamaa wanaongeza hela nae anaweza chukua ktk miradi kuongeza mtaji na kuudisha effect ktk level.N ahii hufanyika wakati wa kampuni inangeza mtaji,share holders wanakubaliana kuongeza mtaji, mwenye majority share holder naye hutakiwa ogeza au kugeuka minority.

waliokaa na mrema wanakubali kuwa ni nouma kutafura hela na kuitunza.....na huwa hana mizaha kwa watoto wake km hao wanasiasa.Wakati wanae wanasoma bongo tuu ISM alikuwa akipeleka ada hadi wenye shule wanatetemeka.mbongo nayelipia wanae wengi kwa hela yake mfuko na si ya mashirika..na ilikuwa si chini tsh 200M kwa Mwaka,sijui walipofikia nje km si zaidi ya Bn..mjini watu wanahadithia enzi zao waiwa wapiga pasi, madreva taxi etc...wengine wanmwita jambazi.Ila wote wanakubaki ni chapakazi na very busy ,kinachomsumbu hadi anachukia ni elimu yake ndogo inayomfany afanye kazi the harder way,ndio maana huwa hacheki na watoto wavivu .
 
mrema ni mojawapo ya role model wa watu wa Arusha, waliosoma, wasiosoma, na hata walio na vikwazo vingine ktk maisha...ndio maana Arusha watu wanatoka from nowhere to somewhere at a rokect speed...kwani tayari unakuta walishfikiri nini watafanaya wakipata one chance..
 
Ukifika Zanzibar pia utashangaa hailingani na umaarufu wake unaousikia. Ukubwa wa Mji sio maghorofa tu! Shughuli za kiuchumi zinasababisha mzunguko mzuri wa Pesa. Kama ilivyo Zanzibar na Arusha ni maarufu Kwa utalii. Zaidi Arusha ina madini na kituo maarufu cha mikutano pia (ICC). Haya yote na mengine ambayo sijayataja yanatoa fursa Kwa shughuli nyingi za kiuchumi na kuupa mji wa Arusha umaarufu.

Arusha kuna mshamba makubwa na watu wanalima nchi nzima, arusha kuna madini zaidi ya tanzanite, arusha watu wanachimba madini hadi mikoa mingine ndio maana utasikia kuna matajiri wamefia ktk mikoa mingine..utalii arusha ni business si urafiki tuu km watu wa zenj.
 
Hawa wote umewataja wanahstoria aidha zinafanana au zmepishana kidogo lakin acha ni mzungumzie Mrema huyu kwanza hzo hotel anazomiliki ki uhalisia Impala pekee ndio yake hzo nyingne Naura na Ngurdoto ni za mafisad wame wekeza kwa mgongo wake nikipata muda nitaweka ushahd hapa jamvin,pili Mrema ni mkwepa kod mzur sana mfano ana kitengo maalumu ktk hzo hoteli kwa ajil ya kuchakachua bili pia ana vitabu viwili vya mauzo mauzo halisi wana yachakachua kwa kitabu kingne ambacho ndicho wanacho onyesha T.R.A huku mamilion ya shlng akiwa kaficha,data hzo muhmu hufichwa na mwisho wa cku huzpeleka kuchoma kwenye ghala lake la kiltex pale maeneo ya breweries,pia inasemekana pia ni mnyonyaji mzur wa maslah ya wafanyakaz wake,ni mtu asiyejal staff wake hata kufikia kuwalpa mishahara kwa muda anaotaka,mfano nina ndugu yangu pale analalamika hadi leo mshahara wa mwez wa 7 hawajalipwa,nitarud tena mambo ni mengi anafanya huyu jamaa

Hii nchi kila mtu anakula kulingana na ubavu wake,MUNGU TUSAIDIE SISI WANYONGE, nchi imepata kiongozi kweli wananchi wanaishi kama panya na paka
 
Jamsni tufanye kazi kwa ajili ya kuishi tuu na sii kwa ajili ya maendeleo maana huta kaa uyaone maana wenye nacho wanaongezewa na sisi wengine tunanyanganywa hata kile kidogo
 
Haha...dar hakuna kitu, ingawa Mfumo wa nchi umewapa san mamlaka ,locationa na mengine imewapa advantage..ila bado driving force ya nchi hii itatoka Kaskazini fo the foreseable future....nilipita Moshi nikashangaa nayo inaanza Rise kwenda juu....

Soon itabaki kuwa mji mdogo mzuri na unaoweza command direction ya Tanzania.

Mtazamo huu divisive ndio unaopalilia mmomonyoko wa umoja wa kitaifa.

Ni wa kuogopwa.

As far as I am concerned sehemu yote ya Tanzania ni muhimu.

Wafaransa walichekwa kwa kuchukua sehemu kubwa ya Africa iliyokuwa jangwa huko Algeria, wakaonekana wametaka kuchukua eneo kubwa tu ambalo ni jangwa tupu. Baadaye jangwa hilo hilo likaonekana kuwa na mafuta.

So unless umefanya geological survey na kujua Dar kuna nini chini, au unaweza kujenga bandari Moshi/Arusha meli zitoke baharini na kutia nanga huko, kusema "Dar haina kitu" ni some reckless talk tu.
 
Mtazamo huu divisive ndio unaopalilia mmomonyoko wa umoja wa kitaifa.

Ni wa kuogopwa.

As far as I am concerned sehemu yote ya Tanzania ni muhimu.

Wafaransa walichekwa kwa kuchukua sehemu kubwa ya Africa iliyokuwa jangwa huko Algeria, wakaonekana wametaka kuchukua eneo kubwa tu ambalo ni jangwa tupu. Baadaye jangwa hilo hilo likaonekana kuwa na mafuta.

So unless umefanya geological survey na kujua Dar kuna nini chini, au unaweza kujenga bandari Moshi/Arusha meli zitoke baharini na kutia nanga huko, kusema "Dar haina kitu" ni some reckless talk tu.

kwani hiyo inahusu nini ujinga wa watu wa eneo husika....?Kwani hapo hapo wafaransa walipopachukua ilimfaidihs vipi mwarabu?Si imekuwa nchi yama mdictator ambayo kila baada ya miaka inaua kupisha mwingine aingie.


Arusha nayo ilikuwa mji wa kilimo na historia tuu kabla Tanzania hiajagundulika,ndio maana TFA ikawekwa kule...wether dar watagundua hata mafuta hadi kila nyumba ibomolewe bado Dar inayo kazi kujenga nchi kifikra, hata kam itageuka bank ya nchi.

Dar kuanzia UDSM, mawizara etc kuna mifumo na mentality za kuzuia maendeleo kwa mikoa mingine, kuanzaia kuona mikoani si pa kwenda fanya kazi hata kama umezaliwa na kukuliwa huko, kuwa vitu bor ani vya dara tuu hata kama vipo chini kiubora, kuwa mtu mwenye akili anatoka dara uu na wa mkoani asipewe nafasi kabisa..kwamba IGP lazima awe RPC wa dar, na ujinga mwingine.
 
kwani hiyo inahusu nini ujinga wa watu wa eneo husika....?Kwani hapo hapo wafaransa walipopachukua ilimfaidihs vipi mwarabu?Si imekuwa nchi yama mdictator ambayo kila baada ya miaka inaua kupisha mwingine aingie.


Arusha nayo ilikuwa mji wa kilimo na historia tuu kabla Tanzania hiajagundulika,ndio maana TFA ikawekwa kule...wether dar watagundua hata mafuta hadi kila nyumba ibomolewe bado Dar inayo kazi kujenga nchi kifikra, hata kam itageuka bank ya nchi.

Dar kuanzia UDSM, mawizara etc kuna mifumo na mentality za kuzuia maendeleo kwa mikoa mingine, kuanzaia kuona mikoani si pa kwenda fanya kazi hata kama umezaliwa na kukuliwa huko, kuwa vitu bor ani vya dara tuu hata kama vipo chini kiubora, kuwa mtu mwenye akili anatoka dara uu na wa mkoani asipewe nafasi kabisa..kwamba IGP lazima awe RPC wa dar, na ujinga mwingine.

lakini watu wengi wa DAR pamoja na hawa wanaopasifia asili yao si huko huko mikoani???sasa inakuwaje waone mtu mwenye akili atoke dar tu na wa mikoani wasipewe nafasi wakati watu wa mikoani ndio wameshikilia sehemu zote muhimu...??
 
Nachezea kitu gani cha Bill Gates, computer ya Linux?

Hahahaha,

Sijawahi kuona "computer ya Linux".

Granted Microsoft is hardly the holy grail of software integrity.

But.

Hiyo software ya Linux yenyewe bila kugeza kitu cha Bill Gates (I'm talking hundreds of patent violations) ingekuwa niche ya SAs and high geeks.

Kwa hiyo hata kama unatumia Linux (which you are not), umetumia kitu cha Bill Gates.
 
kwani hiyo inahusu nini ujinga wa watu wa eneo husika....?

Popote pale wananchi wa nchi moja wanapoanza kutambiana kwamba mkoa huu ni zaidi ya huu kijingajinga kama inavyofanywa hapa, mbegu ya utenganishi inapandwa.

Kwa mfano. Kuna habari kwamba CHADEMA ni chama ambacho hakina mvuto wa nchi nzima na kinashinikizwa na ajenda ya watu wa kaskazini wanaotaka kutawala nchi.

Habari hizi zinaweza kuwa na ukweli au zinaweza kuwa hazina msingi.

Mnapoleta threads za upuuzi hizi za "Arusha ni zaidi, Dar hakuna kitu" mnachochea hisia hizi.

Kwani hapo hapo wafaransa walipopachukua ilimfaidihs vipi mwarabu?

You totally missed the boat.The point is not who benefited, after all who benefit is irrelevant to the question of whether a place has resources or not.The very question impeaches your clarity of thought.

Huwezi kusema "Dar hamna kitu" wakati hujafanya hata ki geological research ya uongo na kweli. Na kwa mtu anayefikiri, hata kama kweli Dar iko kwenye decline (hardly supported by facts) the historical relevancy of Dar alone makes it significant.

Si imekuwa nchi yama mdictator ambayo kila baada ya miaka inaua kupisha mwingine aingie.

An extension of the earlier lack of clarity of thought.


Arusha nayo ilikuwa mji wa kilimo na historia tuu kabla Tanzania hiajagundulika,

Tanzania haijagundulika na nani? Lini? Tanzania iligundulika? Na nani? Lini?

ndio maana TFA ikawekwa kule...wether dar watagundua hata mafuta hadi kila nyumba ibomolewe bado Dar inayo kazi kujenga nchi kifikra, hata kam itageuka bank ya nchi.

Nchi haijengwi kifikra na mji, inajengwa kifikra na watu.Watu ambao si miti au majengo useme "hawa ni watu wa Dar". Kwa sababu siku yoyote wanaweza kuhamia popote Tanzania. The way watu wa kaskazini walivyojazana Dar na kuwa wanarudi huko kaskazini kila Disemba.

On that note, kama Dar hakuna kitu mbona wamejazana sana Dar sasa? Wanafuata nini?

Dar kuanzia UDSM, mawizara etc kuna mifumo na mentality za kuzuia maendeleo kwa mikoa mingine, kuanzaia kuona mikoani si pa kwenda fanya kazi hata kama umezaliwa na kukuliwa huko, kuwa vitu bor ani vya dara tuu hata kama vipo chini kiubora, kuwa mtu mwenye akili anatoka dara uu na wa mkoani asipewe nafasi kabisa..kwamba IGP lazima awe RPC wa dar, na ujinga mwingine.

be specific, with examples.You may have a point, but you are not building it sufficiently beyond the point of speculation.

Mwingine anaweza kukwambia kwamba Dar kuna economies of scale kutokana na population, na hilo linafanya a snowballing economic effect, mpaka watu wenyewe wanakuwa hawataki kwenda mikoani.
 
lakini watu wengi wa DAR pamoja na hawa wanaopasifia asili yao si huko huko mikoani???sasa inakuwaje waone mtu mwenye akili atoke dar tu na wa mikoani wasipewe nafasi wakati watu wa mikoani ndio wameshikilia sehemu zote muhimu...??

kuna mengi sana nchini huwa watu wanafanya bila fikra, haswa wakiliwa sifa, maisha mepesi ,fashion na sense ya belonging ....tazama patterns za mambo dar mengi ni fashion na nani kasema nini wengine hufuata mkumbo...yaani mjingamjinga mmoja akisema unaenda mkoani kupotea..basi mashindano huanza kwa kwenda mbele...na Watoto wa vigogo huwa wanasikiliza sana hizo story..baadaye wanawaambia wazee wao mzee mimi siendi mkoani........nataa TRA,natak BOT, Nataka VODA, nataka NSSF....mzee anainua simu, anaweka mambo sawa, kidogo kijana akitoka nasikia kuwa dili siku hizi ni sehemu fulani..doga anamwambia dingi fulani kaenda segemu fulani, dingi anapiga maehesabu wanaambia cha acha nikuweke pale, pana class.....imagine watu wangapi wamekosa nafasi kote huko kwa ajili ya hawa kumbikumbi...?
 
Popote pale wananchi wa nchi moja wanapoanza kutambiana kwamba mkoa huu ni zaidi ya huu kijingajinga kama inavyofanywa hapa, mbegu ya utenganishi inapandwa.

Kwa mfano. Kuna habari kwamba CHADEMA ni chama ambacho hakina mvuto wa nchi nzima na kinashinikizwa na ajenda ya watu wa kaskazini wanaotaka kutawala nchi.

Habari hizi zinaweza kuwa na ukweli au zinaweza kuwa hazina msingi.
Naona inakuuma sana....ila wenzio dar wenyewe wanawacheka wa mkoni kwa kuwaita majina yote wapendwayo km waruga ruga, wa mkoa, mangi..sijui nini na nini..huku wkaijisifia kuwa watoto wa mjini ..wana mzizima...Hiyo hijataka ona...halfu hata nikisearch jina yako na maneno machache naweza kdaka na wewe ukiwadharau wa mkoa, ambao si muda wanashika space Dar...


UKiwauliza wenyewe wanakubalia hat indirectly kuwa Kuna kadha hawatai ziona Dar kwa wingi kwani zitawabana....na ndio maana hata wewe , unajibaraguza kuwa sijui "kuna habari CDM....hakina mvuto..na kushinikizwa na agenda ya watu wa kaskazini.." zinaonyeha jinsi ulivyo na akili ndogo.Unaweza fuata vitu usivyo vijua ukawa na wewe mhubiri km akina Ponda wanavyoharibu nchi wakijidai kuwa dini yao ni ya kweli na hakuna nyingine n amafundisho yao ndio sahihi..wakati maandishi anayoyasema yanamkana.


Wewe Ksakazini unaijua....unjua makabia ya Kaskazini na choices zao au unaharisha tuu..kwa kuswing ktk ustaarabu na ushenzi ........Kaskazini kuna makabila Mengi mengine ndio hayo yanayo mdefine Lowasa, Mengine yaliyomto ambatia, mrema, na Shayo, chami, Mbowe, na yule kichaa wa CCM wa Tamisemi ambaye ndio jembe lenu...so what?Kwanini uwaone CDM ndio wa Kaskazini tuu? Kwani nani anaweza shika madaraka bila yataka...?Kwani JK au Zitto, LIpumba au Maalimu,LOwasa au Membe, wao hawataki?Kwanii unadhania waka skazini hawatakiwi taka utawala?NAni anastahili?Whaat if Wanataka sasa iwe zamu yao?
Mnapoleta threads za upuuzi hizi za "Arusha ni zaidi, Dar hakuna kitu" mnachochea hisia hizi.
Mwehu wewe hujaona thread imeandikwaje?Ni kuwaita mabillionea wa Arusha Majambazi, as if wajinga wa Dara hawajui watu wa Arusha km sehemu nyingine duniani wana watu wana ofight na kuingiza hela ambayo kwa wengi wa dar hata matajiri ni ndoto..kwao kuiba ndio solution.Michango ya watu ni evelution ya michango..sasa wewe umerukia tuu pale unapopenda sikia km wenzio magamba, ambao walishajiaminisha kuwa arusha hakuna wasomi,ila wanasahau kuwa Ar.ina Universities nyingi tuu......pengine ndio ya pili nchini.Ndio ujinga wa watuwa Dar..ni wepesi kudhani kaskazini ni ya wachaga, wansahau hata usambara sehemu nyingi ni kaskazini....wengine wakisikia Arusha wanafikiria kutosoma, madini, ujambazi etc..sasa msomi wa nchi hii hujui mambo kiasi hicho hadi uaminishwe na Nape ambaye Arusha haijui zaidi ya kupelekwa na chama nakuishia ona ona mambo tuu kw amacho ya dar....na power ya CCM iliyomfikisha hapo.
You totally missed the boat.The point is not who benefited, after all who benefit is irrelevant to the question of whether a place has resources or not.The very question impeaches your clarity of thought.
Who benefit?Bado wanaofaidi ni wale mnaowapiga vita kila siku, na wengine walioweza kuwa aggressive na realistic enoough...wengine subirini Network za ikulu li mvune msichopanda...ni zamu yenu kula na si KUzalisha ...huo ujinga mwingi kawape Lumumba.
Huwezi kusema "Dar hamna kitu" wakati hujafanya hata ki geological research ya uongo na kweli. Na kwa mtu anayefikiri, hata kama kweli Dar iko kwenye decline (hardly supported by facts) the historical relevancy of Dar alone makes it significant.
Dara hamna kitu in terms of watu...na mengine utajisemea sana il aykipimwa kwa vigezo vyake utajikuta nayo unapewa shule...hayo mengine ya Bab kubwa kawape lumumba....Mtafanya san mamabo ya kichinga..driving force ya dara itatoka nje ya dara always....
An extension of the earlier lack of clarity of thought.

Tanzania haijagundulika na nani? Lini? Tanzania iligundulika? Na nani? Lini?
Nchi haijengwi kifikra na mji, inajengwa kifikra na watu.Watu ambao si miti au majengo useme "hawa ni watu wa Dar". Kwa sababu siku yoyote wanaweza kuhamia popote Tanzania. The way watu wa kaskazini walivyojazana Dar na kuwa wanarudi huko kaskazini kila Disemba.

On that note, kama Dar hakuna kitu mbona wamejazana sana Dar sasa? Wanafuata nini?
sijui hata kama unajua unaongea nini hapa..Lumumba ndio shida yenu..huwa mafanya vitu vigumu, na illogical kwanza ndipo mjaribu vitafuti amajibu....

Nikusaidie Tuu wewe garasha....SOKONI HUWA HAKUNA VITU ILA NDIPO VITU HUFANYIWA BIASHARA...Dara ni soko kubwa kwa macho ya Wakaskazini...dar ni soko kubwa sana.Na porini kondeni..si sahihi kwao kuzikwa,, si sahihi kwao kufanya yaliyo asili.....kwao nisoko, la pombe, huduma, bishara, soko la elimu, soko la free labour na sehemu ya kukuta wajinga wakigawa vitu kw abei ya chee ili uwasaidie kuuza na kuwapa hela yeoyote au ukitaka uwape tende, uji, gahawa na sifa.......

[/QUOTE]
be specific, with examples.You may have a point, but you are not building it sufficiently beyond the point of speculation.

Mwingine anaweza kukwambia kwamba Dar kuna economies of scale kutokana na population, na hilo linafanya a snowballing economic effect, mpaka watu wenyewe wanakuwa hawataki kwenda mikoani.[/QUOTE]
Watu wanakwenda mikoani ..kwa vile una akii mgando ndio maana unaona watu dar..mikoani wanarudi wengi tuu wengine wamekufa,wengine wamefilisika, wengine wanahamisha fweza...wengine wanakwenda hadi nchi jirani kutafuta utajiri na kuja utuliza Dar km kituo cha bishara...kwa taarifa yako Dar ni soko kubwa..kuazia la wmajinga, malaya, pombe, ujinga wenyewe una soko dar, ni mahali unaweza tawala nchi kwa kuamua staili yoyote, kuamua tawala kwa kujifanya mnyonge wakubwa wajilipue wenyewe, au kutawala nchi kwa kuwaonyesha ukubwa wako ...

Mengi anakwenda Low wakati anatawala Dar na nchi...he is as powerful as president himself at minimum....anaweza kemea mafisadi papa, wauza unga, na wengine kuliko rais, ana hela halali kuliko rais, ana akili kuliko rais wako, serikali za nje zinamtambua km huyo raisi wako...mabalaozi na wageni wengine huripoti ikulu tuu..il kwa Mengi huripoti ktk kila ofice yake ...., Shirima wa Precision Air ameanza tawala anga kutokea arusha....sasa kahamia rasmi na kuwiata KQ ili wajinga wa Dar wasiopenda wazawa wa Kaskazini wadhani wanatawaliwa na wageni km kawaida yao....Magamba wamelia sana ,kukubali kuwa sasa km ATC ndio ndio imekufa kwa Ngoma na wana wake na wajukuu wake wote wana ngoma,kwanini wasiwape precisionair Approval kuwa National Carrier..kwa vile wanona kuna mkaskazini watu wenye Akili za kuchagua mtumwa wa pwani wakanuna..ila Bkhresa akiingia atapewa hiyo.Ndio maana anaweza tengeneza mabehewa na treni ili atumie halafu serikali bado ikaita ni Reli ya taifa.

You are doomed to be ruled....na CDM haiwezi kuwa sehemu ya nyie kuwa doomed..ni ujinga wenu tuu..wapi hakuna mchaga.Mosha mlipiga ktk hizo timu zenu za kijinga, mengi mkamkimbiza kwa kushirikiana na wahindi na waarabu ili asilete ustaarabu mnaougopa ktk timu za wachezaji wenye viburi vya kijinga km madume ya nyani ..sijui chuji, sijui boban..kazi kutembelea majin ya watu....
 
Naona inakuuma sana....

Nini inaniuma? Kusema kwamba reckless and divisive talk is ignorant ndiyo kuonyesha kuumwa? It takes some intelligence for something to be a justifiable thorn, idiocracy has never made me lose sleep, I just expose it, rightly so.

ila wenzio dar wenyewe wanawacheka wa mkoni kwa kuwaita majina yote wapendwayo km waruga ruga, wa mkoa, mangi..sijui nini na nini.

I am the quitessential Tanzanian, with roots all over Tanzania.Huko kaskazini tumeoa, dada zetu wameolewa, huku Dar nyumbani sio kwa kuja, bali kabla Wanyamwezi hawajajua kuchoma viazi vya kinyasini na wapagazi wa Mjerumani hawajatangaziwa baragumu la kwenda kunya, kabla Azania Front haijajengwa familia zilikuwepo Dar.

Na huko bara nyumbani pia, kabla Stanley hajafika kwa Kabaka!

Sasa apart from utani wa Wabara na wa Pwani ambao some of these eighties babies may not be familiar with, kwa watu ambao hawana tatizo la "inbreeding" ambalo linaweza kusababisha nerotic conditions, nani atamcheka nani? Wakati hao wa Pwani wamechanganyika na Wanyamwezi. Karume Mnyasa.Mapuri Mnyamwezi. Kuna familia gani ya Pwani ambayo inaweza kusema haina ties na bara Tanzania? Labda uniambie wa uraia wa kujiandikisha.


.huku wkaijisifia kuwa watoto wa mjini ..wana mzizima...

Hakuna mtoto wa Mzizima kuliko mimi, mtoto wa Pazi.Kamuulize Mwinyi Chamgui Kiranga wa Mkuranga nani.

Lakini hata mie Mzizima kwetu, nitakwambia ukisema Dar mji kwa standards za bongo labda, kimataifa unacheza.Kwa hiyo badala ya kuangalia Dar na Arusha angalieni majiji makubwa labda.

Hiyo hijataka ona...halfu hata nikisearch jina yako na maneno machache naweza kdaka na wewe ukiwadharau wa mkoa, ambao si muda wanashika space Dar...

Ligi ya wabara na wamkoa iko mpaka kwenye utani wa makabila, ambao wewe usiyeuelewa utaweza kuona "nawadharau".

Umeona hapo tu? Hujaona thread nilizotema Kisukuma mpaka watoto wakashindwa kuelewa hapa?

Wasukuma watu wa pwani? Hapo napo nilipokuwa nakitukuza kisukuma nilikuwa nawadharau wa bara?

Nitawadharau vipi watu wa bara wakati mimi najihesabu Mtanzania mbaye nipo kote?


UKiwauliza wenyewe wanakubalia hat indirectly kuwa Kuna kadha hawatai ziona Dar kwa wingi kwani zitawabana....na ndio maana hata wewe , unajibaraguza kuwa sijui "kuna habari CDM....hakina mvuto..na kushinikizwa na agenda ya watu wa kaskazini.." zinaonyeha jinsi ulivyo na akili ndogo.Unaweza fuata vitu usivyo vijua ukawa na wewe mhubiri km akina Ponda wanavyoharibu nchi wakijidai kuwa dini yao ni ya kweli na hakuna nyingine n amafundisho yao ndio sahihi..wakati maandishi anayoyasema yanamkana.

Kati yangu ninayetetea umoja wa kitaifa na wewe unayeleta mgawanyiko usio na kichwa wala mguu kwa watu wa nchi moja, waliochanganyika, nani ana akili ndogo?

Wewe unataka CHADEMA kiwe chama cha kitaifa, kishike hatamu nchi nzima, halafu unaanza habari za ubaguzi dhidi ya watu wa Dar? Una akili kweli wewe?

Wewe Ksakazini unaijua....unjua makabia ya Kaskazini na choices zao au unaharisha tuu..kwa kuswing ktk ustaarabu na ushenzi ........Kaskazini kuna makabila Mengi mengine ndio hayo yanayo mdefine Lowasa, Mengine yaliyomto ambatia, mrema, na Shayo, chami, Mbowe, na yule kichaa wa CCM wa Tamisemi ambaye ndio jembe lenu...so what?Kwanini uwaone CDM ndio wa Kaskazini tuu? Kwani nani anaweza shika madaraka bila yataka...?Kwani JK au Zitto, LIpumba au Maalimu,LOwasa au Membe, wao hawataki?Kwanii unadhania waka skazini hawatakiwi taka utawala?NAni anastahili?Whaat if Wanataka sasa iwe zamu yao?

Nimeongelea CHADEMA kwa sababu ni chama chako, ni chama chenye a minimally realistic chance. Ningeongea TADEA ningekuwa naongea nadharia zaidi.

Au CHADEMA si chama chako?

Au CHADEMA hakina chance?

Mwehu wewe

Ahsante, wengine wehu sifa kwetu.If you are not living on the edge, you are taking too much space.And if you are, simpletons are bound to call you "mwehu".


hujaona thread imeandikwaje?Ni kuwaita mabillionea wa Arusha Majambazi, as if wajinga wa Dara hawajui watu wa Arusha km sehemu nyingine duniani wana watu wana ofight na kuingiza hela ambayo kwa wengi wa dar hata matajiri ni ndoto..

Chickenheads are always challenged when it comes to forward vision.Why, they are one track minded by virtue of the direction of their eyes.

Mimi nimekemea the useless dichotomy ya "Dar vs Arusha", nika cite mfano wa "Benghazi vs. Tripoli" jinsi nchi inavyoweza kumomonyoka kwenye civil war kirahisi hivihivi. If you don't have the vision to appreciate that, you just can't.

But don't exalt your idiocratic notions za watu wa Dar na wa Arusha wakati watu ni wa nchi moja.

kwao kuiba ndio solution.Michango ya watu ni evelution ya michango..sasa wewe umerukia tuu pale unapopenda sikia km wenzio magamba, ambao walishajiaminisha kuwa arusha hakuna wasomi,ila wanasahau kuwa Ar.ina Universities nyingi tuu......pengine ndio ya pili nchini.Ndio ujinga wa watuwa Dar..ni wepesi kudhani kaskazini ni ya wachaga, wansahau hata usambara sehemu nyingi ni kaskazini....wengine wakisikia Arusha wanafikiria kutosoma, madini, ujambazi etc..sasa msomi wa nchi hii hujui mambo kiasi hicho hadi uaminishwe na Nape ambaye Arusha haijui zaidi ya kupelekwa na chama nakuishia ona ona mambo tuu kw amacho ya dar....na power ya CCM iliyomfikisha hapo.

Sumu ya ubaguzi itakumaliza, acha kuropoka, unashindwa hata kujieleza.

Who benefit?Bado wanaofaidi ni wale mnaowapiga vita kila siku, na wengine walioweza kuwa aggressive na realistic enoough...wengine

Hata baada ya twisheni hujaelewa somo.

subirini Network za ikulu

Sihitaji kusubiri network za Ikulu, nimetembea corridors of power Ikulu tangu niko tumboni mwa mama yangu.Na sasa hata kwa nje sitaki kuiona. Unaniambia nisubiri network za Ikulu leo?

li mvune msichopanda...ni zamu yenu kula na si KUzalisha ...huo ujinga mwingi kawape Lumumba.

"Mvune" kina nani? Unaniweka kundini na nani mie?


Jifunze kuandika kwanza.Dara ndiyo kitu gani?

hamna kitu in terms of watu

The most populous town in Tanzania unasema hamna kitu in terms of watu? Are you serious?

...na mengine utajisemea sana il aykipimwa kwa vigezo vyake utajikuta nayo unapewa shule...

Mpaka sasa ushajionesha wewe ndiye unahitaji shule, ya chekechea, kujifunza kuandika upya.Halafu unataka kujadili some lofty economic subjects?

hayo mengine ya Bab kubwa kawape lumumba....Mtafanya san mamabo ya kichinga..driving force ya dara itatoka nje ya dara always....

Kwa nini wa nje waone umuhimu wa kuleta driving force yao sasa? You are shooting yourself in the foot.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

sijui hata kama unajua unaongea nini hapa..Lumumba ndio shida yenu..

Chickenheads mara zote lazima waone kila kitu ni CCM vs CHADEMA tu.

Mie line ya Mwinyi Pazi, kabla Stanley hajafika Matadi, Lumumba chamtoto.

huwa mafanya vitu vigumu, na illogical kwanza ndipo mjaribu vitafuti amajibu....

Kitu illogical ni kutaka watu wawapigie kura halafu hapohapo mnawabagua. Hivi wewe CHADEMA unataka kura za Dar, sehemu yenye watu wengi kuliko zote Tanzania, halafu hapo hapo unawatukana kama si lolote. Wakikunyima kura 2015 utawalaumu kwamba hawakukupigia kura wakati hata kuwatongoza tu kabla ya uchaguzi kwa boilerplates za "umoja wa kitaifa" unashindwa?

Nikusaidie Tuu wewe garasha....SOKONI HUWA HAKUNA VITU ILA NDIPO VITU HUFANYIWA BIASHARA...

Mpaka hapo ushajichanganya in a logical contradiction. Kama hakuna vitu vinavyofanyiwa biashara ni nini?

Na kwa nini soko liwe hapo?


Dara ni soko kubwa kwa macho ya Wakaskazini...dar ni soko kubwa sana.Na porini kondeni..si sahihi kwao kuzikwa,, si sahihi kwao kufanya yaliyo asili.....kwao nisoko, la pombe, huduma, bishara, soko la elimu, soko la free labour na sehemu ya kukuta wajinga wakigawa vitu kw abei ya chee ili uwasaidie kuuza na kuwapa hela yeoyote au ukitaka uwape tende, uji, gahawa na sifa.......

Ukishakuwa na haja ya kwenda sehemu tu, huwezi kusema "hakuna kitu" hapo.Umefuata nini sasa?

Ile magnetism tu ya kuvuta watu ni kitu tayari, whatever the reason.

Watu wanakwenda mikoani ..kwa vile una akii mgando ndio maana unaona watu dar..mikoani wanarudi wengi tuu wengine wamekufa,

Hata wewe umekufa kiakili, ndo maana unaongelea wafu katika hesabu za uchumi endelevu.

wengine wamefilisika,

Na wewe umefilisika kiakili, ndo maana unataka kuleta maneno ya kugawanya watu kwa kanda bila msingi wakati nchi moja.

wengine wanahamisha fweza...

Wewe ni mbaya kuliko anayehamisha fedha, unataka kugawanya ndugu wagombane, unaweza hata kuleta vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa upuuzi wako.

wengine wanakwenda hadi nchi jirani kutafuta utajiri na kuja utuliza Dar km kituo cha bishara

Hueleweki, mara Dar hakuna kitu, mara Dar kituo cha biashara, which is which now?

...kwa taarifa yako Dar ni soko kubwa..kuazia la wmajinga, malaya, pombe, ujinga wenyewe una soko dar, ni mahali unaweza tawala nchi kwa kuamua staili yoyote, kuamua tawala kwa kujifanya mnyonge wakubwa wajilipue wenyewe, au kutawala nchi kwa kuwaonyesha ukubwa wako ...

You don't say? How banal could you get? Is this the best you can do?

Mengi anakwenda Low wakati anatawala Dar na nchi...he is as powerful as president himself at minimum....anaweza kemea mafisadi papa, wauza unga, na wengine kuliko rais, ana hela halali kuliko rais, ana akili kuliko rais wako, serikali za nje zinamtambua km huyo raisi wako...mabalaozi na wageni wengine huripoti ikulu tuu..il kwa Mengi huripoti ktk kila ofice yake ...., Shirima wa Precision Air ameanza tawala anga kutokea arusha....sasa kahamia rasmi na kuwiata KQ ili wajinga wa Dar wasiopenda wazawa wa Kaskazini wadhani wanatawaliwa na wageni km kawaida yao....Magamba wamelia sana ,kukubali kuwa sasa km ATC ndio ndio imekufa kwa Ngoma na wana wake na wajukuu wake wote wana ngoma,kwanini wasiwape precisionair Approval kuwa National Carrier..kwa vile wanona kuna mkaskazini watu wenye Akili za kuchagua mtumwa wa pwani wakanuna..ila Bkhresa akiingia atapewa hiyo.Ndio maana anaweza tengeneza mabehewa na treni ili atumie halafu serikali bado ikaita ni Reli ya taifa.

Hata kama yote haya yangekuwa kweli - kitu ambacho si kweli- bado ungekuwa -------- kusema hivi.

Kwa sababu ungekuwa unazidi kudhihirisha kwamba "watu wa kaskazini wanataka kututawala". Na ku unermine the whole effort.

Loose lips sinks ships.Wewe huna hata intelligence ya kufikiri mbele ya pua yako.Baki na fantasies zako.

You are doomed to be ruled

You don't know me boy, much less my destiny. Grab a book learn to spell or something. See a psychiatrist, it seems you have some mental condition.

...na CDM haiwezi kuwa sehemu ya nyie kuwa doomed..ni ujinga wenu tuu..wapi hakuna mchaga.

Wachaga shemeji zangu, nawaheshimu wananiheshimu. Acha kuwaharibia jina kwa upumbavu wako.

Mosha mlipiga ktk hizo timu zenu za kijinga, mengi mkamkimbiza kwa kushirikiana na wahindi na waarabu ili asilete ustaarabu mnaougopa ktk timu za wachezaji wenye viburi vya kijinga km madume ya nyani ..sijui chuji, sijui boban..kazi kutembelea majin ya watu....

Freaking all over the map with your neurotic jibbyjabba.the word focus does not mean anything to you.

Dhambi ya ubaguzi haitaisha kwa kubagua wa DAR TU.

Ukishaanza kubagua wa Dar na kumaliza utaanza kubagua mpaka koo na familia huko kwenu.

Kama Somalia.

Nyerere warned us.
 
Naona inakuuma sana....ila wenzio dar wenyewe wanawacheka wa mkoni kwa kuwaita majina yote wapendwayo km waruga ruga, wa mkoa, mangi..sijui nini na nini..huku wkaijisifia kuwa watoto wa mjini ..wana mzizima...Hiyo hijataka ona...halfu hata nikisearch jina yako na maneno machache naweza kdaka na wewe ukiwadharau wa mkoa, ambao si muda wanashika space Dar...


UKiwauliza wenyewe wanakubalia hat indirectly kuwa Kuna kadha hawatai ziona Dar kwa wingi kwani zitawabana....na ndio maana hata wewe , unajibaraguza kuwa sijui "kuna habari CDM....hakina mvuto..na kushinikizwa na agenda ya watu wa kaskazini.." zinaonyeha jinsi ulivyo na akili ndogo.Unaweza fuata vitu usivyo vijua ukawa na wewe mhubiri km akina Ponda wanavyoharibu nchi wakijidai kuwa dini yao ni ya kweli na hakuna nyingine n amafundisho yao ndio sahihi..wakati maandishi anayoyasema yanamkana.


Wewe Ksakazini unaijua....unjua makabia ya Kaskazini na choices zao au unaharisha tuu..kwa kuswing ktk ustaarabu na ushenzi ........Kaskazini kuna makabila Mengi mengine ndio hayo yanayo mdefine Lowasa, Mengine yaliyomto ambatia, mrema, na Shayo, chami, Mbowe, na yule kichaa wa CCM wa Tamisemi ambaye ndio jembe lenu...so what?Kwanini uwaone CDM ndio wa Kaskazini tuu? Kwani nani anaweza shika madaraka bila yataka...?Kwani JK au Zitto, LIpumba au Maalimu,LOwasa au Membe, wao hawataki?Kwanii unadhania waka skazini hawatakiwi taka utawala?NAni anastahili?Whaat if Wanataka sasa iwe zamu yao?

Mwehu wewe hujaona thread imeandikwaje?Ni kuwaita mabillionea wa Arusha Majambazi, as if wajinga wa Dara hawajui watu wa Arusha km sehemu nyingine duniani wana watu wana ofight na kuingiza hela ambayo kwa wengi wa dar hata matajiri ni ndoto..kwao kuiba ndio solution.Michango ya watu ni evelution ya michango..sasa wewe umerukia tuu pale unapopenda sikia km wenzio magamba, ambao walishajiaminisha kuwa arusha hakuna wasomi,ila wanasahau kuwa Ar.ina Universities nyingi tuu......pengine ndio ya pili nchini.Ndio ujinga wa watuwa Dar..ni wepesi kudhani kaskazini ni ya wachaga, wansahau hata usambara sehemu nyingi ni kaskazini....wengine wakisikia Arusha wanafikiria kutosoma, madini, ujambazi etc..sasa msomi wa nchi hii hujui mambo kiasi hicho hadi uaminishwe na Nape ambaye Arusha haijui zaidi ya kupelekwa na chama nakuishia ona ona mambo tuu kw amacho ya dar....na power ya CCM iliyomfikisha hapo.

Who benefit?Bado wanaofaidi ni wale mnaowapiga vita kila siku, na wengine walioweza kuwa aggressive na realistic enoough...wengine subirini Network za ikulu li mvune msichopanda...ni zamu yenu kula na si KUzalisha ...huo ujinga mwingi kawape Lumumba.

Dara hamna kitu in terms of watu...na mengine utajisemea sana il aykipimwa kwa vigezo vyake utajikuta nayo unapewa shule...hayo mengine ya Bab kubwa kawape lumumba....Mtafanya san mamabo ya kichinga..driving force ya dara itatoka nje ya dara always....

sijui hata kama unajua unaongea nini hapa..Lumumba ndio shida yenu..huwa mafanya vitu vigumu, na illogical kwanza ndipo mjaribu vitafuti amajibu....

Nikusaidie Tuu wewe garasha....SOKONI HUWA HAKUNA VITU ILA NDIPO VITU HUFANYIWA BIASHARA...Dara ni soko kubwa kwa macho ya Wakaskazini...dar ni soko kubwa sana.Na porini kondeni..si sahihi kwao kuzikwa,, si sahihi kwao kufanya yaliyo asili.....kwao nisoko, la pombe, huduma, bishara, soko la elimu, soko la free labour na sehemu ya kukuta wajinga wakigawa vitu kw abei ya chee ili uwasaidie kuuza na kuwapa hela yeoyote au ukitaka uwape tende, uji, gahawa na sifa.......

Kwa mtaji huu ndio maana majority of of Tanzanians are tired of CCM, but at the same time are very cautious and skeptical when it comes to embrace CHADEMA because of this stupid "Kaskazini" ego.
It makes CCM becomes the lesser of two devils!
 
Back
Top Bottom