Nini inaniuma? Kusema kwamba reckless and divisive talk is ignorant ndiyo kuonyesha kuumwa? It takes some intelligence for something to be a justifiable thorn, idiocracy has never made me lose sleep, I just expose it, rightly so.
I am the quitessential Tanzanian, with roots all over Tanzania.Huko kaskazini tumeoa, dada zetu wameolewa, huku Dar nyumbani sio kwa kuja, bali kabla Wanyamwezi hawajajua kuchoma viazi vya kinyasini na wapagazi wa Mjerumani hawajatangaziwa baragumu la kwenda kunya, kabla Azania Front haijajengwa familia zilikuwepo Dar.
Na huko bara nyumbani pia, kabla Stanley hajafika kwa Kabaka!
Sasa apart from utani wa Wabara na wa Pwani ambao some of these eighties babies may not be familiar with, kwa watu ambao hawana tatizo la "inbreeding" ambalo linaweza kusababisha nerotic conditions, nani atamcheka nani? Wakati hao wa Pwani wamechanganyika na Wanyamwezi. Karume Mnyasa.Mapuri Mnyamwezi. Kuna familia gani ya Pwani ambayo inaweza kusema haina ties na bara Tanzania? Labda uniambie wa uraia wa kujiandikisha.
Hakuna mtoto wa Mzizima kuliko mimi, mtoto wa Pazi.Kamuulize Mwinyi Chamgui Kiranga wa Mkuranga nani.
Lakini hata mie Mzizima kwetu, nitakwambia ukisema Dar mji kwa standards za bongo labda, kimataifa unacheza.Kwa hiyo badala ya kuangalia Dar na Arusha angalieni majiji makubwa labda.
Ligi ya wabara na wamkoa iko mpaka kwenye utani wa makabila, ambao wewe usiyeuelewa utaweza kuona "nawadharau".
Umeona hapo tu? Hujaona thread nilizotema Kisukuma mpaka watoto wakashindwa kuelewa hapa?
Wasukuma watu wa pwani? Hapo napo nilipokuwa nakitukuza kisukuma nilikuwa nawadharau wa bara?
Nitawadharau vipi watu wa bara wakati mimi najihesabu Mtanzania mbaye nipo kote?
Kati yangu ninayetetea umoja wa kitaifa na wewe unayeleta mgawanyiko usio na kichwa wala mguu kwa watu wa nchi moja, waliochanganyika, nani ana akili ndogo?
Wewe unataka CHADEMA kiwe chama cha kitaifa, kishike hatamu nchi nzima, halafu unaanza habari za ubaguzi dhidi ya watu wa Dar? Una akili kweli wewe?
Nimeongelea CHADEMA kwa sababu ni chama chako, ni chama chenye a minimally realistic chance. Ningeongea TADEA ningekuwa naongea nadharia zaidi.
Au CHADEMA si chama chako?
Au CHADEMA hakina chance?
Ahsante, wengine wehu sifa kwetu.If you are not living on the edge, you are taking too much space.And if you are, simpletons are bound to call you "mwehu".
Chickenheads are always challenged when it comes to forward vision.Why, they are one track minded by virtue of the direction of their eyes.
Mimi nimekemea the useless dichotomy ya "Dar vs Arusha", nika cite mfano wa "Benghazi vs. Tripoli" jinsi nchi inavyoweza kumomonyoka kwenye civil war kirahisi hivihivi. If you don't have the vision to appreciate that, you just can't.
But don't exalt your idiocratic notions za watu wa Dar na wa Arusha wakati watu ni wa nchi moja.
Sumu ya ubaguzi itakumaliza, acha kuropoka, unashindwa hata kujieleza.
Hata baada ya twisheni hujaelewa somo.
Sihitaji kusubiri network za Ikulu, nimetembea corridors of power Ikulu tangu niko tumboni mwa mama yangu.Na sasa hata kwa nje sitaki kuiona. Unaniambia nisubiri network za Ikulu leo?
"Mvune" kina nani? Unaniweka kundini na nani mie?
Jifunze kuandika kwanza.Dara ndiyo kitu gani?
The most populous town in Tanzania unasema hamna kitu in terms of watu? Are you serious?
Mpaka sasa ushajionesha wewe ndiye unahitaji shule, ya chekechea, kujifunza kuandika upya.Halafu unataka kujadili some lofty economic subjects?
Kwa nini wa nje waone umuhimu wa kuleta driving force yao sasa? You are shooting yourself in the foot.
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
Chickenheads mara zote lazima waone kila kitu ni CCM vs CHADEMA tu.
Mie line ya Mwinyi Pazi, kabla Stanley hajafika Matadi, Lumumba chamtoto.
Kitu illogical ni kutaka watu wawapigie kura halafu hapohapo mnawabagua. Hivi wewe CHADEMA unataka kura za Dar, sehemu yenye watu wengi kuliko zote Tanzania, halafu hapo hapo unawatukana kama si lolote. Wakikunyima kura 2015 utawalaumu kwamba hawakukupigia kura wakati hata kuwatongoza tu kabla ya uchaguzi kwa boilerplates za "umoja wa kitaifa" unashindwa?
Mpaka hapo ushajichanganya in a logical contradiction. Kama hakuna vitu vinavyofanyiwa biashara ni nini?
Na kwa nini soko liwe hapo?
Ukishakuwa na haja ya kwenda sehemu tu, huwezi kusema "hakuna kitu" hapo.Umefuata nini sasa?
Ile magnetism tu ya kuvuta watu ni kitu tayari, whatever the reason.
Hata wewe umekufa kiakili, ndo maana unaongelea wafu katika hesabu za uchumi endelevu.
Na wewe umefilisika kiakili, ndo maana unataka kuleta maneno ya kugawanya watu kwa kanda bila msingi wakati nchi moja.
Wewe ni mbaya kuliko anayehamisha fedha, unataka kugawanya ndugu wagombane, unaweza hata kuleta vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa upuuzi wako.
Hueleweki, mara Dar hakuna kitu, mara Dar kituo cha biashara, which is which now?
You don't say? How banal could you get? Is this the best you can do?
Hata kama yote haya yangekuwa kweli - kitu ambacho si kweli- bado ungekuwa -------- kusema hivi.
Kwa sababu ungekuwa unazidi kudhihirisha kwamba "watu wa kaskazini wanataka kututawala". Na ku unermine the whole effort.
Loose lips sinks ships.Wewe huna hata intelligence ya kufikiri mbele ya pua yako.Baki na fantasies zako.
You don't know me boy, much less my destiny. Grab a book learn to spell or something. See a psychiatrist, it seems you have some mental condition.
Wachaga shemeji zangu, nawaheshimu wananiheshimu. Acha kuwaharibia jina kwa upumbavu wako.
Freaking all over the map with your neurotic jibbyjabba.the word focus does not mean anything to you.
Dhambi ya ubaguzi haitaisha kwa kubagua wa DAR TU.
Ukishaanza kubagua wa Dar na kumaliza utaanza kubagua mpaka koo na familia huko kwenu.
Kama Somalia.
Nyerere warned us.