Arusha na mabilionea majambazi

Arusha na mabilionea majambazi

we mpingauonevu ni ---- sana, kwani udogo wa Arusha na sifa za Arusha zinahusianaje? I think your stupidity is beyond repair, chuki zimekujaa. Arusha was a top town toka tunapata uhuru, the town is not only lucky!!!!? but it is blessed tooo. we don't want it biiiig, we want it small and beautiful as it is.

Arusha is cursed thats why it is covered by cold blood death raws
 
Nadhani umeichukulia Arusha kama nchi, hao wote uliowataja ni kwa upeo wako mdogo wewe kijana mchumia jf kwa post karibu Arusha.
Kwa sababu magoroya ya Arusha yanahesabika tuanze kutaja moja baada ya jingine na mmiliki wake tutajikuta tunazungukia hapo hapo.
 
Unapokuja na haya maneno ninashindwa kuamini kama hawa uliowataja wanajulikana ni majambazi na ninavyojua nchi hii inasifika kuwa na Polisi na jeshi Imara wameshindwaje kuwakamata? na je hayo mabilioni waliyonayo wamemuibia nani hadi kuwa na utajiri wa kutisha kiasi hicho? tusikimbilie kusema ni majambazi labda ungekuja na hoja ya kuwa wanauza SEMBE ningekuamini kwani tumeshuhudia wafanya biashara hii ndiyo wanaotesa kwa sasa nchi hii hadi Serikali inaogopa kuwakamata kwa kusema Nchi itateteleka.

Ndio tatizo lenu watoto! Huyo Nyari usikie hivihivi asikuone! Alikula mvua thelathini, lakini sababu ni kada wa nyinyiemu katoka kwa rufaa! Naongeza list

7. Kinana huyu ni Jambazi aliyepitiliza anaitwa Jangili!
 
Mkuu na dar uongelee pia mana hao ni maarufu kwa madawa ya kulevya bora yaarusha mana idadi kubwa ni source ya tanzanite ambapo hata konda kama anabahati alikuwa anauwezo wa kupata pesa zakujenga gorofa la maana,sasa kama wadhan ujambazi ndio unawapa utajiri watu basi na ww jambarika ujenge yako

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hapa kunawatu roho zinawauma sana kuskia arusha ikisifiwa na watu wa mji ule kuupenda mji wao hahahahahah eti erasto hela zake za ujambazi mara wake za watu sasa kuna sehemu wake za watu wanatumika na watu wenye hela kama dsm kweli!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
When we discuss against CCM we are great thinkers but discussing threats in our society we are simple minded!

Between I.G.P and say Alex Massawe, who can you claim is a threat? just think beyond..
 
Halafu by default CCM huwaita wawekezaji wazama lazima walindwe...unakumbuka bifu la manji na jitu ktk tender za kilimo kwanza?mtrekta feki kinondoni kwajili ya kuzoa taka, maishu ya NSSF, akina mama, now Azam TV? NSSF kuna hela safi ya nchi hii..dogo inaelekea amechota hela kuliko baba yake alivyoweza chukua enzi ya Mwinyi....enzi ya mkapa quality gorup haikuwa kitu tenawatu walishaachana na body zao...


Kabla IMF na world bank hazijaweka vikwazo vyao, vilivyopelekea thamani ya bidhaa za kilimo kushuka sana Tanzania, hawa jamaa walikuwa bado malofa tu, tena nasikia walikuwa wanafanyaga kazi tu kwenye wizara ya kilimo. During that time pato linalotokana na kilimo likuwa kubwa sana, inawezekana hata pato litokanalo na madini hivi sasa halijaweza kulifikia. Ukipata kazi wizara ya kilimo ilikuwa kama umeajiriwa BOT au TRA hivi sasa.

Mohamed enterprise na kina Bakresa, hawa na wenzao, wameachiwa mali zote za wizara ya kilimo ya kipindi kile.
 
hivi huyo megatrade ndo anaehusika na vijogoo na k vant? Na jengo la parking stend kubwa au ni majina tu kufanana?
nadhani ni huyo ila huyu mleta mada anadai mjengo wa mega ni wa salim ally? mi nilidhani ni wa huyo mchaga muzee
 
Mbona wewe hukuachiwa? Mo fedha ipo tokea miaka hiyo ya baba yake mzee gulam ndo walikuwa wafanyabiashara wakubwa. Unategemea utaachiwa mashamba makubwa bure na serikali maskini kama wewe ukalime na jembe la mkono?

Na wewe umeachiwa nini? By the way, that is beside the point, tunazungumzia hoja iliyoletwa hapa. Point yangu ni kwamba, hii hoja haina mashiko is applicable in all big cities, including Europe and america zilizojengwa na slaves and African or middle east resources.
 
Kwani tuko Zimbabwe hapa?

Unakutana na mtu Mererani, Arusha vijijiji huko, anakwambia sina kitu, nina elfu moja mfukoni, unamuuliza elfu moja dollar elfu moja kwacha???

Unaongelea madola madola madola mara sijui Bill Gates..... Warren Buffet...kwani tuko Marekani hapa? Hizi mindset za kikoloni mamboleo zitaisha lini?

Wewe mwenyewe unachezea kitu cha Bill Gates hapo.

Acha longolongo mbongo.

Hizi habari za kujifunika chini ya mawe kwa kisingizio cha "ukoloni" ndizo zinadumaza maendeleo mpaka watu wenye hela za kununulia karatasi za maliwatoni tuwaite "mabilionea".

Sasa hawa wakiwa mabilionea na Aliko Dangote awe nani?

Nikitaka kuwalinganisha hawa na mabilionea wa kweli wa Afrika kama kina Aliko Dangote nitatumia kipimo gani? Shilingi za Tanzania?

Mbona unajishushia wigo kwa kelele za "wakoloni" kama hotuba za Mugabe ?
 
Umetaja aga khan name jubilee insurance moyo ukapasuka hivi unajua biashara ya hawa with kwa kina?Unamejiuliza kwa mini mwaka huu rais aligoma kukutana na mkuu wao alipokuja nchini?These dudes ukijua yao hutowasifia

Ndio wenye serena hotels..hotel yao ya Kabul , na pakistan ndizo zilikuwa balozi za UE,UN, na nchi binafsi km US na nchi nyingine za Ulaya..na ilikuwa ina ulinzi kuliko hata nchi nyingi tuu za ulaya.

Kanunua haotela kibao TZ za serikali na makampuni yalijificha nchini tanzania.Na bado kila siku kuna manunuzi yanafanayika....president wa E.A muslim welfare wanayolilia akina mohamed saidi na akina Ponda wanaokikataa Bakwata.

Rais alikataa kutana naye sasa hivi ya nini wakati waliwahi kutana naye mwanzoni, na pia hata wahindi kibao wenye issue humtumia yeye kumalizia kupitia ikulu?

Mimi sipo kuwasikfia ila hapa nasema how much money wana own?Serena hotela pekee wanafanya biashara ta zaidi ya usd $1bn kwa mwaka hapa nchini ,Jubeelee sijui, agha khan education side, hospital, DTB sijui etc...bado mashamba sijui....
 
Mrema hotel iliyo yake ni Impala tu,hizo zingine ni za Museveni na Mkapa,fanyia kazi zako vizuri,kawekwa tu
 
nadhani ni huyo ila huyu mleta mada anadai mjengo wa mega ni wa salim ally? mi nilidhani ni wa huyo mchaga muzee

Ndio ilivyo..nadhani jamaa hana data za kutosha ndo mana anasema Ngurdoto na Naura springs ni za Mrema..sijui Ben na Mseveni wako wap?
 
mimi nachojua pesa zote chafu zipo mijini. Kuanzia wizi, kuuza unga, rushwa/ufisadi nk... Pesa za jasho zipo shamba/vijijini.
 
Kuwafananisha matajiri wa Arusha na Bakhresa its not a fair kabisa yaani ni sawasawa ufananishe kichuguu na mlima, Bilionea wa Arusha hafahamiki hadi afaririki au ndo sifa za marehemu tu zle?

Hao akina bakhresa wameshaweza jua loopholes za kodi kwa kiasi wamefikia mahali pa kuweka hela zao ktk formal line.Ila kuna jamii nyingi sana Arusha na sehemu nyingi hela zao hazijawekwa hivyo.Wapo mabilionea wengi tuu hawakaopesheki na Bank.....Arusha.Na wakikopesheka ni mikopo midogo sana.

Kuna mwaka nilikuwa Arusha, maofisa wa Bank waliingia ktk hardware ya jamaa fulani ambao wana magodown yenye mabilioni achilia mbali makampuni mbali mbalia yenye majina tofauti kabisa.Swali liliofuatia toka huyu jamaa aliwaambia wale maafisa mnakopesha kuanzia bilions ngapi hadi trilions ngapi, wale maafisa wa bank hawakuwa wamejiandaa kwa hizo figure ,wakabaki utapata tuu tutakupeleka kwa manager...yule dada akamwambia unahitaji kuwa na account na statement nzuri kwa miaka mitatu na rasilimali za kutosha....wale jamaa kwanza bank wanazodeal nazo ni za kimazabe sana.Wtu bado wana hela nyingi nje.Jamaa ali babaika sana kubadili mazungumzo kwanini hajaweka hela bank km NBC, CDBD etc..ila afisa wa bank hakuwa mtu muhimu sana ktk nchi..hakuelewa ,wala kutaka chimba zaidi.

Akina Bakhresa na wengine wamejitahidi sana kurasimisha bishara zao kwa kiasi kikubwa na rafiki wa dollar kwa kiasi ch akutohofia kodi na mengine.Sasa hivi wale jamaa wana mikopo mikubwa sana ya world bank,ADB, na bank za Ndani.Halafu jamii za kihindi na kiarabu..wote ni familia, wakiwa mmoja akisimama km mwenye mali, ila ndani kuna buishara ndogondogo nyingin sana.Usishangae kusikia ktk matajiri wote wa nchi hii ambao wana bishara za wazi Mengi akawa ndiye tajiri akifuatiwa na Mfuruki..mali zao hazina familia ndani share zao ni zao moja kwa moja..

Mmewahi jiuliza kuhusu wanasiasa waliogawanya hela ktk makampuni mengi sana humu nchini na nje, yote yakiwa hayana majina yao ila nayo hayapo ktk mfumo rasmi wa malipo ya hii kwa asilimia hta 50%.

MMeshawahi jiuliza wazee wa kichaga wenye makampuni Kenya ambayo hata watoto na wake zao hawajui, huku wazee wakiwa kijijini wanafuga ng`ombe tuu na pickup zao ila watoto wao wenye akili wakitak ashule yoyote duniani wanapelekwa?Nadhani next time soma patterns za KCB..Bank of Baroda, Exim, na Bank nyingine.Kuna sizable number ya wazee wa kichaga wana trilions na wanaishi nyumba za hovyo sana, kinachowazingua ni kupata mtoto mwenye akili na ustaarabu wa kufunga mdomo vya kutosha kumfungulia siri ya koffer.wengi sana huishia wapa kiasi kidogo sana cha kuwafanya matajiri fulani mjini kadiri wanavyoweza onyesha ukomavu.
 
Back
Top Bottom