KisakoKivuyo
Senior Member
- Mar 28, 2012
- 151
- 45
Kwa sababu magoroya ya Arusha yanahesabika tuanze kutaja moja baada ya jingine na mmiliki wake tutajikuta tunazungukia hapo hapo.
yaani wewe ni masikini wa akili na roho.
Kwa sababu magoroya ya Arusha yanahesabika tuanze kutaja moja baada ya jingine na mmiliki wake tutajikuta tunazungukia hapo hapo.
Ukifika arusha kwa mara ya kwanza kama umeshafika Dar na mwanza utashangaa kuona kamji kadogo kuliko sifa zake. Nataka tujadiliane mambo yanayotishia Amani ya Arusha. Jambo kubwa ni kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na watu wenye fedha chafu.Wako wenye fedha safi lakini wanaojulikana na ambao utabahatika kuona vigorofa vyao ndio hao wahalifu sugu. Hebu fuatana nami.
1 A.M Investment (Alex Massawe)
Huyu alitumia mda mrefu kukimbia hadi afrika ya kusini kukwepa mkono wa sheria kwa kuua. Ni mtumaarufu kwa ukatili na unyama kuliko anavyoonekana. Ni jambazi sugu.
2. CHUSA
Sikuwa namfahamu sana mpaka juzi baada ya Erasto kuuwawa ndipo nilimfahamu. Nilikuwa niingie kwenye mtego mbaya wa kufanya naye biashara Mungu akanisaidia. Huyu kukutoa roho ni njenje.
3. ERASTO
Pamoja na kwamba ni marehemu lakini ameacha biashara nyingi ambazo kusimama kwake kumetegemea sana mtutu wa bunduki. Lakini tamaa ya wake za watu hasa wana appollo yaweza kuwa ilimponza na tabia ya kupiga picha na kuonyesha kama ameshajamiiana na mke wa mtu.
4. NYARI
yeye huyu ujambazi wake ni wa kupora madini. Yawezekana baada ya Minja na Patel kumnyoosha atakuwa ametulia kidogo.
5. MREMA
impala, Naura springs na Ngurdoto lodge ni baadhi ya vitega uchumi. Alikuwa dobi na mpaka sasa uwiano wa anachoingiza na biashara zake kuota kama uyoga haviendani. Huyu ni bastola mkononi.
6, Salim ally
Huyu nduye mwarabu anayeongoza kwa kuupamba mji wa Arusha kwa maghorofa yake. Ukiacha Naura springs maghorofa yote yanayomeremeta Arusha kwa ubora ni ya kwake (ingawa ni matatu yanatisha sana kwa thamani yake na hili jingine likiisha ni balaa.) Yeye huyu aliwekwa ndani kwa mda mrefu kwa kuhusika na biashara za kuuza watu (human Trafficking) nadhani na igaidi pia.
ikitokea vitega uchumi vya hawa watu vikaondolewa Arusha itabakia uchi na vigorofa vichache sana. Hii inaisogeza imani yangu kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na majambazi na ndio maana mauaji na visasi vimezidi.
Hawa wote wanasaidiwa na Lema.
Naona umekula ban.
Cooler heads prevail.
Need I say more?
Mbona ipo! Bofya like theni fungua uzi tena, ukifika kwenye button ya like utaona imeandikwa dislike,kwaio bonya tena dislike.HAPO ITAMPATA DislikeJamani mods wa JF wekeni button ya "DISLIKE". Na ingekuwepo post ya huyo buku 7 ingepata "dislike(s)" zaidi ya 800!
Enjoy your day.....kwangu wala si issue.Issue ni kwamba ilifanyika ili kuua thread zangu na zikafungwa na kufutwa hapo hapo...
Nashukuru km imekupa furaha na afya kidogo.
I have a great spirit with unshakable personality.JF is funny forum..when invisible become visible.Nakumbuka hizo siku watanzania waliweza kunyima nunua kitu kwa sababu hujasalimia, hizo siku unaweza nyimwa nunua chumvi kwa vile umeita chumvi saa mbaya...nakumbuka CCM walivyokuwa wakimaliza kazi za mahakama....
Once Tanzania you will always seek to fall back to Tanzanian dark golden age.
Kumpamba ampambe yeye halafu asingizie watu wa arusha ndio wanawaita watu mabilionea kumbe yeye mwenyewe ndie katoa orodha yake, mi naona kama vile moyo wako umeipenda arusha ila unashindana na akili yako,alokwambia Chusa nae n bilionea nan? mbona mnawapamba watu ivo jamani,,,, chusa tunamfaham! hana lolote ni murere wa atar! bora ata mareemu....
There is a reason you were banned, and I was not.
Hao mabilionea wako worth mabilioni mangapi? Maana kila mara tunasikia mabilionea hususan hao wa Arusha lakini hata makisio ya mabilioni waliyonayo hakuna. Kwa nini?
Oh yeah..Do you think i doubt about the existence of any reason?The correct thing is the reason might be too embarrassing...to hear, without even think about the ugly motivation behind.
I normally lough, sarcastically....wondering if all these funny projects out of African can stand the test of time, the test of integrity, the test of responsibility can simply end up as a total compromise.
You normally "lough".
The joke is on you jack!
ha ha..do you care anaything ?then care your professionalism.
Hao mabilionea wako worth mabilioni mangapi? Maana kila mara tunasikia mabilionea hususan hao wa Arusha lakini hata makisio ya mabilioni waliyonayo hakuna. Kwa nini?
Bahati nzuri majina yote ni watu wa hukohuko kwa wajanja aka Wakikuyu wa Tanzania. Hakuna comment hapa historia inaruhusu,waache waibe lkn ikulu ng'o.Ukifika arusha kwa mara ya kwanza kama umeshafika Dar na mwanza utashangaa kuona kamji kadogo kuliko sifa zake. Nataka tujadiliane mambo yanayotishia Amani ya Arusha. Jambo kubwa ni kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na watu wenye fedha chafu.Wako wenye fedha safi lakini wanaojulikana na ambao utabahatika kuona vigorofa vyao ndio hao wahalifu sugu. Hebu fuatana nami.
1 A.M Investment (Alex Massawe)
Huyu alitumia mda mrefu kukimbia hadi afrika ya kusini kukwepa mkono wa sheria kwa kuua. Ni mtumaarufu kwa ukatili na unyama kuliko anavyoonekana. Ni jambazi sugu.
2. CHUSA
Sikuwa namfahamu sana mpaka juzi baada ya Erasto kuuwawa ndipo nilimfahamu. Nilikuwa niingie kwenye mtego mbaya wa kufanya naye biashara Mungu akanisaidia. Huyu kukutoa roho ni njenje.
3. ERASTO
Pamoja na kwamba ni marehemu lakini ameacha biashara nyingi ambazo kusimama kwake kumetegemea sana mtutu wa bunduki. Lakini tamaa ya wake za watu hasa wana appollo yaweza kuwa ilimponza na tabia ya kupiga picha na kuonyesha kama ameshajamiiana na mke wa mtu.
4. NYARI
yeye huyu ujambazi wake ni wa kupora madini. Yawezekana baada ya Minja na Patel kumnyoosha atakuwa ametulia kidogo.
5. MREMA
impala, Naura springs na Ngurdoto lodge ni baadhi ya vitega uchumi. Alikuwa dobi na mpaka sasa uwiano wa anachoingiza na biashara zake kuota kama uyoga haviendani. Huyu ni bastola mkononi.
6, Salim ally
Huyu nduye mwarabu anayeongoza kwa kuupamba mji wa Arusha kwa maghorofa yake. Ukiacha Naura springs maghorofa yote yanayomeremeta Arusha kwa ubora ni ya kwake (ingawa ni matatu yanatisha sana kwa thamani yake na hili jingine likiisha ni balaa.) Yeye huyu aliwekwa ndani kwa mda mrefu kwa kuhusika na biashara za kuuza watu (human Trafficking) nadhani na igaidi pia.
ikitokea vitega uchumi vya hawa watu vikaondolewa Arusha itabakia uchi na vigorofa vichache sana. Hii inaisogeza imani yangu kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na majambazi na ndio maana mauaji na visasi vimezidi.