Arusha na mabilionea majambazi

Arusha na mabilionea majambazi

Kuna mpare mmoja yeye ni zilionea we unashangaa na trilionea. anemiliki milima ya usambara, huyu utamlinganisha na nani?
 
waheshimiwa, peace be on you. nilikua nahitaji contact za hawa marenga(Manga, Tarimo, Jackson, Chusa, Mula)....ntashukuru sana.
 
Matajiri Wote ubabe umeisha awamu hii sana sana wahindi wenye makampuni, walikuwa wamejisahau kwani ilikuwa hakuna MTU wa kuwauliza chochote
 
Kama ni majambazi ndo kusema wana nguvu kuliko dola,pia wameibia wangapi hadi wapate hizo ghorofa
 
I am a beautiful person who is the blood of u+jj
 
Back
Top Bottom