Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Hivi hizo pikipiki ni mali ya Chadema? hawa jamaa watakaogoma nadhani watakuwa ni wahuni tu na huo mgomo sijui kama utakuwa na madhara yoyote kwa serikali
Wito wa mgomo na maandamano ya kupinga Ukiukwaji wa Katiba, haki za Binadamu, ukatili wa police na udhalilishaji wa serikali kwa raia hapa nchini na hasa hapa Arusha. Damu ya mashujaa iliyomwagika kudai Uhuru, haki Uzalendo wa taifa iwe WINO wa kuasisi Taifa jipya.
Jasho la mateso na unyanyasaji liwe ISHARA ya utumwa wa mzawa ktk taifa lake na CHOZI la uchungu wa Umaskini, maradhi, ujinga na ufisadi liwe NISHATI ktk kuwasha taa ya HEKIMA, UJASIRI na NGUVU ya UMMA kuleta mapinduzi ya Kiraia.
KULAANI NA KUPINGA OCD-ARUSHA KUWAITA WANANCHI "PANYA".
Nawasilisha!
Sema hakyamungu nawe Kakalende kama hutokei Dar es Salaam :-(Dar es salaam is a place for Zombies, expect nothing Positive from there, to them life means breathing and ass kissing, exclude the few who lives there.
Ujumbe tumeupata, tunategemea hakuna watakaoomba kupelekwa gerezani kuungana na Mbunge wenu.
Solidarity for ever! Peoples Power!
huo mgomo upokelewe nchi nzima na Zuberi Mwombeji awajibishwe kwa kuwaita wanadamu wenzake panya!
Liverpoolfc hayo matusi si ndiyo ya Col Gadafi wa Libya mwisho wake si wameuona, sasa sijui hii Tanzania itaishia wapi kama haitakuwa na vingozi wenye busara?Wito wa mgomo na maandamano ya kupinga Ukiukwaji wa Katiba, haki za Binadamu, ukatili wa police na udhalilishaji wa serikali kwa raia hapa nchini na hasa hapa Arusha. Damu ya mashujaa iliyomwagika kudai Uhuru, haki Uzalendo wa taifa iwe WINO wa kuasisi Taifa jipya.
Jasho la mateso na unyanyasaji liwe ISHARA ya utumwa wa mzawa ktk taifa lake na CHOZI la uchungu wa Umaskini, maradhi, ujinga na ufisadi liwe NISHATI ktk kuwasha taa ya HEKIMA, UJASIRI na NGUVU ya UMMA kuleta mapinduzi ya Kiraia.
KULAANI NA KUPINGA OCD-ARUSHA KUWAITA WANANCHI "PANYA".
Nawasilisha!
for sure, many Tanzanian have waited things to emerge from Dar es Salaam but nothing really positive (just little success in Ubungo and Kawe)! This is reminding me the history of this country as TANU movements were mostly upcountry (Tabora) although the rulers were in Dar. May be it could be another fact of Mwalimu's intention of moving the capital to Dodoma.
Please Arusha, do something and become the source of Liberating this blessed land of Tanzania (Tanganyika)Sema hakyamungu nawe Kakalende kama hutokei Dar es Salaam :-(
Walivyo panga kama kutatokea mwenye kiherehere akaingiza gari barabarani basi watashusha vioo vyote...ni swala la kusubili tuNatamani kesho uwepo mgomo wa daladala zote, pikipiki zote. Kila mtu akose usafiri wa kufika ofisini ili heshima iwepo hapa mjini.