Kule hatoboi kama Lema akisimamisha mji mbona ata aje makala hatoboi kule hakuna ata mwenye time na hao wadudu ni yeye aliwabrand tu hakua mikoa iko serious kama mikoa iliyoko na wachaga wanajielewa sana baada ya wachaga wanafuata wakinga wengine muuliwe tu sijui vichwa vina ujiWa Dudu 😂😂
Ccm ndo wataamua nani awe mbunge arushaView attachment 3382332
Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
Meneja Kampeni atakuwa Mwamba 😁Kule hatoboi kama Lema akisimamisha mji mbona ata aje makala hatoboi kule hakuna ata mwenye time na hao wadudu ni yeye aliwabrand tu hakua mikoa iko serious kama mikoa iliyoko na wachaga wanajielewa sana baada ya wachaga wanafuata wakinga wengine muuliwe tu sijui vichwa vina uji
Kwa tume hii ccm wataamua wapi washinde wapi wasishindeMeneja Kampeni atakuwa Mwamba 😁
Chadema watapewa Mbeya mjini, Chaumma wamepewa Tarime mjini na ACT wazalendo wamepewa Pemba 😁✔️Kwa tume hii ccm wataamua wapi washinde wapi wasishinde
WanapewaChadema watapewa Mbeya mjini, Chaumma wamepewa Tarime mjini na ACT wazalendo wamepewa Pemba 😁✔️
Acha mshajipatia mbunge hukoView attachment 3382332
Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
Huyo ni master. mind; keshajisawazishia njia kwa malengo yake. Hafai ubunge; hira ni nyingi na ataumiza watuMakonda yupo vizuri, na anaushawishi. Kupeleka hoja juu kwake ni rahisi. Makonda anafaa sana na naamini atafanya mambo mengi sana Arusha.
TuvusheMwamba ndiyo nani?