Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

Ina maana asingeletwa kuwa RC Arusha walikuwa hawana Mbunge? Huyu chati yake imepaa baada kuwa RC hapo Arusha. Gambo naye mmmh sijui Kunguru yupi kamnyea🙆🙆Ila kusema kweli sijawahi ona Leadership wala Managerial ya Gambo tangu akiwa RC.
 
View attachment 3382332

Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU

Kiukweli hata mimi naona kuna shida Makonda kuwa mbunge, kama wapiga debe wake ni wadudu wa Arusha kuna tatizo kubwa sana.

Sihitaji sana kueleza tatizo kubwa liko wapi, sababu kifupi, wazungu husema, “Show me your friends, and i will tell you who you are”
So haiwezekani hao watoto wadudu wasiojua lolote dunia hii wakawa ndio wasemaji au front supporters wa mgombea ubunge, kuna shida kubwa.
 
ukifikiria zaidi ni bora apate huo ubunge ili asije kupewa ukuu wa mkoa tena, maana huyu cheo kina mlewesha na ubunge hauna nguvu kama RC.
 
Shida CCM sio kwamba walitunyima Maarifa,but hata wao hawana Maarifa,kwa taste ya Watu wa Kaskazini,ile love waliyonayo na kwao,kuokoteza Mtu tu toka mikoa mingine na kumpeleka huko,ni suruhisho la muda mfupi! Iko wazi kuanzia ndani ya CCM kwenyewe hawata mpa ushirikiano ! Anaeeza
 
Shida CCM sio kwamba walitunyima Maarifa,but hata wao hawana Maarifa,kwa taste ya Watu wa Kaskazini,ile love waliyonayo na kwao,kuokoteza Mtu tu toka mikoa mingine na kumpeleka huko,ni suruhisho la muda mfupi! Iko wazi kuanzia ndani ya CCM kwenyewe hawata mpa ushirikiano ! Anaeeza
Umesema kweli mkuu
 
View attachment 3382332

Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
Arusha ni Lazima tumchague Paul Makonda.... kwa hiyo ulitaka tumchague Gambo?
 
Huyo hafai kuwa Mbunge wa Arusha Mjini. Tumpigie debe Monaban.
 
Anastahili mimi na wanangu wa Arusha tunampatia yuko vizuri ,anao ushawishi ubunifu na maono kuweza kuleta maendeleo Arusha kuliko hao unaowapigia debe maana hawana ushawishi wala uwezo kiutendaji na kisiasa
 
Arusha ilishakua lango la walanguzi. Lol
Itakua aibu kubwa sana, kuongozwa na bwana yulee. Woiiih
 
Hana. sisi wana Arusha hatutaki hata kumuona, tena tuu hiyo kutenguliwanjana tunafanya sherehe this Saturday

Mie naweka $100,000.00 mezani akipitishwa kugombea

Tour operators wa Arusha na Karatu hatutaki hata kumsikia
Noma sana mkuu
 
Back
Top Bottom