mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,876
- 136,785
Mfumo ndy unataka makonda awe mbunge hukoGodbless Lema asingekuwa na kimuhemuhe cha NRNE angeshinda asubuhi tu
Mbunge wenu ndiyo huyo
Ova
Mfumo ndy unataka makonda awe mbunge hukoGodbless Lema asingekuwa na kimuhemuhe cha NRNE angeshinda asubuhi tu
MchagaKule hatoboi kama Lema akisimamisha mji mbona ata aje makala hatoboi kule hakuna ata mwenye time na hao wadudu ni yeye aliwabrand tu hakua mikoa iko serious kama mikoa iliyoko na wachaga wanajielewa sana baada ya wachaga wanafuata wakinga wengine muuliwe tu sijui vichwa vina uji
Hana. sisi wana Arusha hatutaki hata kumuona, tena tuu hiyo kutenguliwanjana tunafanya sherehe this SaturdayMakonda ana ushawishi sana
Team Gambo mnapambana kweli kweli.View attachment 3382332
Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
Haahaa duh kwa ccm hii sidhaniChadema watapewa Mbeya mjini, Chaumma wamepewa Tarime mjini na ACT wazalendo wamepewa Pemba 😁✔️
Hivi "chawa" siyo "wadudu"?Wa Dudu 😂😂
Haahaa labda mkalie kwa Samia🤣🤣Hana. sisi wana Arusha hatutaki hata kumuona, tena tuu hiyo kutenguliwanjana tunafanya sherehe this Saturday
Mie naweka $100,000.00 mezani akipitishwa kugombea
Tour operators wa Arusha na Karatu hatutaki hata kumsikia
Done!View attachment 3382332
Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
Lucas Mwashambwa unaulizwa hukuHivi "chawa" siyo "wadudu"?
Wewe mzee mchokozi sana.Lucas Mwashambwa unaulizwa huku
Gambo na Makonda hawafai. Ni watu makatili mno.
Arusha mjini hawajawahi kuwa serious. Mwaka 1995 Makongoro Nyerere na uchakaramu wake alishinda ubunge kupitia NCCR. Majimbo hatari kwa kanda ya kaskazini ni Karatu na Moshi mjini. Majimbo mengine wana misimamo ya wastani... Karatu na Moshi mjini ndo wana upinzani sana.Kule hatoboi kama Lema akisimamisha mji mbona ata aje makala hatoboi kule hakuna ata mwenye time na hao wadudu ni yeye aliwabrand tu hakua mikoa iko serious kama mikoa iliyoko na wachaga wanajielewa sana baada ya wachaga wanafuata wakinga wengine muuliwe tu sijui vichwa vina uji
Mbunge anachaguliwa na CCM na sio wananchiView attachment 3382332
Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
Mimi sio timu Gambo lakini ni Bora Gambo anaambana na ufisadi kuliko kuweka mafisadi.