Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

Chawa ni mama yako aliyekuzaa! Mbwa mkubwa.
Dubwasha lenu hili hapa na msambwanda wake
Screenshot_20250627_144250_WhatsApp.jpg
 
Arusha ni watu wa mihemko sana, Ila Huo mkoa uwe na mbunge Kichaa au mzima lazima serikali iweke Nguvu kubwa kuuendeleza mana Ni mkoa unaochangia Pato kubwa la taifa kupitia utalii na pia ni jiji la kimkakati kwasababu ya uwepo wa Makao makuu ya East africa Ivo mbunge hana effect sana, Government must invest kweny huu Mji

Watu wa Arusha ni very emotion imagine ile kulishwa nyama na Publicity ya Makonda ndio wameona anawafaa bure kabisa hao warusha
 
Back
Top Bottom