Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

Ukisema Arusha wawe serious una maanisha;

1. Ccm
2. Chadema
3. Tume ya uchaguzi
4. Police
5. Wananchi?
 
Haahaa labda mkalie kwa Samia🤣🤣
wote hao matapeli, walitaka kutudanganya na Royal Tour yao, ila haina impact yoyote kwenye hii sector, gharama walizotumia bora wangali punguza park fees na concession fees ungakuta serikali imepata mara dufu

Hizo tozo za kwenye hifadhu ni kubwa sana kwa wageni ndo maana majirani wao number ya wageni wanaotembelea kwao ni kubwa kuliko sisi
 
Kama mtu umepewa mkoa wote umeukimbia na kukimbilia kwenye kakipengere kamoja ka njia inaonyesha ni failure.
 
Kama ni mfumo unamtaka hakuna wa kupinga,,,, ! Wajumbe wanaweza kumchagua mtu wao jina likakatwa ! Tukiondoa jeuri na umimi bado makonda ni miongoni mwa viongozi wazuri sana kuliko vilaza wengi pale mjengoni
I beg to differ. Mzuri kwa unyanyasaji.
 
Kule hatoboi kama Lema akisimamisha mji mbona ata aje makala hatoboi kule hakuna ata mwenye time na hao wadudu ni yeye aliwabrand tu hakua mikoa iko serious kama mikoa iliyoko na wachaga wanajielewa sana baada ya wachaga wanafuata wakinga wengine muuliwe tu sijui vichwa vina uji
Lema hana ushawishi tena siku hizi

Ameshapotea huyo
 
Kama ni mfumo unamtaka hakuna wa kupinga,,,, ! Wajumbe wanaweza kumchagua mtu wao jina likakatwa ! Tukiondoa jeuri na umimi bado makonda ni miongoni mwa viongozi wazuri sana kuliko vilaza wengi pale mjengoni
Mkuu kitalembwa yawezekana una tatizo la afya ya akili. Uzuri wa Makonda unaupimaje?
 
Back
Top Bottom