macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,217
- 56,829
Tatizo siyo wananchi kuchagua, tatizo ni kuwa siku hizi wabunge wanateuliwa na rais. Watanzania tunasahau haraka sana sana.Yule anae taka jimbo lenu na kusema yeye ni mkaazi wa Arusha sasa tafuteni anapo ishi.
Ang'ang'ania nyumba ya Mteule mpya. Na mteule ana kaa Hotelini.
Bado hamja shtuka tuu kwamba hapa hakuna mwakilishi??
Kwenye kuchagua mwakilishi tuache ushabiki, chagueni mtu sahihi.
Hizi ni dalili za mwanzo kwamba mkisha mpa kura hapi ni bye bye wajinga.
Amkeni!!!! 😁