Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Acha uongo wewee
Uongo upi tena...hapo kwa sasa panaonekan hivi...!
1476951292956.jpg
1476951312414.jpg
 
Hakuna mji wa Tanzania uliwahi kuwa hivyo, Maisha!!!!
Mkuu miaka ya 50 mpaka 80 Arusha town ilikuwa na maendeleo makubwa yenye miundombinu yenye hadhi ya kimataifa, tatizo wanasiasa walikuja kuidumaza.
Ila kwa sasa inarejea juu kwa kasi ya ajabu.
 
1477044122316.jpg
hahahahaha ukikutana na machali kama hawa unajisachi kabla ujasachiwaa aahahahahaha [HASHTAG]#AcityVibe[/HASHTAG] Arushaaaaaaaaaaaaaaaa nomaaa sanaaaaa.....oooooiiiii
 
Ni Ujinga kumind hali ya kua wewe ni mtanzania, Hata Ulimwenguni wakiisifia Arusha basi ujue wameisifia Tz.


Halikadhalika pia ni ujinga kuponda kwa hoja za kijingajinga, pia ni ujinga kusifia ati kwa sababu umezaliwa pale au kwa sababu wewe/baba/babu yako anakijishamba cha robo eka pale Kisongo_Na_mwanya. Wote wanaoangukia kundi hilo ni wajinga/wapumbavu,


Ila ni vyema kuisifia mandhari ya jiji la Arusha kama mfano wa kuigwa kwa majiji mengine ndani ya nchi mf. mwanza, Mbeya n.k.
Pia ni bora Zaidi na Ufahari mkubwa kwa Mtanzania yyt yule bila kujali anatokea wapi kujinadi na kuisifia Arusha kwa wakazi wa nchi nyingine za East Africa mfano Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi n.k
Nadhani hapo ndio kwenye Hoja ya msingi na ndio maana wanaonadi kua Tz tunautajiri mkubwa wa Gas hawatokei Mtwara tuu peke yake bali hutoka sehem mbali mbali ya nchi.


The issue ni kua wasifiaji wanahusisha maendeleo ya Arusha na Majority Ethnic groups living there interms of Tribes/Religion ndio maana wapingaji nao wanaponda kwa hoja za kijingajinga kama hizo zitolewazo na wasifiaji mf Arusha si lolote si chochote, Hamna dili ninyi wakaskazini wabaguzi tuu.

Kwa hoja za namna hii ya kusifia Uzuri wa Arusha ati ndipo bora Zaidi kuliko kwengine na uzuri huo umetokana na wakaazi wa Arusha basi hata watu wa Dar kesho watajisifia ya kua Nyumbani kwao ndipo panaongoza kwa kutoa pato kubwa kwa Taifa letu/ watu wa Dodoma nao watasema kwao ndio mji mkuu wa nchi/watu wa Moshi watasema wao ndio wasafi kuliko watanzania wote na mwisho maswala mazima ya Ukabila, Udini na Ukanda ndipo yatashika kasi nchini kwetu.

Huu ni ukaburu na ni Ubaguzi wa watu wenye fikra fupi wanaotaka kutumia Natural Endowements kujinadi kua ni matakwa ya uweledi wao ktk namna moja au nyingine ndio maana miji yao imekua bora kuliko mingine.

Thx
 
Master nilishafika huko Momela majumba ni ya hatari alafu watu wanasema Arusha palipojengwa ni njiro. USA River imejengwa sana nyumba zimeachiana nafasi kuubwa sio mbanano kama watu wanavyozoea

Na Arusha watu hawapendi kubanana kabisa alafu wanapenda garden hatari hasa Meru. Kuna jamaa tulikua tunasoma nae chuo kila weekend lazima aende home kwao ukimuuliza kufanyaje anasema kukatia fance na garden hahahahaa
Home sweet home.

Heri ya mwaka mpya hommies.
 
Yeah home sweet home!!!!
Happy New Year mtu wangu huu ndio mwaka Arusha inabadilika pakubwa sababu projects nyingi zinakamilika na nyingi zinaanzishwa. Arusha all days Mummy
Home sweet home.

Heri ya mwaka mpya hommies.
 
Heri ya mwaka mpya...nilifurah sana ku spend holiday ndani ya arusha....now nsharud dsm..hope december Mungu akiniwezesha ntarud tena
 
Washamba watupu ninyi vijana wa arusha.
Mnaishi maisha ya ajabu sana huko arusha kama digidigi kule arusha national park.
Hivi hamjui kwamba hata idadi ya watalii inapungua huko kijijini arusha sababu ya uhalifu hapo arusha., kutwa mmeweka masime viunoni mjini kama mnawinda porini.
Mmeshavimbiwa banana mnaanza kusumbua watu hapa JF.
Na wote mnaotete huu upuuzi ni malofa watupu mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia huo utoto wenu.
Arusha ni moja ya mikoa yenye njaa kila mwaka na serikali inaingia gharama kubwa kuwahudumia huko.
Tumieni huo mda kusaidia wenzenu kule maporini wanaoishi kama ngedere longido, makuyuni, karatu , loliondo n. k waepukane na mila za kipuzi na njaa sio mnakuja hapa mnatapika mamirungi na mabanana mliyovimbiwa
Unachuki mbaya sana aisee...
We hufai hata kidogo
 
Back
Top Bottom