Huja
Hujasoma mpaka mwisho wewe,
Ila kasema kweli,we sema ya kwenu[/QUOT
Mdau,huu uzi ni mahususi kwa Arusha tu na mambo yake, hauhusiani na Kilimanjaro wala Manyara au sijui unapakana na wapi sijui la hasha,nilichokuwa namaanisha ni kwamba,mleta mada kama anavyoendelea kufanya hapa azungumzie mambo ya Arusha tu,bila kusema kwamba huu mkoa sijui umepakana na wapi au upo karibu na mbuga gani sijui ambayo haipo mkoani Arusha,nilichokua namaanisha ni kwamba Arusha ijitegemee kwa sifa zake bila kutaja sifa za mkoa au wilaya ya jirani ndio iwe kama sifa ya mkoa wa Arusha.
Sasa aliposema SENAPA ipo jirani na Arusha au ukitaka kwenda huko unaanzia Arusha ni sawa kabisa,lakini je?hii nayo inahusiana vipi na mkoa wa Arusha? ilihali hii ni njia tu kama zilivyo njia zingine.Japo hili nilishalitolea ufafanuzi katika nyuzi zilizopita,nafikiri utakua umenielewa ninamaanisha nini.