Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,634
- 49,039
Hii mitaa haijabadilika sana! Toka nakua mkuu hilo neno remtula lipo! Haha!Arusha ya 50s hiyo![]()
![]()
Hii mitaa haijabadilika sana! Toka nakua mkuu hilo neno remtula lipo! Haha!Arusha ya 50s hiyo![]()
![]()
Noma sana....hawa jamaa walienda kwenye gradu ya chalii waoView attachment 421887 hahahahaha ukikutana na machali kama hawa unajisachi kabla ujasachiwaa aahahahahaha [HASHTAG]#AcityVibe[/HASHTAG] Arushaaaaaaaaaaaaaaaa nomaaa sanaaaaa.....oooooiiiii
Ilkuwa ni kweree sana aise.Noma sana....hawa jamaa walienda kwenye gradu ya chalii wao
Mkuu, Hii kitu imeshakamilika...??? Daah...raha sana
Naona imeshakamilika mkuu,,,,wiki chache zilizopita nilisikia kutakua na ufunguzi but sikufuatilia km wameshaifungua rasmi ama badoMkuu, Hii kitu imeshakamilika...??? Daah...raha sana
Ni kwikwi mkuuHAKUNA MAHALI KAMA A-TOWN
Yechu yechu Eroo!Ni kwikwi mkuu
Wapo wa kutosha aisee,,,!jiji limeanza kuchafuka tena inabidi wahusika waangalie namna ya kulitatua hili tatizo maana ni kero.mchome jr nasikia Wamachinga wamerejea katikati ya mji...Daah...Jiji lufanye juhudi kuwaondoa tena..maana CBD ya Arusha ilikuwa safi sana
Hebu Ephata nanyaro aje atuambie mkakati wa kuwaondoa tena..Najua siasa ndio zinasababisha hayaWapo wa kutosha aisee,,,!jiji limeanza kuchafuka tena inabidi wahusika waangalie namna ya kulitatua hili tatizo maana ni kero.
Pacha upo? Wasalimie chuga erooHAKUNA MAHALI KAMA A-TOWN
Nipo Twin, salamu zimefika chief.Pacha upo? Wasalimie chuga eroo
Pamoja sana mkuu! Hao wachina wameshafikisha barabara mianzini?Nipo Twin, salamu zimefika chief.