Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arachuga long time kitambo in 1963
 

Attachments

  • 1467308360706.jpg
    1467308360706.jpg
    41.5 KB · Views: 74
  • 1467308450638.jpg
    1467308450638.jpg
    52.9 KB · Views: 73
Mbona hujaongelea kuwa arusha inaongoza kwa vijana wanaovuta bangi na ujambazi
Nitajie

mara ya mwisho kutokea uhalifu wa ujambazi Arusha ni lini?

-Mara ya mwisho kutokea kwa uhalifu wa ujambazi Dar ni lini?

-Halafu nitajie mara ya mwisho kutokea kwa uhalifu wa ujambazi Mwanza

Arusha watu tunaishi kwa amani sijui huo ujambaz unaosema wew upo huku Arusha ni upi, na dar juzi waliuwa majambazi ukienda mwanza juzi majambazi wameuwawa au huko ni ARUSHA? Jiongeze bro!

Wasioitakia meme ARUSHA na waeneza propaganda walisha ku brain wash kuhusu ARUSHA!! Arusha karibia kila kijana mwenye umri wa miaka 30 anatembelea Range tofauti na DAR na MWANZA ambao ni wezi wa mali za UMMA!
 
Hizi mada za kuisifia arusha sijui zina lengo gani.
Ninyi vijana wa arusha hao wakenya wamewalemaza mawazo huko kijijini kwenu arusha mnaanza kuwaiga tabia zao za kibaguzi.
Hivi nikuulize mleta uzi hiyo mada itawasaidia nini watanzania wa mikoa mingine.
Mkumbuke kwamba mnavyozidi kujitekenya humu JF na kisha mnacheka wenyewe mjue watanzania wenye uelewa wanazidi kuwadharau.
Kuna msemo unaosema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza huko kujitembeza kwenu mitandaoni kuisifia arusha ni kama mnautafutia bwana mkoa wa arusha.
Tulieni watu watakuja huko arusha na watawasifia hapa JF.
Nitarudi badae

Aisee na wewe ni walewale tu waswahili waiza nchi acha sisi tuendelee kuisifia arusha yetu
Arusha ni kwetu nitaipenda milele
Na iko siku kaskazini tutapata uhuru wetu ikiongozwa na arusha
 
Mimi naipendea hali ya hewa...hasa kipindi cha baridi....huwa najisikia raha sanna zaid ya nilipo dar.....lkn ntaendelea kuipenda zaid maana ninehamishiwa arusha kazin.....naamin ntaipenda zaidi.....naamini ntaoa pia Arusha..Mungu anisaidie.
Kwa sasa ni baridi mda huu ninapoandika ni 19'c...karibu mkuu hapo kwenye kuoa Mungu akutangulie
 
Habari zenu wadau.

Kwanza naomba niseme huu uzi hauna lengo la kuilinganisha Arusha na mkoa wowote Tanzania pia nataka huu uzi utumike kama reference kwa threads zote zitakazouongelea mji wa Arusha.

Dhumuni la kuuanzisha uzi huu ni kutokana na wimbi kubwa la members huku kuusema mji wa Arusha kwa namana tofauti ambazo pengine kutokana na kuwa sio wakazi wa Arusha wanaweza wasiwe sahihi sana.

MAMBO YA KIPEKEE KUHUSU MKOA WA ARUSHA.

1. Hati rasmi za uhuru wa Tanzania zilitiwa sahihi hapa na Uingereza mwaka 1961.

2. Azimio la Arusha la kujitegemea lilipitshwa mjini hapa karibu na maeneo ya mnara wa saa.

3. Makubaliano ya Arusha accords ya kusitisha vita nchini Rwanda yalipitishwa mjini Arusha mwaka 1993.

4. Una mbuga nyingi barani Africa, Hali ya hewa ni nzuri sana. Mbuga ya wanyama ya Serengeti na Ngorongoro, Ziwa Manyara, Olduvai Gorge, Arusha National Park,Tarangire na mlima Kilimanjaro zipo ndani\karibu na mji huu.

5. Arusha imechezwa movie ya Hollywood maarufu kama HATARI mwaka 1962.....Hatari! (pronounced [hɑtɑri], Swahili for "Danger!") is a 1962 Americanaction/adventure romantic drama film directed by Howard Hawks and starringJohn Wayne. It portrays a group of professional wildlife catchers in Africa.[2]The film includes dramatic wildlife chases and the scenic backdrop of Mount Meru, Arusha a dormant volcano.

6. Wakati mikoa yote inahangaika na madawati likiwemo jiji kuu la Dar, Arusha haikuwahi kuwa na upungufu wa dawati hata moja na kila secondary school inayo maabara hata kabla ya agizo la Rais. (shule nyingi za serikali za Arusha zina computer labs)

7. Arusha ndio mkoa wenye matumizi makubwa ya Internet kuliko Mkoa wowote Tanzania and East Africa.

8. Arusha ni mkoa wa kwanza kwa Social Development Index (Huduma Bora za Kijamii kama maji, life expetancy, Health services, Education) By UNDP

9. Arusha ndio mkoa unaofatia ukitoka Dar kwa wingi wa viwanda na kuchangia katika pato la Taifa.

10. Arusha ndio mkoa wenye gharama za juu za maisha kuliko mkoa wowote Tanzania, kama unataka kuanzia maisha Arusha na una uhakika hauna kipato cha kujitosheleza nakushauri ujaribu Mwanza.

CHANGAMOTO ZA JIJI LA ARUSHA

1. Roads Roads Roads, Barabara Arusha zipo nyingi ila ni nyembamba kutokana na mji huu kuwa na masterplan ambayo ni ya muda mrefu, Maeneo ambayo yanatakiwa kuwekewa mkazo ni pamoja na Olasiti, Olasiver, Englesheraton, USARiver, Moshono, Kisongo, Ngaramtoni ambapo ndipo mji unaelekea.

Mimi kama kama mzaliwa Arusha na nimetembea mikoa yote sio kupita kwa bus wala kukaa siku 2 bali nimeishi mikoa mingi kwa kweli, nimekuja koconclude Arusha ni ya kipekee sana kuanzia tabia za watu wa Arusha ni tofauti 100% na watanzania wote, Maisha ya watu wa Arusha ni tofauti na mikoa mingine na hata wa mikoani wakija Arusha wanakiri maisha ya Arusha na watu wake ni wa tofauti.

#Arusha #GenevaOfAfrica #SafariCity #UN #A-Town #Machalii #Mamong'oo #Arachugga #Mabillionare #Meli #Mafogo #MjiWaMabilionea #HalfLondon #TheOnly #MjiWaWajanja #Tanzanite #HeadQuaters #EastAfricaCommunity #Zurich #TanzaniteInTheSky #Wakakamavu #ChaliAraa #Jombii #Ungalelo #Matejoo #Ungalimii #Arifu #Makamanda #USARiver #Watengwa #Weusi #Nako2Nako
wanaume wa arusha kwa umbea na majungu mmezidi.....mnawazidi hadi wanawake zenu
 
Aisee na wewe ni walewale tu waswahili waiza nchi acha sisi tuendelee kuisifia arusha yetu
Arusha ni kwetu nitaipenda milele
Na iko siku kaskazini tutapata uhuru wetu ikiongozwa na arusha

Hongera kwa kuamua kuishi Half London..

Machaliii ya araaa bana
Washamba watupu ninyi vijana wa arusha.
Mnaishi maisha ya ajabu sana huko arusha kama digidigi kule arusha national park.
Hivi hamjui kwamba hata idadi ya watalii inapungua huko kijijini arusha sababu ya uhalifu hapo arusha., kutwa mmeweka masime viunoni mjini kama mnawinda porini.
Mmeshavimbiwa banana mnaanza kusumbua watu hapa JF.
Na wote mnaotete huu upuuzi ni malofa watupu mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia huo utoto wenu.
Arusha ni moja ya mikoa yenye njaa kila mwaka na serikali inaingia gharama kubwa kuwahudumia huko.
Tumieni huo mda kusaidia wenzenu kule maporini wanaoishi kama ngedere longido, makuyuni, karatu , loliondo n. k waepukane na mila za kipuzi na njaa sio mnakuja hapa mnatapika mamirungi na mabanana mliyovimbiwa
 
Hizi mada za kuisifia arusha sijui zina lengo gani.
Ninyi vijana wa arusha hao wakenya wamewalemaza mawazo huko kijijini kwenu arusha mnaanza kuwaiga tabia zao za kibaguzi.
Hivi nikuulize mleta uzi hiyo mada itawasaidia nini watanzania wa mikoa mingine.
Mkumbuke kwamba mnavyozidi kujitekenya humu JF na kisha mnacheka wenyewe mjue watanzania wenye uelewa wanazidi kuwadharau.
Kuna msemo unaosema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza huko kujitembeza kwenu mitandaoni kuisifia arusha ni kama mnautafutia bwana mkoa wa arusha.
Tulieni watu watakuja huko arusha na watawasifia hapa JF.
Nitarudi badae

Mmmh Mbona Kama umekwazwa Mkuu?
 
Washamba watupu ninyi vijana wa arusha.
Mnaishi maisha ya ajabu sana huko arusha kama digidigi kule arusha national park.
Hivi hamjui kwamba hata idadi ya watalii inapungua huko kijijini arusha sababu ya uhalifu hapo arusha., kutwa mmeweka masime viunoni mjini kama mnawinda porini.
Mmeshavimbiwa banana mnaanza kusumbua watu hapa JF.
Na wote mnaotete huu upuuzi ni malofa watupu mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia huo utoto wenu.
Arusha ni moja ya mikoa yenye njaa kila mwaka na serikali inaingia gharama kubwa kuwahudumia huko.
Tumieni huo mda kusaidia wenzenu kule maporini wanaoishi kama ngedere longido, makuyuni, karatu , loliondo n. k waepukane na mila za kipuzi na njaa sio mnakuja hapa mnatapika mamirungi na mabanana mliyovimbiwa
Jenga hoja km mtu mzima naona unaongea kwa chuki tu...!
 
Back
Top Bottom