Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

That a point. Ikiwa msingi ya Arusha na Tanga ni waingereza lakini misingi ya Mbeya na Mwanza ni Watanzania.
Lakini ujue Tanzania nzima misingi waliweka waingereza na wajerumani swali ni kwamba je mpaka saivi ni waingereza wanaendesha uchumi wa Arusha la bali ni wazawa.

Population ya Arusha miaka hiyo haikuzidi hata watu elfu kumi lakini saivi arusha ina zaidi ya watu million moja.
 
Yaani unaongea kama huko Arusha hatujafika..kwa taarifa yako nimeishi hapo miaka mitatu hivyo huwezi kunidanganya kitu
Hata ungeishi miaka 100 picha tumeziona a picture speaks thousands than empty words mandhari ya Arusha ni ya kipekee na hizo projects kubwa kuna mkoa unazo ukitoa Dar.
 
Hata ungeishi miaka 100 picha tumeziona a picture speaks thousands than empty words mandhari ya Arusha ni ya kipekee na hizo projects kubwa kuna mkoa unazo ukitoa Dar.
Hata Kilimanjaro zipo jombaa!!!
 
Oh no!

Intelijensia itafanya kazi tarehe 23 Julai kwa mkutano wa chama dola....
 
hali ya hewa ni nzuri ukilinganisha na mikoa mingine hii imekuwa ni kivutio kwa uwekezaji .
 
Mleta mada amenikumbusha mbali sana nikiwa ndio nimeenda boarding school Form One kwa mara ya kwanza nilikuwa na hii tabia yake....Mimi nimekulia Arusha kwa muda mrefu pia....but jamaa kaisifia sanaa....Its a place worth staying...hata sasa natamani sana nirudi....lakini kaisifia too much....Kila mtu lazima atasifia kwao ni pazuri....Kilichoisaidia Arusha kuwepo ni ile climate na kuwa exposed na biashara zinazohusisha mataifa mengine hasa madini,mahakama za kimataifa na utalii...baaasss.....bila hivyo Arusha ni kama Ruvuma tu!
 
Usisahau
1.Arusha inaongoza kwa idadi kubwa ya wavuta bangi
2.Idadi kubwa ya majangili.
3.Utafunaji wa mirungi.
4.Wahamiaji haramu(Hasa wasomali huishi Arusha kabla hawajaenda huko kwingine kama watanzania)
5.Wezi wa kutumia silaha.
6.Migogoro ya Ardhi(Hasa Meru)
7.Kuna maji mengi sana lakini yana fluoride nyingi(Ambayo sio mazuri kwa meno na mifupa kwa ujumla)
 
Wee ni muongo sana ,unasifia kwenu mpaka unapitiliza na vya wenzenu unafanya vya kwenu hapo namba 4 umeitaja mbuga ya serengeti kwamba ipo Arusha ni uongo, Serengeti haipo Arusha, Serengeti ipo mkoa wa Mara,sema tu watalii wengi hupenda kuanzia safari ya kwenda huko kwa kutokea Arusha.
....nadhani nyie wote mlifeli somo la Jiografia
 
Mleta mada amenikumbusha mbali sana nikiwa ndio nimeenda boarding school Form One kwa mara ya kwanza nilikuwa na hii tabia yake....Mimi nimekulia Arusha kwa muda mrefu pia....but jamaa kaisifia sanaa....Its a place worth staying...hata sasa natamani sana nirudi....lakini kaisifia too much....Kila mtu lazima atasifia kwao ni pazuri....Kilichoisaidia Arusha kuwepo ni ile climate na kuwa exposed na biashara zinazohusisha mataifa mengine hasa madini,mahakama za kimataifa na utalii...baaasss.....bila hivyo Arusha ni kama Ruvuma tu!
Sasa habari mbaya kwako ni kwamba hivyo vipo na vinakuja vingi vipya check video hapo juu so haitakuwa kama Ruvuma
 
Hivi unamjua Huyo jamaa au unaropoka tu!! Ushawahi kufika njeree bistro pale usa river/leganga ukanywa hata maji?
Ndio mana nawaambia ninyi vijana wa arusha mna mtindio wa ubongo na ni washamba kweli,
Huko kijijini arusha nakufaham kuliko unavyopafaham wewe mshamba.
Hapa njeree ni sehem ya kawaida sana ila kwa ushamba wako haujawah hata kuingia unaanza kuongea pumba tu.
Nilipokuwa huko kijijini arusha nikiwa leganga hapo njeree ndio nilikuwa naenda kunywa bia ambayo wanauza elfu tatu hapo.
Pembeni ya njeree kuna benki ya nmb na mbele yake kuna minmarket ya leganga niliyokuwa nanunua mahitaji yangu.
Acheni ushamba ninyi vijana wa arusha , hicho kimji cha kawaida sana
 
Ndio mana nawaambia ninyi vijana wa arusha mna mtindio wa ubongo na ni washamba kweli,
Huko kijijini arusha nakufaham kuliko unavyopafaham wewe mshamba.
Hapa njeree ni sehem ya kawaida sana ila kwa ushamba wako haujawah hata kuingia unaanza kuongea pumba tu.
Nilipokuwa huko kijijini arusha nikiwa leganga hapo njeree ndio nilikuwa naenda kunywa bia ambayo wanauza elfu tatu hapo.
Pembeni ya njeree kuna benki ya nmb na mbele yake kuna minmarket ya leganga niliyokuwa nanunua mahitaji yangu.
Acheni ushamba ninyi vijana wa arusha , hicho kimji cha kawaida sana
Arusha pia ni sehemu ya Tanzania mbona unapachukia sana broh?
 
Arusha pia ni sehemu ya Tanzania mbona unapachukia sana broh?
Jukwaa huru hili kijana, tunafaham ajenda zilizopo kwenye nyuzi nyingi tofauti zinazoanzisha humu JF na watu wa huko.
Usiogope kaa pembeni uone huu mchezo unavyoenda
 
Ukikua utaacha ushamba
Ila makondakta amesema watu type hyo yenu tusiwafollow.

Hivyo nakupuuza tu
314419901718c1218f14b466704e7ce7.jpg
 
Jukwaa huru hili kijana, tunafaham ajenda zilizopo kwenye nyuzi nyingi tofauti zinazoanzisha humu JF na watu wa huko.
Usiogope kaa pembeni uone huu mchezo unavyoenda
Peleka ukuda huko threader ameshasema hataki ligi objective zake ni kuuelezea mji wa Arusha and obvious that's what have been done here wewe tu ndio nakuona unaleta challenge za kipimbi like an empty set blal fuuu.
 
Back
Top Bottom