Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

alafu mleta uzi kama nakusoma hivi dizain teh umeleta umang'aa wa kutosha
Hahahahaa aise arif we ni kwere. Ameweka mautamu chalii nimemuelewa kinyamaa hii thread imekua kama lakuchumpa kwa foot. Yaan ni fulu mangeu kwa haters. They should get hanged hahahaaa.

Big up threader.
 
nimependa vile amechambua tokea mwanzo kabla hajaanza kuwaeneka haters na mapicha ya adabu toka jiji teule A City kwani ni fact baada ya fact adi wachawi wamekubali dadeq. Sorry mkuu chongchung handset yangu inazingua kuquote nimekujibu kwa chini chalangu
 
nimependa vile amechambua tokea mwanzo kabla hajaanza kuwaeneka haters na mapicha ya adabu toka jiji teule A City kwani ni fact baada ya fact adi wachawi wamekubali dadeq. Sorry mkuu chongchung handset yangu inazingua kuquote nimekujibu kwa chini chalangu
Kudadenga..maChalii wamewaeneka mnyukoo wa adabu. Mtu anakaa huko naiyele sijui kibamba alafu anatalk as if anaielewa chugga that's so creepy.
 
mkuu chongchung we have to be proud of our city, ni gift from God ata hizo raia zingine zinafahamu lazima tuwe proud na kitu Mungu katujaalia
 
Kamanda umemaliza sifa zote big up
#old school sio swaga
#watu wote ni people's power
#chachu ya mageuzi ya kweli
#hakuna MASORO(by joh makini)
 
Chuki zako kwa Arusha dhahiri kabisa..

Hivi kwenye huu uzi wewe kimekuchukiza kipi?? Tumekuombeni msifie mji wetu?? Tumesema wapi ni lazima nyie msifie mji wetu?? Ni vibaya sisi kuamua kusifia mji wetu?? Tumeomba wapi validation ya ninyi ku approve mji wetu ni mzuri kama tunavyousifia??

Naomba unijibu hayo maswali...
Waambie hao wasifie Maswa na Ngara...
 
I love you arushaaa jiji la mAtajiriii kama una pesaa utapakimbia jijinii arushaaa WaTU TUNAISHI MAISHAAA KAMA YA WATALIIIIII
 
Kabla Nyerere hajaenda UN tayari Wameru kutoka Arusha walishaenda kudai uhuru wao!!
Unamaanisha nini? kwamba kulikuwa na koloni la meru, ebu tusaidie mkuu ilikuwa inatawaliwa na dola ipi.
 
Unamaanisha nini? kwamba kulikuwa na koloni la meru, ebu tusaidie mkuu ilikuwa inatawaliwa na dola ipi.
Unamfahamu Japhet Kiliro ?? Pitia historia ya Tanzania! Utakuta habari hii Alienda kuomba uhuru wa Wameru UNO... Lingine ni kuwa Wameru walifungua kesi Queens Bench kudai ardhi yao kesi hii maarufu inaitwa "Meru Land case"
 
Unamfahamu Japhet Kiliro ?? Pitia historia ya Tanzania! Utakuta habari hii Alienda kuomba uhuru wa Wameru UNO... Lingine ni kuwa Wameru walifungua kesi Queens Bench kudai ardhi yao kesi hii maarufu inaitwa "Meru Land case"
Man hii ni fact kubwa sana na sijui niliisahau vipi ila nimeipandisha tayari..... Kudos
 
Back
Top Bottom