Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Alafu barabara is east Africa inapita arusha so panazid kukuwa kishenz kama kule kwa mrombooo ni shidah. Arusha pk yake ndo unapata mbuz og sio mikoa mingine watu wanauziwa had mbwa.
 
jengo gani hili? inaonekana kama magari yanapandishwa juu kwa lift! FYI hii ni first automated and sophisticated car park
DSC02002.jpg
Kwa hili mkuu huna DATA
Kwa Dar zipo zaidi ya miaka kumi ilopita tena majumbani kwa watu na maeneno fulani fulani kariakoo
 
Inatakiwa itoe rais sio mawazili wakuu wakuteuliwa ..mkoa wa Mara mbona wapo kimya wakati ndio waliotoa rais ...baba wataifa hili ...acheni masifa yasiokuwa na mbele wala nyuma ...Serengeti iko mkoa wa Mara sio arusha ...kuna ziwa Victoria .,..samaki wazuri,sato.sangara ..dagaa wazuri utawakuta kila kona ya nchi hii

Wewe jamaa kuna wenzako wanasema maendeleo ya Arusha na Moshi ni kwasababu ya mawaziri wakuu wa asili ya huku ndio walipendelea.. Hatuna sababu yoyote ya kujisifia na viongozi wa kisiasa
 
Wewe jamaa kuna wenzako wanasema maendeleo ya Arusha na Moshi ni kwasababu ya mawaziri wakuu wa asili ya huku ndio walipendelea.. Hatuna sababu yoyote ya kujisifia na viongozi wa kisiasa
Moshi iliendelea hata kabla ya Uhuru
Ni sehemu pekee iliyokuwa na lami kijijini mpaka mlangoni pia simu pia maji ya heater na masterbedroom kijijini kwa kila kaya.
 
Moshi iliendelea hata kabla ya Uhuru
Ni sehemu pekee iliyokuwa na lami kijijini mpaka mlangoni pia simu pia maji ya heater na masterbedroom kijijini kwa kila kaya.
Barabara ya rombo imefunguliwa na jk mwaka Jana...kibosho hakuna Barbara...huru kishmundu,mawella...mabogini,njoro ,majengo,soweto ,oldmoshi,hakuna barabara za lami
 
Hizi mada za kuisifia arusha sijui zina lengo gani.
Ninyi vijana wa arusha hao wakenya wamewalemaza mawazo huko kijijini kwenu arusha mnaanza kuwaiga tabia zao za kibaguzi.
Hivi nikuulize mleta uzi hiyo mada itawasaidia nini watanzania wa mikoa mingine.
Mkumbuke kwamba mnavyozidi kujitekenya humu JF na kisha mnacheka wenyewe mjue watanzania wenye uelewa wanazidi kuwadharau.
Kuna msemo unaosema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza huko kujitembeza kwenu mitandaoni kuisifia arusha ni kama mnautafutia bwana mkoa wa arusha.
Tulieni watu watakuja huko arusha na watawasifia hapa JF.
Nitarudi badae
Nakumbuka ile mikoa ya THE BIG four haikuwa inajisifia...
 
Wee ni muongo sana ,unasifia kwenu mpaka unapitiliza na vya wenzenu unafanya vya kwenu hapo namba 4 umeitaja mbuga ya serengeti kwamba ipo Arusha ni uongo, Serengeti haipo Arusha, Serengeti ipo mkoa wa Mara,sema tu watalii wengi hupenda kuanzia safari ya kwenda huko kwa kutokea Arusha.
Huu unaitwa Mkurupuko ,amesema zipo ndani/karibu na Arusha.
 
Barabara ya rombo imefunguliwa na jk mwaka Jana...kibosho hakuna Barbara...huru kishmundu,mawella...mabogini,njoro ,majengo,soweto ,oldmoshi,hakuna barabara za lami

Hahahahahaha mwangalieni huyu mjinga... Rombo Barabara ilijengwa tangia wakati wa Mkapa.. Kibosho barabara imejengwa zamani wewe unasema hakuna barabara??
 
The Institute of Accountancy Arusha..

2.jpg


hqdefault.jpg
 
Hahahahahaha mwangalieni huyu mjinga... Rombo Barabara ilijengwa tangia wakati wa Mkapa.. Kibosho barabara imejengwa zamani wewe unasema hakuna barabara??
hahahahaaa aise ni ngumu kumuelimisha mtu ambaye hata sehemu yenyewe hajafika alafu anarapu with no facts, sijui ni nani anwalipa...
 
Back
Top Bottom