mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Tulieni dawa iwaingie,😀😀😀 na kweli huyu ni wakupuuzwa sababu ukimsoma anachokiongea haswa hamna mantiki anapinga picture kuwekwa huku utafikiri yeye ndio anazishikilia zisidondoke hoja za kipumbavu kichupi.
Huko arusha ni kijijini tu.
Kungekuwa kuna maisha mazuri masai wasingekuwa wanatoka huko nakuja dar kuwa walinzi, wasusi na kuuza madawa,.
Na hata hao madada wenu wasingekuwa wanakimbia arusha nakuja jijini Dar kujiuza.