Huo ni ushamba tu, hamna lolote ninyi vijana wa arusha zaidi ya ushamba, ubaguzi na kujiona ninyi ni bora kuliko wengine.
Hivi kila mkoa ukianza huo upumbavu wenu itakuaje hapa TZ.
Mkoa wenyewe wa kawaida halafu mnajipamba kama mnautafutia mume mkoa wa arusha.
Tunachopinga hapo kwenye hizi mada kuna chembe za ubaguzi, ukanda na ukabila.
Badilikeni ninyi msiwe kama mmedumaa akili huko arusha.
Ni jambo zuri kuzungumzia Tanzania kama nchi ila sio kama huo ushamba wa kuzungumzia mkoa mmoja kwa hoja zisizo na maana yeyote kwa watanzania.
Mmeshamaliza kutengana wenyewe kwa wenyewe huko arusha kati ya watu wa karatu, monduli, loliondo, longido n. k mnataka kuleta huo ubaguzi nchi nzima, hatuwezi kuwavumilia.
Tutaendelea kuzivuruga hizi mada zisilete maana yeyote.
Badilikeni ninyi vijana wa arusha.
Tanzania kwanza.