umeeleweka mkuuKasema vipo ndani au jirani
umeeleweka mkuuKasema vipo ndani au jirani
Nenda sasa ivi ujioneeNilifikiri unasfia uzur wa Arusha kumbe hata na ubaya wake pia unausifia.. In that sanse tambua kua kila mkoa ni unique... na una uzur wake ambao huwez ona sehemu nyingine.. zaid sana unatakiwa utembee ili upunguze ushamba na mtazamo wa kizamanii..
Haa haaa umenichekesa saba eroo kwenye hao wamama ajue tuu kwenye daladala dollar inatumika kama kawa.Uyo jamaa ukimuuliza dola anafikiri ni vyombo vya usalama wakati Chugga wamaza wanaouza ndizi wanaifahamu dollars kuliko federal reserve hahahaa
tuko tumekula tranyaaah! araiyoooo na ngenyeraaa!Mamong'oo manjeree machalii ya araaaa....oooooi
Huyo mwache hajui maenendeleo anayoyaona huko mjini na mikoa mama dar nk ni wachagga wamewekeza huko sana na watu wa A town pia. Mwambie huyu ndezi siku wakileta za kututenga kikanda kaskazini tukirudi kuwekeza kwetu full mikoa hio itabaki kuwa magofu man. Hata rais wake aliyepita aliwahikiri. Ukienda sehemu ukimkosa mchaga hapo basi hapo hapafai kuishi. Sema wakaskazin hatutakagi usoro wa ukanda. Mi mchagga ila I always in love with A town dah ni sheeederh!!!Aise we jamaa umeongea pumba za hatari yaani unasema Moshi hapajaendelea au mbona hilo hata kichaa anajua Moshi kumeendelea mpaka mgombani lami maji ya bomba umeme majengo ya maana mashule yenye kila kitu mahotel ya kitalii mpaka mabank usiongee usichokijua.
Mountain Kilimanjaro umeipaisha moshi na Kahawa missionaries wachagga waliendelea miaka ya 1930
mkuu naomba unisamehe kuwafananisha wazawa wa arusha na watu wa pwani nilipitiwa tu.Umekosea sana kufananisha wenyeji wa Arusha na Pwani. Binafsi nimehisi umetutukana na usirudie tena, wachaga kuuziwa viwanja si kosa na ni utamaduni uko kila mahali na nchi za mbele ipo. Na wachaga wasingenunua viwanja Ar kama wasingeona opportunity, ni kosa kubwa kusema Arusha imeendelezwa na wachaga huo ndio ukabila wenyewe, popote ulipo ukiamua unaweza kupaendeleza na Arusha imeendelea toka enzi rejea point no 4. Na kwa taarifa yako waarusha ndio walikuwa na tabia ya kuuza mashamba lakini siyo Meru. Mwisho nimalize kuwa wenyeji wa Arusha kwa asili nikimaanisha wamasai, wameru, waarusha, wairaq, watindiga na wasonjo wote ni wachapakazi huwezi kufananisha na hao uliowafananisha. Isifie Arusha lakini usiwaponde wenyeji ukawasifu wachaga.
taratibu brother utafanya watu wapasuke,wakisikia neno kaskazini wanakosa amani,ukiongeza na hiyo empire ndio kabisakuna kitu huwa tunaitaga The Northern empire! Ni shigidi....
Slang ya Chugga ni tamu kama mtori haina reetuko tumekula tranyaaah! araiyoooo na ngenyeraaa!
mkate namesa chai sheee ero silipi....silipiii

Yaani hii ina trend sana watu wana wivu sana na elite empiretaratibu brother utafanya watu wapasuke,wakisikia neno kaskazini wanakosa amani,ukiongeza na hiyo empire ndio kabisa

teh teh teh teh waache wavimbe wapasuke wanatamani tungekuwa wao na wao wangekuwa sisi lakini ndio hivyo wamechelewa waende mikoani kwao wakaanzishe wakaanzishe empire zao.Yaani hii ina trend sana watu wana wivu sana na elite empire![]()
![]()
![]()
watanyooka tu kwa fasi ya dwasi mazeetaratibu brother utafanya watu wapasuke,wakisikia neno kaskazini wanakosa amani,ukiongeza na hiyo empire ndio kabisa
Huu uzi ni kwa Watu wa-Arusha....Ni mahususi kwa kutoa sifa za mji wetu...Uzi huu ni wa kipumbavu
..na ukabila
Bien dit...Huu uzi ni kwa Watu wa-Arusha....Ni mahususi kwa kutoa sifa za mji wetu...
Na wewe anzisha uzi kuisifia katavi yenu..
Acha zako wewe ..jisifie utaifa wako... acha kutuletea mambo ya kinyarwanda 1994...verypoor thinking!!Huu uzi ni kwa Watu wa-Arusha....Ni mahususi kwa kutoa sifa za mji wetu...
Na wewe anzisha uzi kuisifia katavi yenu..
Wew mjanjaYaani katika malodge na mahotel yaliyoko Arusha mleta mada ajayafikia hata nusu Arusha kwenye lodges na hotels apambane na Nairobi hapa bongo hamna.