Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Mkuu sitaacha kuusifia mkoa wangu hata siku moja... Wewe humu ikitajwa vibaya Range Rover au Dar lazima ufike kutetea, lakini ajabu hupendi wengine tusifie vyetu...

Mimi kusifia Arusha haiwi ndio kuulinganisha Mkoa wangu na sehemu nyingine..

Utafikiri ninamiliki....🙂🙂🙂🙂🙂🙂...Kwa dongo hilo nime surrender.....
 
Duh, watu wengi wa ulaya wanasema ukienda Afrika wanyama mwitu wanaishi pamoja na binadamu. Nimefurahi kuona huyo tembo akikatiza mitaa akipishana na binadamu. Inafurahisha sana
 
Arusha bila kuwa na million angalau 50 sahau plot. Labda kama unataka pa kuoteshea mti.
 
Part of Safari City hiyo... Vipi kule kwenu Rungwe miradi mikubwa ya matrillioni kama hii itaenda lini?? Lazima mpasuke ateri kwa chuki hahahahahahahaha.. Mind u, ujenzi umeshaanza

arusha_03.jpg
arusha_02.jpg
arusha_01.jpg
safari city ipo maeneo gani?
 
nimezaliwa Arusha nitakwenda kokote duniani lakini ntarudi kujenga Arusha nitafia Arusha na siku ya ufufuo nitafufukia ARUSHA!
 
wakati maeneo mengine wakiangaika na madawati na maabara huku hilo tatizo hakuna nakumbuka mwaka jana wakati agizo la ujenzi wa maabara linatolewa shule iliyo hapa jirani nilishuhudia wakiboresha na kuwa na maabara nne zikiwa na masinki gesi na mifumo ya maji meza na stuli ndefu nk
 
Kuna watu tukiongeleaga Arusha ni ulaya ya Tanzania wanadhani tunafanya mchezo..thread hii itawafundisha adabu.Na wengine nadhani wakiona hayo mavitu wanadhani ni uongo tuna download kutoka kwenye mtandao mahotel na maeneo ya ulaya na marekani..Unfortunately kwao hii ni Arusha.We gonna kill Arusha haters with this thread!
 
Back
Top Bottom