Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
Mkuu kuna hotel moja ipo huko mitaa ya kisongo,mbele ya Burka(nafikiri opposite na uwanja wa ndege),kuna hotel moja jina lake limenitoka hata timu ya simba waliwahi kwenda kuweka kambi kwa wiki mbili hivi.Nasikia imetulia laana..Ukifika ni kama mbele mazima,yaani ni fulu! Tanzania mzima hamna!Hebu fanya mishe uweke picha zake hapa watu wapagawe...