Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

EAC HQ Arusha..

Bild_EAC_Gebaeude2.jpg


00221270:8ecb9ac3c65e11ecee70be0de3d8a1fa:arc614x376:w614:us1.jpg
Watakwambia photo shop
 
Mmeshaanza kuchanganyikiwa na bado nawaandalia dozi kamili inachemka mda huu mpaka muache ninyi misukule ya arusha.
Ninyi vijana wa arusha si ridhiki kabisa, mnajipamba kama kwa maneno na vipicha vya mahotel ambayo mnayaona na kuyasikia tu.
Mnatia sana huruma kwa kujivunia vitu ambavyo haviwahusu na huo unaitwa utumwa wa mawazo.
Amkeni ninyi misukule ya arusha.
Part of Safari City hiyo... Vipi kule kwenu Rungwe miradi mikubwa ya matrillioni kama hii itaenda lini?? Lazima mpasuke ateri kwa chuki hahahahahahahaha.. Mind u, ujenzi umeshaanza

arusha_03.jpg
arusha_02.jpg
arusha_01.jpg
 
Arusha Babyy #Hawatuweziiii

IMG_20140720_112838_zps6920e52c.jpg


IMG_3254.jpg


IMG_3256.jpg






IMG_20140720_111538_zpsc929437e.jpg


Karibu A City Jiji la matajiri hatunaga longolongo,,,,,,,,,,,,,,,,, estate kwa fasi ya Kisongo hapo sababu kuna duwanzi zinabwatukaga huku Arusha ni Njiro tu,, mtatukoma mwaka huu...
 
Arusha Babyy #Hawatuweziiii

IMG_20140720_112838_zps6920e52c.jpg


IMG_3254.jpg


IMG_3256.jpg






IMG_20140720_111538_zpsc929437e.jpg


Karibu A City Jiji la matajiri hatunaga longolongo,,,,,,,,,,,,,,,,, estate kwa fasi ya Kisongo hapo sababu kuna duwanzi zinabwatukaga huku Arusha ni Njiro tu,, mtatukoma mwaka huu...
Vitu kama hizi ndizo zinafanya watu wanabwabwaja kwa wivu maana huko makwao havipo na havitakaa viwepo
 
Nawaomba jamani, tuungane kui promote TANZANIA.. sio mikoa mi ni mzaliwa wa arusha but i really hate ushindani wa namna hii, huko nje tunahukumiwa kama wa TZ sio wa arusha!
 
Ungekuwa ni miji ya washamba mngeipigia Kura kwenye maajabu ya dunia? at the end you will kneel down there mkuu. HUKUNA NAMNA A town baby

Safari City... Ujenzi umeshaanza..

ARUSHA.jpg.jpeg

USA River Satellite City mambo yatakuwa hivi.. Je, kule kwenu Iyunga, Uyole kukoje?? Lazima mnune hahahahahahaha

salama_3.jpg

Huwezi kuja Arusha ukiwa mlaini mzee kama wewe ni mikono soft usijichanganye kule. Kwanza kupanga geto likamilike kidogo yaani kiaina ama kama linataka kutokelezea kukamilika kuitwa geto/rough la msela pale andaa 2ml. Vinginevyo chugga kusikie ile ndo Luanda ya Tz

Unasifia sifa

Teh teh wakiona hivi wanakasirika sana

EAC HQ Arusha..

Bild_EAC_Gebaeude2.jpg


00221270:8ecb9ac3c65e11ecee70be0de3d8a1fa:arc614x376:w614:us1.jpg

Akili yako na mwenye picha ni mulemule...Arusha baby!

Watakwambia photo shop

Part of Safari City hiyo... Vipi kule kwenu Rungwe miradi mikubwa ya matrillioni kama hii itaenda lini?? Lazima mpasuke ateri kwa chuki hahahahahahahaha.. Mind u, ujenzi umeshaanza

arusha_03.jpg
arusha_02.jpg
arusha_01.jpg

Mambo ya Safari City hayo... Wengine mambo kama haya yatafika mikoani kwao 2100.. Lazima wachukieee

arusha_06.jpg
arusha_07.jpg
arusha_08.jpg
arusha_05.jpg
Mimi ni mtanzania wala sina matatizo ya akili kama ninyi. sehem ya kusifia nitasifia kwa mustakabali wa nchi ya TZ na sehemu ya kuponda nitaponda kama hivi kwa mustakabali wa TZ.
vijana ni wa arusha ni kama punda wa wazungu hapo arusha au kama wasindikizaji wa msafara.
Maisha ya arusha mnayoyasifia ni wazungu na watu wachache wa arusha wanaoishi aina hiyo ya maisha na hizo picha za majengo mnaishia kuzitazama nje.
Amkeni kwenye huo utumwa wa akili kwa kusifia huo ujinga.
Nendeni kule sakina nyumba nyingi wanaishi wakenya labda maeneo ya raskazone, milestone n. k, nendeni njiro nyumba nyingi wanaishi wazungu na makampuni ya kigeni kuanzia pale general tyre nanenane labda kule porini njiro kwa msola hadi kule veta karibu na atomic.
Maeneo ya makazi kwa wanaarusha wengi ni ngaramtoni, sekei, sanawari, matejoo, mianzini, kwa idi, moshono, kijenge juu na chini, chekereni, unga ltd usa, tengeru, maji ya chau n. k hapo ndio mjini.
Nenda huko kijijini kuanzia kisongo, monduli, makuyuni, mto wa mbu, karatu n. k ndio kunatia huruma kabisa.
Sasa nini cha ajabu huko arusha hadi mnakuja hapa JF kuleta utoto wenu.
Elimisheni jamii zenu huko maporini arusha sio kwa kulewa mibanana ya mia mbili mnakuja kujidhalilisha kwa ukanda na ukabila wenu huko kijijini arusha.
 
AICC nao wanajiingiza kwenye real estate business na Arusha ndio soko lake........ watapeleka wapi ssa...

icc.jpg


unnamedF.jpg
 
DAR ES SALAAM the true silent City.
 

Attachments

  • 1467319752991.jpg
    1467319752991.jpg
    42.3 KB · Views: 79
  • 1467319759621.jpg
    1467319759621.jpg
    27.9 KB · Views: 75
  • 1467319765472.jpg
    1467319765472.jpg
    69.5 KB · Views: 72
  • 1467319770071.jpg
    1467319770071.jpg
    93.4 KB · Views: 74
Back
Top Bottom