Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Aga khan University Campus in Arusha, the project is about to start.. Itakuwa 4 km kutoka Arusha Airport na itagharimu zaidi ya 1 Trillion Shilling za Kitanzania.. Itachukua wanafunzi kutoka Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudan Kusini kwa kuanzia kama moja ya kuimarisha Ushirikiano wa Afrika Mashariki...

Hii University itashindana na Udom kwa ukubwa.. Ndani ya chuo hiki kutakuwa na Shule ya Msingi, Sekondari, Hostels, Hospitali, Hotel kwa ajili ya mazoezi kwa wanafunzi na facilities nyinginezo.. Project kama hizi haziwezi kwenda Iyunga au Sengerema kamwe hahahahaha

aku-fas-30.jpg
aku-fas-26.jpg
aku-fas-24.jpg
aku-fas-07.jpg
aku-fas-03.jpg
aku-arusha-campus.jpg
aku-fas-16.jpg
aku-fas-29.jpg
aku-fas-02.jpg
 
We vipi? Mapenzi yanaanzia nyumbani then huko uendako, jivunie home sio ugenini, ugenini tengeneza heshima MTU Wangu. Hata Mgosi ukimuuliza kwao wapi atakuambia TA

City ipi tujenge mkuuu. Karibu mbugan tarangire or ngorongoro .ule kuku

Life ni vile utavyoishi,kama utaendekeza mambo ya kipuuzi ndio utakayoyaona lakini kama utafanya shughuli zako mambo kawaida tu,ubaya hauna kwao wala hauna mwenyewe,kusema kwamba watu wa eneo fulani ni wabaya inategemea umeishi nao vipi,kwa kweli mimi siwezi kuwasema vibaya watu wa Arusha,kwanza kuna makabila mengi tu japo wachaga wanaweza kuwa wanaongoza lakini kwa miaka saba mimi nimeishi nao poa kabisa .

We ni chaakula kweli

zinapangishwa hizo Arusha, una hela??

ar122219693156795.jpg


2997.jpg


IMG_7238-300x167.jpg


IMG_3635-640x360.jpg


DSC_0429-640x360.jpg

Hujui unachokiponda wewe, ukimuuliza anaefagia ikulu anafanya KAZI wapi? Jibu jepesi ni ikulu, huko note ni R one, mtindio huru jiongeze
Misumari tu hapa hadi mtanyooka nyie misukule ya arusha,
Hizo story zenu za kitoto mnatakiwa mkawapigie masai kule porini huko kijijini arusha, huku mkifikiria namna gani ya kuzikomboa jamii zenu kule maporini loliondo, karatu, longido, monduli n. k kwa mila zenu chafu za ukeketaji n. K
Chuga a. k. a chura City
 
Eh! vijana wa chuga siwawezi mpaka saa hizi bado mnaendeleza libeneke? nyie kiboko hiyo mall ya AIM STEEL iko wapi hapo Arusha?by the way mimi nimeishi sana Arusha ingawa ni mtu wa pwani na bado napapenda kwani nahisi kama vile kuna sehemu kubwa ya maisha yangu yapo kule ninapoona mambom yanayoendelea huko najifeel raha na kukumbukia wakati nikiishi huko i real love Arushaits my second town.
Mkuu umetoka Arusha lini usijue hii Mall... Tena karibia inafunguliwa mbona.. Ipo pale after Cultural Heritage kama unaenda Airport ya Arusha... Mall nyingine kubwa inajengwa pale Kaloleni na AICC kwa kushirikiana na LAPF..

14219353033910_zps3ytncjt8.jpg
 
Mansion ipo USA River kuna wale wanasema Chugga ni poor waje kupanda dau...

Drone-photos-houses-and-Golf-KGD-019-640x360.jpg


Drone-photos-houses-and-Golf-KGD-015-300x167.jpg
Drone-photos-houses-and-Golf-KGD-015-300x167.jpg


Arusha is dopee, hvi vitu ni US tu huko California na Los Angels tu.
 
Hahahaaaa yan Dar mnaringia mwendo kasi na daraja la kigambon zaid ya hapo hakuna jipya.
Juz nlikuwa Dar yan hewa nzito kariakoooo., chakula shidah, population ndo usiseme , sijui uko fery ukipanda hiyo bot mnabanana yan shida tupu. Ukikod tax unaonekana jambazi. Mh. Ndo Mara yangu ya kwanza kupanda bajaji. Nusu nizimie. Yan Dar mh
Mkuu achana na ya Dar na mikoa mingine... Siye hapa tuongelee yetu tu...

Huyo wanaleta habari za Dar na Mwanza ili aharibu huu uzi.. Usimpe hiyo attention..
 
Mansion ipo USA River kuna wale wanasema Chugga ni poor waje kupanda dau...

Drone-photos-houses-and-Golf-KGD-019-640x360.jpg


Drone-photos-houses-and-Golf-KGD-015-300x167.jpg
Drone-photos-houses-and-Golf-KGD-015-300x167.jpg


Arusha is dopee, hvi vitu ni US tu huko California na Los Angels tu.
Mmeshachanganyikiwa ninyi misukule wa chuga city a. k. a chura city.
Kwanini mnaanza kupost picha za guest house hizo.
 
Mkuu umetoka Arusha lini usijue hii Mall... Tena karibia inafunguliwa mbona.. Ipo pale after Cultural Heritage kama unaenda Airport ya Arusha... Mall nyingine kubwa inajengwa pale Kaloleni na AICC kwa kushirikiana na LAPF..

14219353033910_zps3ytncjt8.jpg
Nimeondoka 2008 ila hiyo ya habari ya LAPF nilipita wakati fulani nikaona nyumba za pale soweto zinazotazamana na florida2000 zimebomolewa ndio wakasema watajenga Mall na apartment hapo,Ar itakua imebadilika sana.
 
Ola City rent for $1.500, wapi kama si Chugga...

051-640x360.jpg


Kili Golf Estate $895

DSC05673-640x360.jpg


DSC05667-300x167.jpg
DSC05676-300x167.jpg


USA River

cid_0702513F-D918-4229-BC19-7CB57D5FFBA6-640x360.jpg


IMG_6260-300x167.jpg
IMG_6247-300x167.jpg


Kili Golf Estate

DSC_0105-640x360.jpg

DSC_1068-300x167.jpg
Kili-Golf-houses-drone-003-300x167.jpg
Hadi mnatia huruma huko kijijini mtachambua mafaili ya vinyumba vyote.
Lakini huko kijijini arusha kutabaki porini tu.
 
Nimeondoka 2008 ila hiyo ya habari ya LAPF nilipita wakati fulani nikaona nyumba za pale soweto zinazotazamana na florida2000 zimebomolewa ndio wakasema watajenga Mall na apartment hapo,Ar itakua imebadilika sana.
And yet, big changes to come... Ar ya 2020 ambako project nyingi zinazoendelea hapa zitakuwa zimekamilika itakuwa ni mji wa kipekee sana hapa Tz... Yaani kama tu ilivyo US, New York ni mji muhimu, wenye wafanya biashara wakubwa na Jiji tegemezi kwao lakini San Fransisco ni mji ghali zaidi US and the most beautiful city in US..
 
Another town in Tanzania say Dodoma the capital town
 

Attachments

  • 1467325966942.jpg
    1467325966942.jpg
    78.6 KB · Views: 82
  • 1467325975181.jpg
    1467325975181.jpg
    20.7 KB · Views: 77
  • 1467326014171.jpg
    1467326014171.jpg
    7 KB · Views: 76
  • 1467326024037.jpg
    1467326024037.jpg
    15.1 KB · Views: 83
  • 1467326031852.jpg
    1467326031852.jpg
    26.6 KB · Views: 86
  • 1467326052191.jpg
    1467326052191.jpg
    31.3 KB · Views: 77
Ola City rent for $1.500, wapi kama si Chugga...

051-640x360.jpg


Kili Golf Estate $895

DSC05673-640x360.jpg


DSC05667-300x167.jpg
DSC05676-300x167.jpg


USA River

cid_0702513F-D918-4229-BC19-7CB57D5FFBA6-640x360.jpg


IMG_6260-300x167.jpg
IMG_6247-300x167.jpg


Kili Golf Estate

DSC_0105-640x360.jpg

DSC_1068-300x167.jpg
Kili-Golf-houses-drone-003-300x167.jpg
Mwambie aweke Dodoma, Mbeya au Mwanza kama kuna nyumba kama hizo hahahahahahahahaaa
 
Killi Golf Estate mikandamizo inaendelea...

IMG-20130906-00957-640x360.jpg

IMG_6716-300x167.jpg
IMG_6746-300x167.jpg



Sakina kwa Mafogo

0241-640x360.jpg

0193-300x167.jpg
0231-300x167.jpg


Its not about fancy, its about nature...

IMG_0124-640x360.jpg

Aerial-view-of-Kiranyi-Hill-300x167.jpg
0013-300x167.jpg
 
hahahahaha mkuu hivo vitu Ileje na Rungwe havipo.. Lazima watu povu liwatoke...
Hhahahaa aise hao watu ndio wamenipandisha morii eti kuna mmoja amesema tena kwa ukakamavu Iringa na Mbeya inaichapa raba Chugga kidogo nilazwe...
 
Hhahahaa aise hao watu ndio wamenipandisha morii eti kuna mmoja amesema tena kwa ukakamavu Iringa na Mbeya inaichapa raba Chugga kidogo nilazwe...
hehehehehehehe Ileje wanakokaa kwenye nyumba za tembe?? Hahahahahahaaa
 
Back
Top Bottom