Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Mbona hujaongelea kuwa arusha inaongoza kwa vijana wanaovuta bangi na ujambazi
Kaya ni kawaida sana jamaika wanalikonga ila hata kiuchumi tunakalishwa mbali. Ile kitu ni kama sport tuu sema inategemea na medula yako tuu.
 
Kwani katiba inakataza mtu kujivunia kwake??
Huo ni ushamba tu, hamna lolote ninyi vijana wa arusha zaidi ya ushamba, ubaguzi na kujiona ninyi ni bora kuliko wengine.
Hivi kila mkoa ukianza huo upumbavu wenu itakuaje hapa TZ.
Mkoa wenyewe wa kawaida halafu mnajipamba kama mnautafutia mume mkoa wa arusha.
Tunachopinga hapo kwenye hizi mada kuna chembe za ubaguzi, ukanda na ukabila.
Badilikeni ninyi msiwe kama mmedumaa akili huko arusha.
Ni jambo zuri kuzungumzia Tanzania kama nchi ila sio kama huo ushamba wa kuzungumzia mkoa mmoja kwa hoja zisizo na maana yeyote kwa watanzania.
Mmeshamaliza kutengana wenyewe kwa wenyewe huko arusha kati ya watu wa karatu, monduli, loliondo, longido n. k mnataka kuleta huo ubaguzi nchi nzima, hatuwezi kuwavumilia.
Tutaendelea kuzivuruga hizi mada zisilete maana yeyote.
Badilikeni ninyi vijana wa arusha.
Tanzania kwanza.
 
Half London au Whole London.................................................

Drone+July+5.jpg


Mount Kilimanjaro is Dopee the pitch is between Mt. Kilaimanjaro and Mt. Meru.


_B6A8253.jpg

_B6A8253.jpg


_B6A4407.jpg


Kiligolf-97.jpg
 
Huo ni ushamba tu, hamna lolote ninyi vijana wa arusha zaidi ya ushamba, ubaguzi na kujiona ninyi ni bora kuliko wengine.
Hivi kila mkoa ukianza huo upumbavu wenu itakuaje hapa TZ.
Mkoa wenyewe wa kawaida halafu mnajipamba kama mnautafutia mume mkoa wa arusha.
Tunachopinga hapo kwenye hizi mada kuna chembe za ubaguzi, ukanda na ukabila.
Badilikeni ninyi msiwe kama mmedumaa akili huko arusha.
Ni jambo zuri kuzungumzia Tanzania kama nchi ila sio kama huo ushamba wa kuzungumzia mkoa mmoja kwa hoja zisizo na maana yeyote kwa watanzania.
Mmeshamaliza kutengana wenyewe kwa wenyewe huko arusha kati ya watu wa karatu, monduli, loliondo, longido n. k mnataka kuleta huo ubaguzi nchi nzima, hatuwezi kuwavumilia.
Tutaendelea kuzivuruga hizi mada zisilete maana yeyote.
Badilikeni ninyi vijana wa arusha.
Tanzania kwanza.
Kuna thread ilianzishwa hivi karibuni ikizingumzia kuwa mwanza ndio jiji pekee linalowez kuleta balance of power dhidi ya dsm na watu wa mwanza walisifia mkoa wao na kuiondea arusha sana..nashangaa sikukuona ukicoment ila umeanzishwa uzi wa kuisifia arusha tayar umekuja..teh teh teh
 
Dar es salaam Tanzania
 

Attachments

  • 1467300963154.jpg
    1467300963154.jpg
    65.8 KB · Views: 104
  • 1467300970725.jpg
    1467300970725.jpg
    15.4 KB · Views: 99
  • 1467300975854.jpg
    1467300975854.jpg
    60.1 KB · Views: 125
  • 1467300980514.jpg
    1467300980514.jpg
    30 KB · Views: 131
Kuna thread ilianzishwa hivi karibuni ikizingumzia kuwa mwanza ndio jiji pekee linalowez kuleta balance of power dhidi ya dsm na watu wa mwanza walisifia mkoa wao na kuiondea arusha sana..nashangaa sikukuona ukicoment ila umeanzishwa uzi wa kuisifia arusha tayar umekuja..teh teh teh
Jitekenye cheka mwenyewe, ila lazima huo ujinga mtaacha tu.
Mwanza hawana tabia za kibaguzi kama ninyi.
Hizo kampeni mnazofanya kuhusu arusha ni ushamba tu.
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza watu watakuja huko arusha kisha watakuja hapa JF kuwasimia, ukiona wapo kimya mjue huko ni kwa kawaida kama mikoa mingine TZ.
Mnaakili mgando sana ninyi vijana wa arusha
 
Huo ni ushamba tu, hamna lolote ninyi vijana wa arusha zaidi ya ushamba, ubaguzi na kujiona ninyi ni bora kuliko wengine.
Hivi kila mkoa ukianza huo upumbavu wenu itakuaje hapa TZ.
Mkoa wenyewe wa kawaida halafu mnajipamba kama mnautafutia mume mkoa wa arusha.
Tunachopinga hapo kwenye hizi mada kuna chembe za ubaguzi, ukanda na ukabila.
Badilikeni ninyi msiwe kama mmedumaa akili huko arusha.
Ni jambo zuri kuzungumzia Tanzania kama nchi ila sio kama huo ushamba wa kuzungumzia mkoa mmoja kwa hoja zisizo na maana yeyote kwa watanzania.
Mmeshamaliza kutengana wenyewe kwa wenyewe huko arusha kati ya watu wa karatu, monduli, loliondo, longido n. k mnataka kuleta huo ubaguzi nchi nzima, hatuwezi kuwavumilia.
Tutaendelea kuzivuruga hizi mada zisilete maana yeyote.
Badilikeni ninyi vijana wa arusha.
Tanzania kwanza.

Si kwamba wewe ndio una chuki binafsi na Arusha?? Majuzi hapa zilianzisha nyuzi mbili za Mwanza zikisifia huko mbona haukutokea kukemea??
 
Sio wote wanaoenda kupanda mlima wanafikia KIA na kupada mlima, wapo wengi wanaofikia na na kuanzia safari za Arusha na

wapo wengi tu, wanaanzia safari za mlimani wakitokea Arusha na sio watalii tu hata maporter na ma guide wanaoenda nao wapo machalii kibao wanatoka Arusha na kwenda kupandisha watalii mlimani .

Tonachoongea hapa ni vitu tofauti.. Mtalii anaweza kupanda Mlima bila hata kuigusa Arusha lakini watalii wote wa Serengeti 95% wanapita Arusha..
 
Mkuu kwani umelazimishwa kufungua huu uzi...?? Si upite pembeni...

Anasema eti nyuzi za kusifia mikoa zinachochea ukanda.. Lakini wiki iliyopita Mwanza walifungua wao wakisema wao ndio next after Dar na wakasifia miradi mbalimbali na fursa za mkoa wao kuendelea lakini huyu mpinga ukanda sikumwona akikemea.. Lakini nyuzi za Arusha lazima aje.. Sijui watu wa Arusha tumemfanya nini huyu jamaa
 
Back
Top Bottom