Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Hii shule nayo ni kiboko,
St. Theresa of the Child Jesus Secondary School
34887.jpg


85025.jpg


14209.jpg


28607.jpg

school hall
66875.jpg


46932.jpg

 
Tanzania kwanza and say Dar es salaam City
 

Attachments

  • 1467329218563.jpg
    1467329218563.jpg
    6.7 KB · Views: 108
  • 1467329233899.jpg
    1467329233899.jpg
    121.3 KB · Views: 98
  • 1467329239177.jpg
    1467329239177.jpg
    25.5 KB · Views: 105
  • 1467329245605.jpg
    1467329245605.jpg
    110.8 KB · Views: 110
  • 1467329250521.jpg
    1467329250521.jpg
    46.6 KB · Views: 103
  • 1467329256182.jpg
    1467329256182.jpg
    10.8 KB · Views: 92
Nishapita mara kadhaa, sema sasa hivi sio kuishi kama nilivyokua naishi miaka ile, kwa sasa tangu 2014 sijakanyaga nasikia kuna highway inajengwa kuanzia Sakina hadi Tengeru.
4 lane dual carriageway kuanzia Sakina mpaka Tengeru, alafu Tengeru mpaka USA barabara itapanuliwa na kuwekewa service road, then USA mpaka Holili barabara itakarabatiwa na kuongezwa upana kidogo.. Na wakimaliza 4 lane road watajenga bypass pale Arusha... Itakuwa ni balaa tupu.. Hii project ikiisha Moshi-Arusha itakuwa ni nusu saa tu..

road06.jpg
 
kennedy_school.jpg


89403008.jpg


89402819.jpg


Mnaweza kudhani hiyo ni Hotel ya kitalii kumbe ni shule ya St. Constantine International Burka hapo ndio tulipofikia mabilioneea wa Arusha
 
4 lane dual carriageway kuanzia Sakina mpaka Tengeru, alafu Tengeru mpaka USA barabara itapanuliwa na kuwekewa service road, then USA mpaka Holili barabara itakarabatiwa na kuongezwa upana kidogo.. Na wakimaliza 4 lane road watajenga bypass pale Arusha... Itakuwa ni balaa tupu.. Hii project ikiisha Moshi-Arusha itakuwa ni nusu saa tu..

road06.jpg

Man hii kitu inaendea kulipua Chugga.
 
Wazeee wa chuga wapo vizuri kwenye kuutangaza mji wao. Mada imekaa kama mnakejeliana ila inafundisha vingi kuhusu Tanzania
Wazee wa chuga a. k. a wazee wa chura.
Jina lao jipya hilo tumia wazee wa chura litawafaa sana vijana wa kijijini arusha
 
Upuzi mtupu..... Unasifia UJAMBAZI NA UPORAJI MJI GANI HUO HAUNA TOFAUTI NA JOHANNESBURG KILA MTU ANAMILIKI SILAHA YA MOTO HATA CHIZI ANA BOMBA KWENYE MFUKO STUPIDITY PEOPLE WITH STUPID REGION
 
kennedy_school.jpg


89403008.jpg


89402819.jpg


Mnaweza kudhani hiyo ni Hotel ya kitalii kumbe ni shule ya St. Constantine International Burka hapo ndio tulipofikia mabilioneea wa Arusha
hahahahahahaha Mafinga na Ileje kuna shule kama hizo jamani???

Alafu kupanda hili basi kwenda nalo shuleni ni mpaka mzazi awe amelipa 25 M + Ada tu.. Ileje shule ghali sana ada laki 3 hahahahahaha...
6a00e5517ca26788340120a8cc53c6970b-pi
 
Braeburn School Arusha very old school

braeburn_school-550x200.jpg


image13.jpg


braeburn_arusha-550x200.jpg


IMG_8292.JPG


netball.jpg


img_2061.jpg
 

Attachments

  • upload_2016-6-30_18-45-57.jpeg
    upload_2016-6-30_18-45-57.jpeg
    11.7 KB · Views: 112
Man hii kitu inaendea kulipua Chugga.
2020 Chugga na Moshi zitakuwa zimekwisha unganika kuwa Jiji Moja... Wait and See...

Yaani unakuwa na uwezo wa kukaa pale Shanty Town na ukawa unafanya kazi Arusha... It will be just half an hour to 1 hr drive from Moshi to Arusha... Wazee wa Kichagga waliokuwa wanabana mji wa Moshi kupanuka kwa kutouza Ardhi wengi wanapungua kwa umri na wanaachia urithi damu changa ambayo inataka mabadiliko... North Empire imeamka na inakimbia speed... Wacha watu wa Ifunda walie kwa gadhabu hahahaha
 
hahahahahahaha Mafinga na Ileje kuna shule kama hizo jamani???

Alafu kupanda hili basi kwenda nalo shuleni ni mpaka mzazi awe amelipa 25 M + Ada tu.. Ileje shule ghali sana ada laki 3 hahahahahaha...
6a00e5517ca26788340120a8cc53c6970b-pi
Man hii bus nilikua naisakanya mbaya kabisa alafu huwezi amini ni automatic wanazo mbili American School Bus wengine wanazionaga kwenye movie tu..
 
Na watu wa Arusha wana meno flan hivi yanatisha, unaweza kukuta bonge la demu lakini akicheka tu unamuona kama vampaya
Hapana Mkuu,hakika Arusha kuna mademu wazuri tena wengi sana,kuhusu meno hiyo haina shida,kama una pesa ni rahisi kusaficha hayo meno siku hizi coz technology sasa hivi iko mbali.
 
International School of Moshi, Arusha Campus kid haingii hapo bila million 27.

kivuli-Boarding-4_jpg_460x360_q85.jpg


kivuli-Boardin-07_jpg_460x360_q85.jpg


m5-140615.jpg

parents day ISM

photo2.jpg

hii shule wanasoma makid wa mabilionea haswa, hapo ni graduation


4f73dce01a353fc74ebbc0541e91497b.JPG


Check Mt. Kilimanjaro from the Background.......
 
2020 Chugga na Moshi zitakuwa zimekwisha unganika kuwa Jiji Moja... Wait and See...

Yaani unakuwa na uwezo wa kukaa pale Shanty Town na ukawa unafanya kazi Arusha... It will be just half an hour to 1 hr drive from Moshi to Arusha... Wazee wa Kichagga waliokuwa wanabana mji wa Moshi kupanuka kwa kutouza Ardhi wengi wanapungua kwa umri na wanaachia urithi damu changa ambayo inataka mabadiliko... North Empire imeamka na inakimbia speed... Wacha watu wa Ifunda walie kwa gadhabu hahahaha
hahahaaahaaa huwa najiuliza huo ujasiri wa kuiunderestimate Arusha wanautoa wapi nakosa jibu.
 
Back
Top Bottom