Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H

Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49

japo mna advantage ya easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs

huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more matured kisha wawepo na points nyingi za kupambana na nyie
 
Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H

Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49

japo mna advantage ga easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs

huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more mature kisha wapepo na points nyingi za kupambana na nyie
UKo sahihi mkuu. Hamisi sijui yuko wapi?
 
Villa atapigwa tu, Ni swala la muda

Tunaendelea kuusubiri huo muda mpaka tumefika hapa 👇
20240413_180550.jpg
 
Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H

Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49

japo mna advantage ga easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs

huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more mature kisha wapepo na points nyingi za kupambana na nyie
point ya msingi hii.
 
Hii ndio asenali sasa haina vitu vipya sana kama unatarajia asenali kubeba kombe na ukasahau asili ya timu n kujilisha upepo tu😂😂😂.....

Hii ndio kwaheri ya kuonana ikitokea siti ajichanganye basi n kwa uchacheeee sanaaaaaa kiufupi asenali ndio msimu umeisha
 
UKo sahihi mkuu. Hamisi sijui yuko wapi?
hakuna kitu kinauma kama kuanza msimu ukijua kuwa mwisho wake city atabeba tena taji sasa nini maana yakushindana

yani miaka 8 iliyopita liver kabeba mara 1 city mara 7
msimu unaanza watu wakubwa wakina Mourinho wanatabiri city ana 51% Liverpool 49% ya kubeba ubingwa mwaka huu

hapana top team mwakani tufanye kama alicho fanya Leverkusen uko kwa bayern ikibidi mmoja wetu either

Arsenal
Liverpool
man utd
Chelsea
vila
spurs

wafanye usajiri wamaana kuja kustop hizi harakati za huyu mkulima mwenye 115 ffp charges
 
Back
Top Bottom