Injury wao ni Lokonga pekeehapo hamna kisingizio cha injury zaidi ya timber ambae sio potential starter
imagine aston vila injuries wake kina mings...luiz ...ramsey...buendia...kamara ....wapo full mkoko leo
Sio Odegaard mkuu, Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wanadanganyana humu kua Kai Harvez ndio mchezaji wa kuleta makombe hapo Emirates, wanadai Kai ndio aliefunga goli kwenye fainali iliyowapea Chelsea ubingwa wa Uefa, hivyo Kai ana DNA ya makombe aliyotoka nayo the Blues na kuileta kwa G.gunnersHivi kweli mnataka ubingwa Odegaard akupeni ubingwa
Alishindwa Fábregas
Alishindwa
Ozil
Alishindwa RVP
eti aje Odegaard aweze
Jiran maumivu ni makali, huyu Unai Emery amekuwa mfupa mgumu sana kwetu. Hii arsenal imenirudisha kwenye pombe, jana usingizi niliupata kwa shida sana.Half american makaveli10 kazi inaanza njooni
Wale watakaa tu japo hiyo mechi ni ngumu mno.Na washauri kule Ujerumani msiingize timu uwanjani
timu yako ni ya ngapi kwenye msimamo wa ligiArsenyetoz jana mmefumuliwa manundu na Aston villa
Partey efusiiiiii !
Mna hali mbaya !
Mdogo mdogo mtarudi kwenye default mode yenu , upepo ulivyowaendea vizuri hapa karibuni mkarudi na kidomodomo Chenu kujiita mabingwa wa Epl na UCL
Ninyi mmerogwa .
Mabingwa wa kunywa ulanzi labda
vipi nyie kule italy, atalanta wanawalia karanga, ohooNa washauri kule Ujerumani msiingize timu uwanjani
UKo sahihi mkuu. Hamisi sijui yuko wapi?Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H
Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49
japo mna advantage ga easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs
huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more mature kisha wapepo na points nyingi za kupambana na nyie