Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna mtu alizaliwa kuwa shabiki wa Man city
😄😄 of course, ushabiki unaletwa na mafanikio. Man City lazima ajichotee mashabiki watoto na vijana wa enzi hizi kama tu Manyumbu, Livakuku na Arsenal ya 90s, na Chelsea kuanzia 2006...
 
Ha

Hakun siku nimemkubali KAI ila huwa nawapuuzia wanaomsifia sifia, kuepusha kupigishana kelele na kaa kimya, ila KAI yule hamna kitu mule.
Alikuwa anatakwa na Bayern Ujue😃

Hata mount alikuwa anatakwa na Liver

Huwezi mbadilisha namba mtu kila siku ukategema Amantain form😃😃yule mngemwacha Tisa tu akatulia nyuma mkala double pivot
 
😄😄 of course, ushabiki unaletwa na mafanikio. Man City lazima ajichotee mashabiki watoto na vijana wa enzi hizi kama tu Manyumbu, Livakuku na Arsenal ya 90s, na Chelsea kuanzia 2006...
Die hard fans wake ni wa kuhesabika mfano mimi nawajua wawili na hao walikuwa unyumbun before
 
Arteta anakuambia kama hii loss moja itatuzuia kuinuka na kupambana then hatukustahili kua mabingwa from the beginning.

Hapa ishu siyo sisi. Ishu ni aliye juu yetu.

Atagrant same favour ya kupoteza game kizembe?

Dafuq did we do?

Bayern nao waseme ok hatupo kwenye ligi tunafocus na CL. Mbona tunarudia same mistakes?

Punda kabisa
FA ya Uingereza imeshampa City kiasi cha pesa kama Advance ya ushindi kwenda kubeba kombe la EPL
 
Alikuwa anatakwa na Bayern Ujue😃

Hata mount alikuwa anatakwa na Liver

Huwezi mbadilisha namba mtu kila siku ukategema Amantain form😃😃yule mngemwacha Tisa tu akatulia nyuma mkala double pivot
Hata hiyo namba 9, hana la maana, niamini mimi kai hakuna kitu.
Tuachie hapo.
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

✍🏾 Jana Tumepoteza Mchezo, Inauma ila hamna namna zaidi kuangalia kilicho mbele yetu.

✍🏾 Jumatano Tuna Mchezo mwingine Utakao hamua hatima yetu UCL, Pale Allanz arena.

✍🏾 Ni UCL kombe pekee Bayern analitegemea Kwa sasa hivyo atakuja full Starategic plan.

✍🏾 Arsenal Ata kwa jana Second half unaona wachezaji wamechoka kama ilivyokuwa December.

✍🏾 Kucheza match kila baada ya Siku 3 naona bado hatujaww fitness kuperform kwenye game za hivi Consitent.

✍🏾 Lakini J5 wachezaji na kocha wanatakiwa kuwa concetrated, Matatizo kukosa Concetration baadhi nyakati, ndio yanasababisha makosa tunafungwa.

✍🏾 Natumai Defeat inatufunza pia namna gani tunatakiwa kucheza kwenye moments kama hizi.

✍🏾 Baadae au kesho nitakuja pre game Analysis

. Amigos
FB_IMG_1713194501184.jpg
 
Back
Top Bottom