Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,718
Mods wanipige ban ya maishaLiverpool akibeba kombe la ligi au europa nimekaa pale niite mbwa.
Niliwaambia watu humu kuwa ataaibika vibaya wakapinga ila muda ukaamua.
Mods wanipige ban ya maishaLiverpool akibeba kombe la ligi au europa nimekaa pale niite mbwa.
Niliwaambia watu humu kuwa ataaibika vibaya wakapinga ila muda ukaamua.
😂😂😂 basi acha ataniwekea sumu😂 muuza juice mwenyewe ni shabiki la man utd itabidi nikuletee juice ya wine
Katika kundi la mamba kenge hakosekani, kwenye kundinla wachezaji kai ni kenge tu, huwezi sema nina mchezaji KAI, hana akili ya mpira, hana mnyumbuliko eti kai ndio ozil mpya 😂😂.Mkuu
Mwezi mzima huu nakuona upo na Kai
Walikuwa hawakuelewi wajumbe
Kumtegemea mbali, yule hata game za muhimu tu hapaswi kuwemo 😂😃Sio mchezaji wa kumtegemea
Ataaibika na nini?Liverpool akibeba kombe la ligi au europa nimekaa pale niite mbwa.
Niliwaambia watu humu kuwa ataaibika vibaya wakapinga ila muda ukaamua.
Soma vizuri nmemaanisha europa sio premier leagueAtaaibika na nini?
Nafasi ya 3 tena kupishana kwa points 2 ndio kuaibika?
😂😂😂😂 basi acha ataniwekea sumu
😂 hata mimiMods wanipige ban ya maisha
"Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni"Kosa letu kubwa tulilofanya kama Arsenal fans ni kuwa na timu bora iliyotesa sana Nyumbuz, Kengez na Kukuz (hawa kukuz hatuna beef nao ila wao wanataka beef na sisi). Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni. Tunachekwa na kuandamwa tukitoa sare na tukifungwa ndiyo kabisaaaa hatupumui.
Jamani, nyumbuz na kengez, hatujawanyima kujiunga na chama kubwa, wababe wa ligi, ze ganaz. Njooni tu huku muepuke mateso ya huko kwenu.
lile toto ni lijinga sana kuna siku nimelipa makavu mtu Gani unajiongelesha mwenyewe na kujijibu mwenyewe uzi mzima ana Comment Mwenyewe na kujijibu MwenyeweIla huku raha sana...
Kila mwaka, mwenye uhakika wa ubingwa kwa 96% ni Pain Killer. Mpaka akatengeneza ID nyingine ya Herzog ili awe anajiongelesha kwenye uzi wake lakini bado hakuna vibe kama huku, kwa manyumbu, chelkenge na livakuku.
Livakuku na sisi tukejitahidi sana kupambana na kipara ila inaelekea tutafeli tena. Daah.
naona una andika hii ukiwa unaliaKosa letu kubwa tulilofanya kama Arsenal fans ni kuwa na timu bora iliyotesa sana Nyumbuz, Kengez na Kukuz (hawa kukuz hatuna beef nao ila wao wanataka beef na sisi). Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni. Tunachekwa na kuandamwa tukitoa sare na tukifungwa ndiyo kabisaaaa hatupumui.
Jamani, nyumbuz na kengez, hatujawanyima kujiunga na chama kubwa, wababe wa ligi, ze ganaz. Njooni tu huku muepuke mateso ya huko kwenu.
Si tushamaliza bado nyinyi Klopp akiondokaBado hamjasema
Narathemaa
Kaka globally timu zinazovutia uwekezaji kwa EPL city haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele.Huko kwenye jukwaa la 115 ffp farmers kuna ma psychopath
mmoja anajiita pain killer ana ID 2 yeye kutwa ana comment na kuji reply mwenyewe
.Kaka globally timu zinazovutia uwekezaji kwa EPL city haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele.
Acha ajifurahishe
Arsenal kuchukua hili kombe haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele ....Kaka globally timu zinazovutia uwekezaji kwa EPL city haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele.
Acha ajifurahishe

Mtaelewa tu.Arsenal kuchukua hili kombe haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele ....
Endeleeni kujifurahishaView attachment 2964573
Passion hainunuliwiArsenal kuchukua hili kombe haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele ....
Endeleeni kujifurahishaView attachment 2964573
Sisi hata tukishuka ,haina tatizo lakin hizi fimbo ambazo tumetembeza EPL kudadeki mtasimulia hadi wajukuu zenu huko kama Klopp na Liverpool yake watasimulia vizazi na vizazi kuwa alikuwepo mnyama mmoja hivi ze citizen ....!!Mtaelewa tu.
Nyie mko juu. Sisi wengine tunapanda. Livakuku na Asenali soon hamtawaweza na nyie mtabaki kuelezana story za jinsi mliwahi kutamba kama sisi tu. Ni suala la muda tu, tena muda mfupi.