Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu
Mwezi mzima huu nakuona upo na Kai
Walikuwa hawakuelewi wajumbe
Katika kundi la mamba kenge hakosekani, kwenye kundinla wachezaji kai ni kenge tu, huwezi sema nina mchezaji KAI, hana akili ya mpira, hana mnyumbuliko eti kai ndio ozil mpya 😂😂.

Mie nikifanya mazoezi mwezi tu yule KAI akatafute mchezo wa kucheza 🤣😂
 
Kosa letu kubwa tulilofanya kama Arsenal fans ni kuwa na timu bora iliyotesa sana Nyumbuz, Kengez na Kukuz (hawa kukuz hatuna beef nao ila wao wanataka beef na sisi). Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni. Tunachekwa na kuandamwa tukitoa sare na tukifungwa ndiyo kabisaaaa hatupumui.
Jamani, nyumbuz na kengez, hatujawanyima kujiunga na chama kubwa, wababe wa ligi, ze ganaz. Njooni tu huku muepuke mateso ya huko kwenu.
"Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni"

Nyinyi hamna timu nzuri bali mna midomo sana ndio maana tunawasubiri kwa hamu mfungwe ili tuwasimange vizuri.
Mancity ana timu bora zaidi iliyokamilika kuliko Arsenyau na kila msimu anajibebea makombe vile anataka, mbona wao hawalalamiki kua uzuri wa timu yao imewaletea balaa mtaani mpaka mitandaoni?
Punguzeni midomo ndugu zangu, Arsenyo ni ka mid table team kaliko changamka hakana tofauti sana na kina Everton, Brighton na crystal palace.
 
Ila huku raha sana...
Kila mwaka, mwenye uhakika wa ubingwa kwa 96% ni Pain Killer. Mpaka akatengeneza ID nyingine ya Herzog ili awe anajiongelesha kwenye uzi wake lakini bado hakuna vibe kama huku, kwa manyumbu, chelkenge na livakuku.

Livakuku na sisi tukejitahidi sana kupambana na kipara ila inaelekea tutafeli tena. Daah.
lile toto ni lijinga sana kuna siku nimelipa makavu mtu Gani unajiongelesha mwenyewe na kujijibu mwenyewe uzi mzima ana Comment Mwenyewe na kujijibu Mwenyewe
 
Kosa letu kubwa tulilofanya kama Arsenal fans ni kuwa na timu bora iliyotesa sana Nyumbuz, Kengez na Kukuz (hawa kukuz hatuna beef nao ila wao wanataka beef na sisi). Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni. Tunachekwa na kuandamwa tukitoa sare na tukifungwa ndiyo kabisaaaa hatupumui.
Jamani, nyumbuz na kengez, hatujawanyima kujiunga na chama kubwa, wababe wa ligi, ze ganaz. Njooni tu huku muepuke mateso ya huko kwenu.
naona una andika hii ukiwa unalia

wababe? ..... wababe who?
 
Huko kwenye jukwaa la 115 ffp farmers kuna ma psychopath

mmoja anajiita pain killer ana ID 2 yeye kutwa ana comment na kuji reply mwenyewe
 
Huko kwenye jukwaa la 115 ffp farmers kuna ma psychopath

mmoja anajiita pain killer ana ID 2 yeye kutwa ana comment na kuji reply mwenyewe
Kaka globally timu zinazovutia uwekezaji kwa EPL city haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele.

Acha ajifurahishe
 
Kaka globally timu zinazovutia uwekezaji kwa EPL city haitakuja mwaka ujao wala miaka 10 mbele.

Acha ajifurahishe
.
959802763.jpg
 
Mtaelewa tu.
Nyie mko juu. Sisi wengine tunapanda. Livakuku na Asenali soon hamtawaweza na nyie mtabaki kuelezana story za jinsi mliwahi kutamba kama sisi tu. Ni suala la muda tu, tena muda mfupi.
Sisi hata tukishuka ,haina tatizo lakin hizi fimbo ambazo tumetembeza EPL kudadeki mtasimulia hadi wajukuu zenu huko kama Klopp na Liverpool yake watasimulia vizazi na vizazi kuwa alikuwepo mnyama mmoja hivi ze citizen ....!!

Mpaka sasa timu langu Sina nacholidai kabisa ,natembea kifua mbele kama saibogi ....
 
Back
Top Bottom