😁😁😁😁😁😁kwa mpira uliochezwa Jana, mwasiti vs Kenge
Waungane watengeneze timu moja waje Emirates au tuwafate
Wakitufunga kila mmoja (Kenge na mwasiti) wapewe points 3
Tukiwafunga tuchukue points 6
Ni swala la kuokoa muda, mambo ni mengi
View attachment 2907973
🤣🤣🤣🤣Tunawajua kama tumewazaa vile.Mpige team zote hata 20-0 lakin at the end lazma tuone hizi pichaView attachment 2911178View attachment 2911179View attachment 2911181
Mkiambiwa nyie ni kondoo huwa mnabisha, sasa unataka Emiry agombee ubingwa na Aston Villa?! Hata ukimpa Pep A.vila hawezi kutoboa.Uzuri upi huo unazungumzia, labda kuwafunga Arsenal. angekuwa tactician mzuri sidhani kama angeruhusu gape kubwa la points na walio juu. Ni midterm kocha tu kama wengine.. Na nafikiri Arsenal walichukua maamuzi sahihi kabisa kuachana nae kwasababu hakukuwa na falsafa yoyote aliyokuwa amepandikiza kwenye timu.. Pengine kufukuzwa Arsenal kulimfanya ku reevaluate carrier yake zaidi.
utakuja kunielewa siku huko kwenye thread ya man utd anajulikana kama shabiki wa man utd ndio maana utani na kina ally pipi flano arv na wenzie huko hauwastui anapiga spana uko kwa 7hag lakin mwisho anakimbia mwenyew tunamjua ni FamiliaMtake radhi mchambuzi nguli
Ajari kazini tu mkuu
Kuna wahuni wa Arsenyo walikua wanaangalia pamoja na Masingeli mpira kwenye kibanda umiza, baada ya game kuisha wamemkuta Masingeli amejifungia chooni anacheka mpaka kakaa chini.ila wakina flano arv wanamjua hamiss 77 ni damu yao ya united sema analeta ushindani mzuri na upinzani na ndio maana anaumia sana ubovu wa man utd na kufungwa kwake na kocha wao ni mzuri kutoa kasoro kwa kwa man utd kuliko arsenal
we jiulize ni shabiki gani anaona mazur ya timu tu na wala haoni mistakes na kipindi cha mpito kama hichi anakula kona na akisa ubingwa ndo humuoni mazima mpaka msimu ujao
sasa jee huyo kama haji manara mwili upo yanga akili ipo simba ndio masingeliKuna wahuni wa Arsenyo walikua wanaangalia pamoja na Masingeli mpira kwenye kibanda umiza, baada ya game kuisha wamemkuta Masingeli amejifungia chooni anacheka mpaka kakaa chini.
Nasikia jamaa wapiga kama vile wanapiga mwizi, hivyo msitegemee kumuona Masingeli humu ndani ya hizi siku mbili tatu maana hali yake sio poaView attachment 2963946
Masingeli ndio anajua vizuri takwimu, atakuja kujisifu humu kwa kuingia kwenye box la Villa mara nyingi kuliko Attempts za United za msimu mzimaKwani tunahitaji pass ngapi ndani ya box ndiyo tushoot?
Sisi tumepigiwa mashoot mengi na hata hatuwazi yani😂😂Masingeli ndio anajua vizuri takwimu, atakuja kujisifu humu kwa kuingia kwenye box la Villa mara nyingi kuliko Attempts za United za msimu mzima
Wape na takwimu za msimu wa mwaka kesho kutwa😃Na mkisema mwakani city ata drop kwa kucheza mind games zenu kisa aliondoka gundogan eti ata drop msimu huu silva nae ataenda then guess what
kuna hawa potential target wa city
1 jamal musiala mkataba wake upo ukingoni na hataki kuongeza mkataba japo anahusishwa sana na barca kwenda kuleta upinzani kwa madrid
2 lucas paqueta... huyu ilikuwa atue msimu uliopita ila kwa skendo zake za kubet deal lika collapse wakaamia, kwa covaci ila kwa sasa all allegations are cleared and rumors city are in advanced stage with signing him
3 florian writz japo huyu uwezekano ni 5/10 bado anweza salia Leverkusen msimu mwengine mmoja hii ni the new Germany tony kross model ya kizazi hiki
mnapojipanga msisahau na wahuni nao watajipanga na mwakani mtasema mlichukuaje point 4 kwa city
Hahahaha nimecheka kinoma 🤣🤣🤣🤣Timu yoyote itayo jaribu kupishana na sisi 5 zitaihusu🤣🤣🤣
View attachment 2963926
Bila kusahau ili achomekwe vzr n lazima amwagiwe mafuta mengi ili awe mlaini wakati wa kuingizwa spoku 😂Arseyo ni kama kitumbua tu, ili kiive lazima kichomekwe spoku kigeuze upande wa pili kiwekewe mafuta halafu kichomekwe tena spoku huku kikiendelea kugeuzwa geuzwa mpaka kinakua chekundu(kinaiva)
Leo Villa alikua na kazi ya kuchomeka spoku na kukigeuza geuza mpaka ahakikishe kitumbua kimeiva