Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wamepigwa vibaya sana hawa wakora hawa walituaminisha kuwa timu ya kuisumbua kwa sasa hawaioni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
20220105_193554.jpg
 
Uzuri upi huo unazungumzia, labda kuwafunga Arsenal. angekuwa tactician mzuri sidhani kama angeruhusu gape kubwa la points na walio juu. Ni midterm kocha tu kama wengine.. Na nafikiri Arsenal walichukua maamuzi sahihi kabisa kuachana nae kwasababu hakukuwa na falsafa yoyote aliyokuwa amepandikiza kwenye timu.. Pengine kufukuzwa Arsenal kulimfanya ku reevaluate carrier yake zaidi.
Mkiambiwa nyie ni kondoo huwa mnabisha, sasa unataka Emiry agombee ubingwa na Aston Villa?! Hata ukimpa Pep A.vila hawezi kutoboa.

Emiry amempita mbali sana Arteta. Yaani mliruka mkojo mkakanyaga mavi.
 
Mtake radhi mchambuzi nguli

Ajari kazini tu mkuu
utakuja kunielewa siku huko kwenye thread ya man utd anajulikana kama shabiki wa man utd ndio maana utani na kina ally pipi flano arv na wenzie huko hauwastui anapiga spana uko kwa 7hag lakin mwisho anakimbia mwenyew tunamjua ni Familia

huku ana kitu mwanadamu inaitwa fantasy huwa inajenga philosophy flani ambayo ipo ina a way unaona positively na hujui ni kwa nini watu haioni kama wewe kumbe upo kwenye dimbwi lako la matamanio yasio na uhakika wa uhalisia mfano

1 mwanzoni anakuambia ubingwa ni must na atakuja kupewa kwenye mechi ya mwisho dhidi ya man utd na man utd lazima wampigie gwaride la heshima unaona kabisa ni fantasy na matamanio

2 anakuambia arsenal ndio team pekee itakayo weza mpokonya pep epl time na kwenda toe to toe kwenye hatua za kubeba mataji makubwa kama uefa na epl

3 hapa Europe anaiogopa city zaidi amna team inayoweza cheza na arsenal itakula mkono na pia anakuambia robo ya UCL bora apewe madrid ana muweza na kumudu yeye anahisi madrid nikama ile inayocheza kwenye ps4 ndio ataitungua 5g

4 kai hapa sita tia neno kila kitu watu washaeleza ma legend wote wanajua kai hakuitajika mlikaiwa mtafute CDM au CM Bora kama partey ya ku pair na rice & odegard hapo kati kama tulivo aminishwa na fans wao humu partey rice odergard hakuna timu italeta timu yake uwanjani

5 ntaishia hapa
 
ila wakina flano arv wanamjua hamiss 77 ni damu yao ya united sema analeta ushindani mzuri na upinzani na ndio maana anaumia sana ubovu wa man utd na kufungwa kwake na kocha wao ni mzuri kutoa kasoro kwa kwa man utd kuliko arsenal

we jiulize ni shabiki gani anaona mazur ya timu tu na wala haoni mistakes na kipindi cha mpito kama hichi anakula kona na akisa ubingwa ndo humuoni mazima mpaka msimu ujao
Kuna wahuni wa Arsenyo walikua wanaangalia pamoja na Masingeli mpira kwenye kibanda umiza, baada ya game kuisha wamemkuta Masingeli amejifungia chooni anacheka mpaka kakaa chini.
Nasikia jamaa wamepiga kama vile wanapiga mwizi, hivyo msitegemee kumuona Masingeli humu ndani ya hizi siku mbili tatu maana hali yake sio poa
tapatalk_-1304297779_375x440.jpg
 
Kuna wahuni wa Arsenyo walikua wanaangalia pamoja na Masingeli mpira kwenye kibanda umiza, baada ya game kuisha wamemkuta Masingeli amejifungia chooni anacheka mpaka kakaa chini.
Nasikia jamaa wapiga kama vile wanapiga mwizi, hivyo msitegemee kumuona Masingeli humu ndani ya hizi siku mbili tatu maana hali yake sio poaView attachment 2963946
sasa jee huyo kama haji manara mwili upo yanga akili ipo simba ndio masingeli

mwili upo arsenal roho ipo kwenye matofali ya kuchoma 7hag mwenyw anamuita siku man utd akija kuwa top contender wa epl title ndio watajua sura halisi ya huyu kijana mahaba hayafichiki

Arsenal fans shtukeni msishikwe maskio kiasi hicho wengi wenu mko mature minded sasa sijui mnakuwa mnampaka mafuta kwa mgongo wachupa aka mnanchora au mnachezesha shilingi yenu ya utabiri wa ushindi au wakupambana na kupiga spana wapinzani
 
Liverpool na Arsenal tuliwaamini, tuliwategemea kuvunja hii aibu ya PEP kuifanya EPL farmer league lakini mmeshindwa. Ngoja tuje wanaume wanaoweza kutekeleza ahadi, haiwezekani tangu tuchukue Ligi 2017, Liver alijaribu 2019 baadaye wakafyata mkia
 
Na mkisema mwakani city ata drop kwa kucheza mind games zenu kisa aliondoka gundogan eti ata drop msimu huu silva nae ataenda then guess what

kuna hawa potential target wa city

1 jamal musiala mkataba wake upo ukingoni na hataki kuongeza mkataba japo anahusishwa sana na barca kwenda kuleta upinzani kwa madrid

2 lucas paqueta... huyu ilikuwa atue msimu uliopita ila kwa skendo zake za kubet deal lika collapse wakaamia, kwa covaci ila kwa sasa all allegations are cleared and rumors city are in advanced stage with signing him

3 florian writz japo huyu uwezekano ni 5/10 bado anweza salia Leverkusen msimu mwengine mmoja hii ni the new Germany tony kross model ya kizazi hiki

mnapojipanga msisahau na wahuni nao watajipanga na mwakani mtasema mlichukuaje point 4 kwa city
 
Na mkisema mwakani city ata drop kwa kucheza mind games zenu kisa aliondoka gundogan eti ata drop msimu huu silva nae ataenda then guess what

kuna hawa potential target wa city

1 jamal musiala mkataba wake upo ukingoni na hataki kuongeza mkataba japo anahusishwa sana na barca kwenda kuleta upinzani kwa madrid

2 lucas paqueta... huyu ilikuwa atue msimu uliopita ila kwa skendo zake za kubet deal lika collapse wakaamia, kwa covaci ila kwa sasa all allegations are cleared and rumors city are in advanced stage with signing him

3 florian writz japo huyu uwezekano ni 5/10 bado anweza salia Leverkusen msimu mwengine mmoja hii ni the new Germany tony kross model ya kizazi hiki

mnapojipanga msisahau na wahuni nao watajipanga na mwakani mtasema mlichukuaje point 4 kwa city
Wape na takwimu za msimu wa mwaka kesho kutwa😃
 
Kwani nao Arsenal walikuwa wanalitaka kombe la EPL, acheni utani bana
Nani ana profile ya kubeba kombe hapo
Havertz - Chelsea scraper
Jorginho - Chelsea scraper
Rice - Westham boy
Jesus - Man City scraper
Odegar - Real Madrid scraper

Niachie hapo, kwa sababu nawaona wachezaji wengi wa Arsenal ni mascarapers, hapo hakuna timu ya EPL wala UCL, hata Europa hakuna, basi tu waliingia humo kwa sababu ya ubovu wa Chelsea msimu huu
 
Arseyo ni kama kitumbua tu, ili kiive lazima kichomekwe spoku kigeuze upande wa pili kiwekewe mafuta halafu kichomekwe tena spoku huku kikiendelea kugeuzwa geuzwa mpaka kinakua chekundu(kinaiva)
Leo Villa alikua na kazi ya kuchomeka spoku na kukigeuza geuza mpaka ahakikishe kitumbua kimeiva
Bila kusahau ili achomekwe vzr n lazima amwagiwe mafuta mengi ili awe mlaini wakati wa kuingizwa spoku 😂
 
Achenali ni yule demu amemkazia jamaa muda mrefu afu anakuja kuachia dkk za mwisho jamaa anaamua kumpakia vumbi la Congo ili kwenda kusambaratisha uwanja baada ya kiu kubwa.
 
Back
Top Bottom