Dakarai
JF-Expert Member
- Jan 17, 2023
- 698
- 1,311
Nyumbu kasha chapwa 3 huko!hata like hakuna kuwapa
Nyumbu kasha chapwa 3 huko!hata like hakuna kuwapa
4Nyumbu kasha chapwa 3 huko!
Jumapili itatakiwa tushinde kwa goli zaidi ya 4.
Tukomae na games zetu. Ngumu city kuteleza kiuhalisia, wameshakua kwenye hiyo situation mara nyingi wana uzoefuJumapili itatakiwa tushinde kwa goli zaidi ya 4.
Hatupaswi kucheka na kima.
Bado ninaimani city ataweza kudraw lkn tukozubaa atatuzidi magoli
Bado naishi humuIna maana vs Nyumbu ni game rahisi kuliko na kina Solanke. Nyumbu hawatoipenda hii.
Ila tusisahau katika hizo mechi 10 za mwisho, 6 tulizoshinda, ni moja tuu ndo tumemfunga kwake Nyumbu. Tena ni 2020, msimu wa Coronavirus, kukiwa hamna mashabiki.
Na kama mnavyojua, wakati mwingine hizi game hazihusiani na form/ubora wa timu husika.
Ila mwisho wa siku, kichapo kwa Nyumbu kipo pale pale
Klopp alishamaliza baada ya game pale OT, arsenal inaenda kukamilisha msemo wa kloppNaona mmejiandaa kwenda OT na matokeo yenu mfukoni haya shauri zenu
Lijamaa linakera sana. Sema kwa kuwa lipo kwa timu yao basi wanaona sawa.
Sheria msimu ujao inabidi zibadilishwe huyo Jamaa anachezea sana rafu makipa kwenye kona nadhani ndiyo maana Arsenal wanafunga magoli mengi ya kona.
mliedit mpaka lakini Mungu ni nani.🤣🤣Naona bao nne zimewachosha watu mpaka wamejificha
Huyo ni mkora wenu mwambieni ajirekebishe, mpira sio discoMbona unaleta lawama zake humu? Ukijibiwa na kina Castr et al unaona sawa, kwenye matusi unataka aje mwenyewe.
Wakati unaleta malalamiko yako kuhusu Ben humu ulikuwa na hakika kuwa ana account humu kwamba atakujibu?
Kai michano...Kai bishoo...J2 ana goli zake 2 kupitia guu lake la matusiPamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...
Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...
View attachment 2984276
Inaelekea jamaa ana kitu...
Pamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...
Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...
View attachment 2984276
Inaelekea jamaa ana kitu...


Hamiss sababu ya kukimbia ni kile kichapo cha Bayern Munich jamaa alipiga sana mdomo nwezi mzima alifika mbali mpaka kumuwaza Madrid 🤣🤣🤣Pamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...
Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...
View attachment 2984276
Inaelekea jamaa ana kitu...