Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa game ya leo nimeona Man U pale golini kuna shida. Tukomae kufanya shots on target nyingi kwenye goli kipindi cha kwanza na mchezo utakua wetu..
 
Ina maana vs Nyumbu ni game rahisi kuliko na kina Solanke. Nyumbu hawatoipenda hii.

Ila tusisahau katika hizo mechi 10 za mwisho, 6 tulizoshinda, ni moja tuu ndo tumemfunga kwake Nyumbu. Tena ni 2020, msimu wa Coronavirus, kukiwa hamna mashabiki.

Na kama mnavyojua, wakati mwingine hizi game hazihusiani na form/ubora wa timu husika.

Ila mwisho wa siku, kichapo kwa Nyumbu kipo pale pale
Bado naishi humu

"Ila tusisahau katika hizo mechi 10 za mwisho, 6 tulizoshinda, ni moja tuu ndo tumemfunga kwake Nyumbu. Tena ni 2020, msimu wa Coronavirus, kukiwa hamna mashabiki.

Na kama mnavyojua, wakati mwingine hizi game hazihusiani na form/ubora wa timu husika.

Ila mwisho wa siku, kichapo kwa Nyumbu kipo pale pale"
 
hizi meme za trh 12 sijui nifute🤔
 

Attachments

  • IMG_20240506_144109.jpg
    IMG_20240506_144109.jpg
    55 KB · Views: 10
Aje mwenyewe kulalamika

Mbona unaleta lawama zake humu? Ukijibiwa na kina Castr et al unaona sawa, kwenye matusi unataka aje mwenyewe.

Wakati unaleta malalamiko yako kuhusu Ben humu ulikuwa na hakika kuwa ana account humu kwamba atakujibu?
 
Lijamaa linakera sana. Sema kwa kuwa lipo kwa timu yao basi wanaona sawa.

Sheria msimu ujao inabidi zibadilishwe huyo Jamaa anachezea sana rafu makipa kwenye kona nadhani ndiyo maana Arsenal wanafunga magoli mengi ya kona.

Inawezekana kwa kuwa hamtazami mechi zingine pale Epl, timu ndogo nyingi kwenye set pieces ndivyo zinavyo cheza.

Kipa ni kama mchezaji mwingine tu, japo yuko highly protected ila hakuna sheria inakataza asikabwe, na kutokumkaba kunampa chance kubwa ya kusave mpira sababu yeye hutumia mikono na mipira mingi ya set pieces inapigwa juu.

Nadhani hapa tatizo kubwa ni Arsenal na sio hizo blah blah zingine.
 
Mbona unaleta lawama zake humu? Ukijibiwa na kina Castr et al unaona sawa, kwenye matusi unataka aje mwenyewe.

Wakati unaleta malalamiko yako kuhusu Ben humu ulikuwa na hakika kuwa ana account humu kwamba atakujibu?
Huyo ni mkora wenu mwambieni ajirekebishe, mpira sio disco
 
Pamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...

Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...

1715154452073.png


Inaelekea jamaa ana kitu...
 
Pamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...

Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...

View attachment 2984276

Inaelekea jamaa ana kitu...
Kai michano...Kai bishoo...J2 ana goli zake 2 kupitia guu lake la matusi
 
Pamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...

Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...

View attachment 2984276

Inaelekea jamaa ana kitu...
Hamiss sababu ya kukimbia ni kile kichapo cha Bayern Munich jamaa alipiga sana mdomo nwezi mzima alifika mbali mpaka kumuwaza Madrid 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom