Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tumekufa kishujaa ktk uwanja wa vita, katupiga kwao tumempia kwetu kwa ibu,ingekua poa sana kama tungepata japo goli 1 kule san siro,poa tumetoka kishujaa

Unanikumbusha story ya yule Baunsa walivyomnanihii lakini kwa mbinde sana...
 
Arsenal: Together We Stand......

Kiukweli tumecheza vizuri na tungetulia tungeweza hata kuwafunga 10 hao AC Milan.....Tatizo lilikuwa ni kwenye umaliziaji tu...Sijui kwa ni ni AW hakumalizana na Lukas Podolski January.....Huyu jamaa angecheza mechi hii tungewatoa AC...

Tujipange tu kwa ajili ya msimu ujao wa UCL........Naona timu inabadilika sasa,naomba iendelee kucheza hivi hivi....

Proud to be a Gunner........Always a Gunner

Bala.
 
hongereni kwa ushindi na poleni kwa kutolewa "kishujaa"
 
hongereni kwa ushindi na poleni kwa kutolewa "kishujaa"
Kutolewa ni kutolewa tu kaka....Hakuna kutolewa kishujaa hata siku moja....

Tumetolewa kwa uzembe wa kuruhusu magoli 4-0 tulioufanya San Siro kwenye 1st Leg.......Sidhani kama 'uzembe' una tafsiri mpya na kuitwa 'ushujaa'.....

Zaidi ya RVP......Arsenal hatuna striker wa maana palae mbele......Ni bora AW angekuwa anamuingiza mapema J.Y. Park.....Huyu ni mzuri sana zaidi ya Chamakh.....Sijui kwa nini AW anampa muda mchache......Dakika 7 ni chache sana.....

Namtamani sana Luka Podolski....
 
Halafu uncle Tom Rosicky yuko kwenye fomu ile mbaya......Anakamua mpaka raha...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wakuu, hongereni kwa ushindi na poleni kwa kuangukia pua... Msijali sana maana ndo mpira huo, mmevuna mlichopanda ktk leg mbili zote.
 
Well, tulijua tumetoka tangu 1st leg, we had like 2 - 5% possibility of qualifying. The positive things ni kuwa, vijana wameongeza morale wamekuwa na ile fighting spirit tatizo tu kikosi hakina depth ya kutosha ndio maana alipotoka The Ox mambo yakawa vululuvululu. Now we have to capitalize that, kina Podolski na Goetze/Hazard wanahitajika kwa hali na mali. I heard Arsenal wamekubaliana personal terms na Podolski bado kumalizana na timu tu kuhusu ada ya uhamisho, lets hope ni kweli. Wilshere akirejea pale kati na Santos akiwa fit kupishana na Gibbs nadhani mambo yatanyooka. Pia kuna beki wa kati anaitwa Kyle Bartley yupo Rangers atarudi msimu ujao kama sikosei maana anafanya vizuri sana huko uscotch. SZCZESNY, dah hata sijui niseme nini kuhusu huyu dogo. Yuko vizuri na akiendelea hivi nadhani tutaendelea kutisha.
 
Proud of Arsenal, washabiki wenzangu nafikiri tumefurahia kiwango cha jana na kile tulichoonyesha kwa Tottenham na Liverpool.....tuombe kheri na nguvu, furaha yetu izidi....VIVA ARSENAL....VIVA!!
 
Hivi mlitegemea kupita kweli??? aisee poleni maana nilitoa pole kabla hata ya mechi...!!
 
Proud of Arsenal, washabiki wenzangu nafikiri tumefurahia kiwango cha jana na kile tulichoonyesha kwa Tottenham na Liverpool.....tuombe kheri na nguvu, furaha yetu izidi....VIVA ARSENAL....VIVA!!

Seven years and still counting....!
 
Hivi mlitegemea kupita kweli??? aisee poleni maana nilitoa pole kabla hata ya mechi...!!

Tulitegemea muujiza,na kusema ukweli kwa kiasi fulani tuliuona...most of us wala hatuna huzuni kama ambayo tungekuwa nayo tungefungwa nyumbani......it was tough and we fought a good fight though we did not manage to go through to the next round which was what most of us wished....sitaki pole,nataka hongera....lol
 
Halafu uncle Tom Rosicky yuko kwenye fomu ile mbaya......Anakamua mpaka raha...

umeona mkuu ... ana match zake ... nadhani man city .. matumbo yashaanza kuwauma .. kwani uhakika washapoteza point tatu , tukikutana nao kwenye ligi ..

....alipoondoka Nasri na Fabregas mwanzo tu wa msimu niliandika sasa ndio wakati wa kuona makali
ya Rosicky,.....

Bahati mbaya, mzee Wenger kwenye formation yake anapenda zaidi kumtumia Ramsey pale kati,
Rosicky anaishia kuchezeshwa out of position, right wing....

Kuumia kwa Ramsey imekuwa a blessing in disguise kwa Arsenal....hatujapoteza mchezo!
Huyu mzee akipenda inakuwa noma, hata Nasri alikuwa aking'ara pale tu Fabregas alipokuwa majeruhi
na team ilikuwa na pace kali ajabu...

Tuombee Ramsey aendelee kuugulia, na Rosicky na Van Persie waendelee kuwa fit...
 
Game ya jana sikuwa na matumaini makubwa, lakini nimeumia sana roho dah!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....alipoondoka Nasri na Fabregas mwanzo tu wa msimu niliandika sasa ndio wakati wa kuona makali
ya Rosicky,.....

Bahati mbaya, mzee Wenger kwenye formation yake anapenda zaidi kumtumia Ramsey pale kati,
Rosicky anaishia kuchezeshwa out of position, right wing....

Kuumia kwa Ramsey imekuwa a blessing in disguise kwa Arsenal....hatujapoteza mchezo!
Huyu mzee akipenda inakuwa noma, hata Nasri alikuwa aking'ara pale tu Fabregas alipokuwa majeruhi
na team ilikuwa na pace kali ajabu...

Tuombee Ramsey aendelee kuugulia, na Rosicky na Van Persie waendelee kuwa fit...

Kama unakumbuka mechi na Blackburn Ramsey alisugua benchi, Rosicky akafanya mambo. Ramsey has to grow. Otherwise ametucost sana.

Mkuu usisahau kumwombea The Ox pia awe fit. The kid is amazing. Yesterday he was running through the midfield like nobody's business!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom