Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja na kutolewa nimeona kwenye mpira kila kitu kinawezekana!
 
Park, Gervinho, Chamakha na Walcott!
Hawa wachezaji hawastahili kabisa kuvaa uzi wa Arsenal!
 
dakika ya mwisho kabisa benfika wanaipiga zenit goli la pili ..aggregate zenit 3-4benfica
 
Wakuu vipi??Salkama kabisa huku ndani,poleni sana aisee bora United yupo Europa League vipi humu ndani mwenzangu mpo wapi??
 
utavuna ulichopanda siku zote! kwa first half walijitahidi kwa kweli ila mwisho wa siku ndio soka
 
Pamoja na kutolewa nimeona kwenye mpira kila kitu kinawezekana!

Unafikiri Arsenal walipunguza kasi au walisababishiwa kasi ipungue ? Ingekuwa lile goli la tatu limepatikana dk ya 35 hivi ya kipindi cha kwanza, then kabla ya half time Milan wanepigwa nyingine mbili. Half time Milan wameenda kujipanga kurudi kipindi cha pili hali ikabadilika....
 
Back
Top Bottom