Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
Kufika tu hatua ya 16 bora unapata hela nyingi kuliko hata mshindi wa hilo kombe la Europa!Wakuu vipi??Salkama kabisa huku ndani,poleni sana aisee bora United yupo Europa League vipi humu ndani mwenzangu mpo wapi??