Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu vipi??Salkama kabisa huku ndani,poleni sana aisee bora United yupo Europa League vipi humu ndani mwenzangu mpo wapi??
Kufika tu hatua ya 16 bora unapata hela nyingi kuliko hata mshindi wa hilo kombe la Europa!
 
Park, Gervinho, Chamakha na Walcott!
Hawa wachezaji hawastahili kabisa kuvaa uzi wa Arsenal!

Labda chamakha. Hao wengine hawana consistency tu sio kuwa hawafai. Footaball ni team game sio mchezo wa mtu mmoja mmoja. Au unataka timu kama Manchester city.
 
Wakuu vipi??Salkama kabisa huku ndani,poleni sana aisee bora United yupo Europa League vipi humu ndani mwenzangu mpo wapi??

wazee wa ndogo msiongee kabisa nyinyi si ndio mlisema tutalala emarates bao nyingi ... nasikia huko europa ... kuna villasquad pia .. hehehe ... gooners Leo wamewafunga mdomo kina zlatan na kocha wao waliokuwa wanamfundisha kazi prof .. eti anunue viwango ..
 
Ox alikua. Anachechemea.

Yeah nakuelewa nimeona kwenye replay.Leo mmeonyesha good spirit kusema kweli lazima niwape credit kwa hilo.Second half mliwaruhusu Ac Milan wakajipanga nadhani ile kadi ya Song ilipunguza kasi yake defensivewise.Just soccer being soccer.
 
Wakuu vipi??Salkama kabisa huku ndani,poleni sana aisee bora United yupo Europa League vipi humu ndani mwenzangu mpo wapi??

Papizo Mbona unaandika kama vile kwenda hiyo ligi ilikuwa option ya Man U kwa kupenda . Si kuna sababu kwa nini mlilazimika kuwa huko ......
 
nimegundua kwa nini mashabiki wa arsenal wabishi sana kuhama timu...haka katimu kuna wakati kanajua kuwapa moyo mashabiki wake!unaweza dhani its the best team in the world lakini mwisho wa siku ni kuwaachia kilio mashabiki wake!poleni wazee
 
zamani watu waliongea same kuhusu song hadi wakataka auzwe ...

I can see samething about gervinho .. anahitaji muda probably next season..
Case ya Song ni tofauti na ya Gervinho cuz yeye amekulia Arsenal na tumemuona akiongeza kiwango season after season! Gervinho hatukumnunua ili aje kukua au kuongeza kiwango. Tumemnunua aje kutoa results.

Hata kwao Ivory coast haitajiki!! I personaly hate him!
 
Case ya Song ni tofauti na ya Gervinho cuz yeye amekulia Arsenal na tumemuona akiongeza kiwango season after season! Gervinho hatukumnunua ili aje kukua au kuongeza kiwango. Tumemnunua aje kutoa results.

Hata kwao Ivory coast haitajiki!! I personaly hate him!

hahaha mkuu kumbe unachuki binafsi haha uliweka dau lako ivorycost nini... hehe gervinho kiwango utakuja kunambia mkuu time will tell .. mi mataifa ya africa sikua na swager nayo hata game moja sikucheki.. mi na arsenal yangu inanitosha sitaki pressure zaidi
 
Labda chamakha. Hao wengine hawana consistency tu sio kuwa hawafai. Footaball ni team game sio mchezo wa mtu mmoja mmoja. Au unataka timu kama Manchester city.
Walcott amechezea first team zaidi ya 5 seasons but habadiliki! Wenger kaacha kumnunua Mata instead kanunua garasa Gervinho..can u compare Mata with Gervinho. Park naona bado hana ile team spirit, yupo relaxed sana anapokuwa uwanjani..leo kapoteza mipira zaidi ya 4 wazi wazi!
 
ingekuwa ukitolewa ktk last 16 unaenda kushiriki hata Kinesi Cup arsenal wangeshukuru kwelikweli!poleni wakubwa!
 
Kufa ni kufa tu, hamna cha kishujaa wala kwa uoga, bottom line umekufa.

hahaha WHAT HAPPENED IN SANSIRO REMAINED SAN SIRO the bottom line mtu kalala 3- 0 ndani ya EMIRATES we unaongea nini..? nadhani ma pundits sasa wataiangalia gooners kwa jicho lingine
 
hahaha mkuu kumbe unachuki binafsi haha uliweka dau lako ivorycost nini... hehe gervinho kiwango utakuja kunambia mkuu time will tell .. mi mataifa ya africa sikua na swager nayo hata game moja sikucheki.. mi na arsenal yangu inanitosha sitaki pressure zaidi
Jamaa alikuwa anaboa from day one kwenye Afcon, watu walijakuwa na imani naye kidogo baada ya kufunga goli kwenye semi final! But kilichofuata kwenye fainal akaharibu tena!!
 
Tukiweza kucheza kama hivi mechi zote zilizobaki kwenye ligi itakuwa poa sana.

Kweli mkuu.....leo tumecheza vizuri sana. Tatizo lilopo ni subs...nani aingie! Labda mzee Wenger anaweza kuongeza wachezaji ili hata tukiwa na majeruhi basi tuwe tunabaki na japo akiba.....binafsi subs hatukuwa nao...

pamoja wakuu wa Arsenal
 
nimegundua kwa nini mashabiki wa arsenal wabishi sana kuhama timu...haka katimu kuna wakati kanajua kuwapa moyo mashabiki wake!unaweza dhani its the best team in the world lakini mwisho wa siku ni kuwaachia kilio mashabiki wake!poleni wazee

Ndio maana kigagula wenger atazeekea hapo aseno sababu hii hii,
 
tumekufa kishujaa ktk uwanja wa vita, katupiga kwao tumempia kwetu kwa ibu,ingekua poa sana kama tungepata japo goli 1 kule san siro,poa tumetoka kishujaa
 
hahaha WHAT HAPPENED IN SANSIRO REMAINED SAN SIRO the bottom line mtu kalala 3- 0 ndani ya EMIRATES we unaongea nini..? nadhani ma pundits sasa wataiangalia gooners kwa jicho lingine

Pundits watasema "kama arsenal itaendelea na performance na spirit hii then next season is going to be their season" lakin mwisho wa siku mtatolewa kwa kufa kishujaa tena, na mtasubiri mapundits kutoa analysis kama hiyo kwa mara nyingine tena. Hahahaha
 
pundits watasema "kama aseno itaendelea na performance na spirit hii then next season is going to their season" lakin mwisho wa siku mtatolewa kwa kufa kishujaa tena na mtasubiri mapundits kutoa analysis kama hiyo tena

we have been knocked out from champions league na ac milan by a win 3; 0 .... Kumbuka ni champions lig sio europa lig.. Alafu ni ac -milan ambao tumetoka kuwachapa 3 - 0 na sio fc basel ..hilo nalo Dogo hilo mkuu!! Kumbuka ulikuwa ni suku wa ma champion ... Wenye chuki binfsi ni wale timu zao zilitolewa mapemaaaa...
 
Back
Top Bottom