Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Rosicky ni bora kuliko hizo chuya nyingine....Ni mzuri sana kwa kubadilisha mchezo,hata leo yeye ndio alibadilisha mchezo mara baada ya kuingia na kutoka Benayoun ambaye alipwaya kati..N hapo hatufanyi wala usajili tunamalizia msimu na akika Arshavin na Chamakh.
Arshavin, Chamakh, Rosicky, Diaby na Squallaci hawa watu wanajaza tu nafasi; wote ni wakuwaachia waondoke
Btw....Mwaka huu ubingwa unaweza kwenda White Hart Lane....