Game za away nazo tumeanza kufanya vibaya. Arsenal ilikuwa na historia nzuri kipindi cha nyuma kwenye away games. But kuanzia mechi ya Fulham na hii..tumekuwa hovyo kabisa!
Poleni wakuu wenzangu.
Timu hipo hipo. Wenger anawabeba wachezaji kama Arshavin sijui kwa mpango gani. Mtu perfomance yake mbovu kila mechi bado tu unataka kumbeba hili iweje?
Poleni wakuu wenzangu.
Timu hipo hipo. Wenger anawabeba wachezaji kama Arshavin sijui kwa mpango gani. Mtu perfomance yake mbovu kila mechi bado tu unataka kumbeba hili iweje?
poleni sana wacha1 na wanazi wa arsenal..
khe khe khe...
Poleni watani..Arsene Wenger dah, pole!
Tushapoa, inakera sana. Kila wakati wapinzani waki-drop points na sisi tunapoteza.
Hasira tunakuja kumalizia kwenu jumapili lol.
Tushapoa, inakera sana. Kila wakati wapinzani waki-drop points na sisi tunapoteza.
Hasira tunakuja kumalizia kwenu jumapili lol.
Wakuu inakuwaje lakini??why msihamie United tu maana pressure tunapata kwa mwaka labda mara 3 sasa humu wenzangu kila siku ni pressure humu,poleni sana zaidi next week tunakuja kuwakandamiza kwa mara nyingine tena hapo hapo Emirates,lakini nawaonea sana huruma aiseee
mkuu inabidi mjipange sana..