mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Tuna hali mbaya sana lakini mambo yatarudi kuwa normal soon.
Mgonjwa aamua kujipa faraja mwenyewe
Tuna hali mbaya sana lakini mambo yatarudi kuwa normal soon.
Hahahaaah,wewe mwenyewe furaha zako za vipindi,leo sherehe kesho msiba,you are always in alternating moods.Mgonjwa aamua kujipa faraja mwenyewe
Hizo dk ulizosema anaweza akacheza lkn ni kwa tabu kidogo manake mwanzo wa mechi kuna mikiki mingi na spidi kubwa ambavyo cdhani kama ataviweza.Kingine yeye ni Legend,anatakiwa aingie kipindi cha pili ili aweze kuziba mapengo yanayooneka ili kuisaidia timu iweze kupata ushindi
Hahahaaah,wewe mwenyewe furaha zako za vipindi,leo sherehe kesho msiba,you are always in alternating moods.
aaaah kumbe hizo nimekupata..
Ni mara ya kwanza tangu 1982 Arsenal kufungwa na timu toka Wales-Swansea.
kumbe hiyo timu ni ya wales..
Mkuu, biashara asubuhi jioni kuhesabu faida....Siku njema huonekana asubuhi. Kuanza na mzoefu kama TH ambaye wacheza wengine wanafahamu sifa nyingi alizojizolea kama mchezaji wa GUNNERS na Ufaransa ni motivation kubwa sana ya kujituma ili kuhakikisha magoli ya haraka haraka ukilinganisha na kuingia huku zikiwa zimebaki 20 minutes na tukiwa nyuma 2-1. Kama ulivyoona jana kuziba mapengo ni ngumu sana kama uko nyuma na muda uliosalia unazidi kuyoyoma.
I'm sorry! Henry apologises for swearing at Arsenal fan after Swansea defeat
Read more: Thierry Henry apologises for swearing to Arsenal fan | Mail Online
Arsenal inanitia unyonge sana!!!!!weekend zangu siku hizi ni stress kila wanangu arsenal wakicheza
Ukitaka kuwa na amani mkuu gonga viroba vya kutosha kabla hujaanza kucheki game au uwe na panadol za kutosha kabla na wakati wa mechi.
Hana ubavu huo,ameshindwa kumsajili Garry Cahili kwa pound 7 milnasikia AW atatoa pound 18 mil kwa ajili ya demba Ba
My Prediction ARSENAL 1-3 Manchester UNITED
Hana ubavu huo,ameshindwa kumsajili Garry Cahili kwa pound 7 mil
My Prediction ARSENAL
1-3 Manchester UNITED
huyu AW Inabidi aondoke maana uchumi wake unatuumiza vichwa kila wikiendi,juzi nilijaribu kupata viloba ila vikakata kwa mauzi mengi uwanjani