Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Msikie huyu mshabiki wa Arsenal
Code:Can we swap nationalities for Walcott and Asharvin so that they can join Chamakh (at the Africa Cup of Nations).
Daaa nimecheka sana na huyu naona ameamua kuongea ukweli kutoka moyoni mwake ameona hapo kuna pumba tu hamna mpya zaidi,Arsenal wanacheza mpira wa Show na sio Ushindi ndio tatizo kubwa sana....