Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
2melala swansea 3-2 Arsenal mpira umeisha
Asante sana jirani.....
Yaani tunafundishwa hasa, vijana wanacheza mpira mzuri kweli,wanakaba,wanashambulia na hawapaki bus...
Wametuzidi kwa kila kitu,,,,
Aah, ndugu yangu Mbu upo, hapy new year!
...mnh, ARSENAL Bana....Anyway, am still and forever GUNNER FOR LIFE!
hahahahahaha!!
Losers!!
Asante sana jirani.....
Yaani tunafundishwa hasa, vijana wanacheza mpira mzuri kweli,wanakaba,wanashambulia na hawapaki bus...
Wametuzidi kwa kila kitu,,,,
Asante sana jirani.....
Yaani tunafundishwa hasa, vijana wanacheza mpira mzuri kweli,wanakaba,wanashambulia na hawapaki bus...
Wametuzidi kwa kila kitu,,,,
Aah, ndugu yangu Mbu upo, hapy new year!
Usijali matokeo mechi bado nyingi.
Amemwingiza dk ya ngapi?