Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Safi sana AOC....
Rosicky anapaisha
Rosicky anapaisha
Bado zile zile 3 kwa 2?
Hali nimbaya kweli kwetu.....
Tunashambuliwa kweli...
ndo hivyo mkuu dk 88
Inahitaji moyo wa chuma kuwa mshabiki wa ARSENAL.....
Otherwise itakuwa ni BP kila siku....
Dakika ya 85 sasa
Thiery Henry (kifaa) lazima afanye mambo!.
Asante sana jirani.....Pole sana jirani, naona leo mnafundishwa mpira....muda bado lakini.
Amemwingiza dk ya ngapi?kwa hii game hawezi fanya lolote