Na tukio Hilo ndio limesababisha BAO lenu la piliYule dogo aliebebwa na Konsa mechi ijayo wahuni itabidi wampakate kabisa maana wameumia vile alibebwa kisha akatupwa kama gunia la viazi
Na tukio Hilo ndio limesababisha BAO lenu la piliYule dogo aliebebwa na Konsa mechi ijayo wahuni itabidi wampakate kabisa maana wameumia vile alibebwa kisha akatupwa kama gunia la viazi
Ni Myles Lewis SkellyArsenal wanamchezaji anaitwa Miles? Au ndo huyo dogo Lewis Skelly..
Alafu Chelsea kufungwa Jana watasingizia mkata umeme wao CAICEDO hakuwepo😁😁🤣
mchango wa pili kwa piliKazia hapo; kwenye world cup iliyoisha yeye na Kipa Raya hawakuwa 1st eleven so hawana mchango wa moja Kwa moja kwenye timu Yao taifa spain
Mlijiongelesha wee kama kawaida yenu
We bwa mdogo akili zako sio nzuri, unasema goli la chelsea ni la set piece? Huwa unawaza mpira unauangaliaga peke yako.Siku kadhaa mbele utasikia Arsenal inacheza boring football ila utakuta imescore magoli kuzidi hao entertainers na wanaodai wanacheza mpira mzuri.
Chelsea bila set piece jana alikua hapati goli. Arsenal ingekua imescore set pieces magoli ya jana leo ungesikia stori tofauti.
Sasa kichaka walichoamua kutumia ni kipa kaguswa uso na Magalhaes
Kweli kenge mna matatizo.We bwa mdogo akili zako sio nzuri, unasema goli la chelsea ni la set piece? Huwa unawaza mpira unaungaliaga peke yako.
Wewe mwenye kitu timu yako ina magoli na point ngapi?Haiondoi ukweli kuwa temu yenu ni papatu papatu.... pale mbele amna kitu kabisa
Hiyo misimu hatukuwa na depth, so injuries zilitunyima ubingwa lakini City alikuwa na timu bora sana kama unakumbukaMsimu kabla haujaanza Arteta alisema anapunguza kuwacontrol wachezaji na kuacha individual brilliance ichukue nafasi zaidi.
Ilikua response ya swali la timu kucheza kwenye wanachoita second gear.
Lakini 22/23, 23/24 tumecheza sexy football. Kilichotokea tumeona.
Si amesema '...will never leave us alone" yaani hatuachii? Na hapo si Kai ametoka kuwafunda Chelkenge? Pia jina lake lina "CFC" mwanzoni akimaanisha "Chelkenge Football Charity". Mashabiki lia lia wa Chelkenge huwa wanapenda kuweka "CFC" kwenye usernames zao ili dunia nzima iwatambue kama wafuasi wa hilo genge wahuni.Wapi hapo kunamtambulisha kuwa ni chelsea fan?
Ndiyo zetu hizo. Japo pia napenda kuona Raya anadaka na kuanzisha counter kali kwa kurusha au kupiga mpira mbele, uchukuliwe na mchezaji mmoja afunge au atoe assist kwa mchezaji mwingine. Kuna mfano mmoja game ya Crystal Palace...yaani Raya - Jesus - Trossard...bao.naambiwa goli la kwanza lilihusisha wachezaji wote 11 kugusa mpira mpaka goli linaingia,nilikuwa sijagundua hilo
Ifike mahali umalize tofaut zako na Kai mkuuhakuna ng'ombe asiefaa, kai katusawazishia lakini bado kwangu ni kiazi