Madueke anabaki na kipa anakosa goli kama utani vile, Eze amekua anapoteza mipira unnecessarily. Halafu wanacheza very casual, hakuna aggressiveness kabisa.
Anaingia Tzolis hali inabadilika. Eze anaweza tetewa kwamba anacheza namba siyo yake ndiyo sababu anaonekana weak.
Lakini hauoni hata dalili ya kusema huyu jamaa ana uwezo nusu ya mwenye namba hapo. Madueke matatizo ya msimu uliopita, ya kupoteza mipira kizembe, karudi nayo msimu huu.
Kwa timu walizotoka, Crystal Palace na chelsea, ni timu ambazo huchezi na timu zikakupakia basi hivyo walikua na uhuru wa kuzunguka uwanjani na kama kukabwa atafuatwa na mchezaji mmoja. Hapa Arsenal basi linapakiwa kila mechi, na unakabwa na watu mpaka watatu.