Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bwana Agbonlahor alisema kwenye mechi tano za mwanzo Arsenal atapata points 5 tu. Akasema hapa mwanzo ni kipindi kizuri kukutana na Arsenal kwakua bado timu haipo sawa.

Hiyo ilikua kabla ya ligi kuanza.

Baada ya game ya dhidi ya Coventry, Aston Villa na Chelsea Tukawa tuna points 9. Jamaa akarudiwa tena kwenye podcast yao ya kipimbi.

Akasema "Hii Arsenal ni timu ngumu sana, ukiamua kua physical wanakumaliza na ukiamua kua technical unamalizwa. Jana chelsea alianza kupata goli na Arsenal ikacheza kiutaalamu sana mpaka ikapindua matokeo."

Unakaa unawaza, hawa wajinga wapo sawa?
Yaani unavyoipamba Arsenal utafikiri bonge moja la team, kumbe mimavii tu. hakuna mpira wowote wa maana kwamba hauna timu ya kushindwa kuwafunga

Endelea kuwadanganya wenzio
 
Yaani unavyoipamba Arsenal utafikiri bonge moja la team, kumbe mimavii tu. hakuna mpira wowote wa maana kwamba hauna timu ya kushindwa kuwafunga

Endelea kuwadanganya wenzio
HRjWh50aIAAYKyj.jpg
 
Yaani unavyoipamba Arsenal utafikiri bonge moja la team, kumbe mimavii tu. hakuna mpira wowote wa maana kwamba hauna timu ya kushindwa kuwafunga

Endelea kuwadanganya wenzio
Kwanini hautaki kutoa hoja? Ongelea soka tuambie kwa facts mbona sisi ni waelewa wazuri tu mkuu

Umeona utuharibie appetite ya chakula sio?
 
Bwana Agbonlahor alisema kwenye mechi tano za mwanzo Arsenal atapata points 5 tu. Akasema hapa mwanzo ni kipindi kizuri kukutana na Arsenal kwakua bado timu haipo sawa.

Hiyo ilikua kabla ya ligi kuanza.

Baada ya game ya dhidi ya Coventry, Aston Villa na Chelsea Tukawa tuna points 9. Jamaa akarudiwa tena kwenye podcast yao ya kipimbi.

Akasema "Hii Arsenal ni timu ngumu sana, ukiamua kua physical wanakumaliza na ukiamua kua technical unamalizwa. Jana chelsea alianza kupata goli na Arsenal ikacheza kiutaalamu sana mpaka ikapindua matokeo."

Unakaa unawaza, hawa wajinga wapo sawa?
Ile podcast yao ya kipuuzi sana kutwa kuongelea vibaya arsenal hasa huyo chizi agbonlahor
 
Mechi ya leo japo napoli wamekuwa hovyo msimu huu ila hii mechi haitakuwa rahisi hata kdg tujiandae kwa mechi ngumu
Yeah hawako vibaya na tutafanya vibaya tukidharau mechi.

Pamoja na yote sioni ikiwa ngumu upande wetu, hapa ni nikilinganisha morali na form ya timu na formation pendwa kwa timu za Italia.

Back 3 hua na gaps. Natarajia Tzolis kuendelea kung'ara kwenye wing yake, natumaini mid yetu icheze sana through balls na long balls zaidi.

Inter wasipotuheshimu kama chelsea walivyohisi wanaweza kushindana basi game itakua nyepesi zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom